Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Ingawa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 kupitia Ibara ya 16 imeweka bayana umuhimu na Haki ya Faragha, mpaka sasa Tanzania haina Sheria inayosimamia haki hiyo. Hoja zifuatazo zinatumiwa na wadau kuelezea umuhimu wa sheria hiyo
Sheria hii itahakikisha Haki ya Faragha inasimamiwa na kutekelezwa kwa vitengo kama ilivyoandikwa kwenye #Katiba ya Tanzania.
Maendeleo la Teknolojia yanaweza kuathiri ulinzi wa Data Binafsi za Watu hivyo Sheria hii itawalinda watu dhidi ya athari zinazoweza kujitokeza.
Sheria itatoa muongozo na majibu kuhusu ufuatiliwaji wa mawasiliano ya watu ambao uko kinyume cha taratibu, sheria na usio halali.
Uwepo wa Sheria hii utarahisisha usimamizi wa maamuzi yanayotolewa kuhusu Data za Watu pamoja na matumizi ya taarifa za watu kwenye matangazo.
Sheria itasaidia kuundwa kwa Kanuni za #UlinziWaData
======
The right to protection of personal data is derived from the individual right to privacy. Tanzania has had a difficult history in the protection of the right to privacy; from evading its inclusion in the Bill of Rights after her independence to unsuccessful enactment of the right to privacy and data protection in the draft Freedom of Information Bill in 2006.
In 2013, Tanzania decided to reform her framework for the protection of personal data and individual privacy. This chapter explores the background to the protection of privacy in Tanzania and the recent reforms.
The chapter also takes a look at social attitude to privacy and the legal framework that supports the individual claims and protection to one’s privacy in Tanzania. This overview provides for the background upon which the present Draft Personal Data Protection Bill emanates.
This is followed by a textual analysis of the Draft Bill which describes the weaknesses of the Draft Bills from simply omitting one condition for the processing and adding a condition to Commissioner’s duties which are not usually found in data protection codes.