The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,589
- 14,137
Niliwahi kuandika kwamba tozo za banks zimewagusa majizi na matajiri wa Mjini wakiwemo wanasiasa na watu wa kundi la Kati ndio maana walizipigia Sana kelele.
Sasa Serikali imeendeleza unyonyaji wa watu wa Vijijini Kwa kuwafutia tozo kwenye mabenks huku ikiacha tozo kwenye miamala ya simu ambayo hutumiwa na watu wa Vijijini zaidi.
Wabunge na watu wa Vijijini amkeni na Tafuteni wa kuwasemea maana hao Wabunge wenu hakuna cha maana wanafanya.
Serikali iliweka tozo kwenye banks ili Ili ku boost maendeleo ya Vijijini,watu wa Mjini wakapinga na wamefutiwa..
Ikumbukwe kwamba kundi la watu wa Mjini ni dogo kuliko watu wa Vijijini ila hao wachache ndio wanawanyonya wa Vijijini.
Mkilima mnapangiwa Bei za Mazao yenu,mnanyonywa kwa faida ya mjini huku huduma huko zikipuuzwa.
Kama Serikali haifuti tozo za miamala na kama itaacha mpango wa kupeleka huduma stahiki za afya, barabara nk Vijijini waelewe kabisa kwamba sio tuu kwamba kura yangu hawana na nitaendelea kuwahamasisha watu wa Vijijini wawakatae.
Sasa Serikali imeendeleza unyonyaji wa watu wa Vijijini Kwa kuwafutia tozo kwenye mabenks huku ikiacha tozo kwenye miamala ya simu ambayo hutumiwa na watu wa Vijijini zaidi.
Wabunge na watu wa Vijijini amkeni na Tafuteni wa kuwasemea maana hao Wabunge wenu hakuna cha maana wanafanya.
Serikali iliweka tozo kwenye banks ili Ili ku boost maendeleo ya Vijijini,watu wa Mjini wakapinga na wamefutiwa..
Ikumbukwe kwamba kundi la watu wa Mjini ni dogo kuliko watu wa Vijijini ila hao wachache ndio wanawanyonya wa Vijijini.
Mkilima mnapangiwa Bei za Mazao yenu,mnanyonywa kwa faida ya mjini huku huduma huko zikipuuzwa.
Kama Serikali haifuti tozo za miamala na kama itaacha mpango wa kupeleka huduma stahiki za afya, barabara nk Vijijini waelewe kabisa kwamba sio tuu kwamba kura yangu hawana na nitaendelea kuwahamasisha watu wa Vijijini wawakatae.