Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Wiki kama mbili zilizopita nilikuwa naangalia kipindi cha Simbeye pale TBC1, mmojawapo wa wazungumzaji alikuwa ni huyu Profesa. Kwa kweli nirifarijika sana jinsi huyu bwana alivokuwa akitetea maslahi ya watanzania (nchi) katika mchakato wa EAC na jinsi anavyoona mambo yanavyoharakishwa bila kutoa nafasi ya kudurusu kila hatua tunayomaliza. Hapa nampa heko Profesa ingawa tulitofautiana katika suala la mgombea binafsi(labda pia ni kutokana na ufahamu wangu mdogo kuhusu sheria)
Huyu profesa ameonyesha kuwa yeye ni msomi yupo tayari kutetea kile anachokiamnini kwa kutumia hoja yakinifu na zenye mantiki. Nilifurahi zaidi kwa vile yeye ni mojawapo wa wawakilishi wa Tz katika majadiliano ya EAC.
Katika kipindi hicho pia alikuwepo Dr Kamala, duu jamaa alishindwa kabisa kujenga hoja, kama huyu ndiye anakaa na akina Wetangula katika majadiliano basi Tz tujue hatuna mtu. Hoja zake siku zote ni dhaifu, hana sauti ya mamlaka, kiingereza chake ni finyu n.k. Hata ukilinganisha hoja zake na za profesa Kabudi ungedhani ni mtu wa mwenye shahada ya kwanza anajadiliana na Profesa wake....
Kama nchi lazima tuwe tunateua mawaziri ambao wanaweza kujenga hoja za kueleweka, na pia ambao wanaweza kuwasiliana kwa lugha ya kiingereza kwa ufasaha zaidi. yawezekana Kamala ana strenghths zake nyingi tu lakini katika hili la EAC anapwaya sana ni kama yeye ni mtu wa kuburuzwa na Wakenya na Waganda na yeye anafurahia sana hii intergration-sijui kwa maslahi gani. Angejua Watz wengi tuko skeptical na hii move asingekuwa anajenga hizo hoja anazojenga sasa kuwa EAC ina faida nyingi sana.
Huyu profesa ameonyesha kuwa yeye ni msomi yupo tayari kutetea kile anachokiamnini kwa kutumia hoja yakinifu na zenye mantiki. Nilifurahi zaidi kwa vile yeye ni mojawapo wa wawakilishi wa Tz katika majadiliano ya EAC.
Katika kipindi hicho pia alikuwepo Dr Kamala, duu jamaa alishindwa kabisa kujenga hoja, kama huyu ndiye anakaa na akina Wetangula katika majadiliano basi Tz tujue hatuna mtu. Hoja zake siku zote ni dhaifu, hana sauti ya mamlaka, kiingereza chake ni finyu n.k. Hata ukilinganisha hoja zake na za profesa Kabudi ungedhani ni mtu wa mwenye shahada ya kwanza anajadiliana na Profesa wake....
Kama nchi lazima tuwe tunateua mawaziri ambao wanaweza kujenga hoja za kueleweka, na pia ambao wanaweza kuwasiliana kwa lugha ya kiingereza kwa ufasaha zaidi. yawezekana Kamala ana strenghths zake nyingi tu lakini katika hili la EAC anapwaya sana ni kama yeye ni mtu wa kuburuzwa na Wakenya na Waganda na yeye anafurahia sana hii intergration-sijui kwa maslahi gani. Angejua Watz wengi tuko skeptical na hii move asingekuwa anajenga hizo hoja anazojenga sasa kuwa EAC ina faida nyingi sana.