USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Sio kweli kwamba kelele za kutaka kuusafisha mji zinazotolewa na vijana , viongozi wa CHADEMA mitandaoni ni hoja za kiungwa la hasha zimejaa hila na uchonganishi na hapa serkali ya mama Samia ilishaingia mkenge.
Wakati wakiwa wanaongoza halmashauri za miji mikubwa Kama dar, Arusha, mbeya,iringa hawakuwahi kulisema hili meya wa dar wakati huo mwita 2015-2020 ndio wimbi la machinga lilianza kujaa kila Kona na hayati magufuli akasema waachwe tu , kipindi magufuli akiwa na ziara mbeya Sugu alisema nature ya machinga ni mitaani duniani kote katika salamu za mbunge jimboni kwake waachwe.
Magufuli alijua nguvu ya machinga kisasa hasa mijini ambamo CCM alikuwa haikubariki na kata zote zikawa chini yao Sasa wanatumia serkali ya Samia KUFITINISHA na hawa jamaa wenye ushawishi wa kisiasa wa kubadili upepo kwenye mikutano.
Leo asubuhi kila mwanachadema amegeuka kuwatetea machinga na kuilaumu serkali kinyume na ilivyokuwa wakati wa serkali kuilaumu serkali kwa kuwaachia machinga watambe , inasikitisha ukigeugeu huu wa CHADEMA
Chadema sasa ni watetezi wa machinga !! Inasikitisha sana kuwaita wachafuzi wa mji kuwa kuwatetea tena ,huu ulikuwa mtego wa kisiasa na serkali imetumbukia humo.
USSR
Wakati wakiwa wanaongoza halmashauri za miji mikubwa Kama dar, Arusha, mbeya,iringa hawakuwahi kulisema hili meya wa dar wakati huo mwita 2015-2020 ndio wimbi la machinga lilianza kujaa kila Kona na hayati magufuli akasema waachwe tu , kipindi magufuli akiwa na ziara mbeya Sugu alisema nature ya machinga ni mitaani duniani kote katika salamu za mbunge jimboni kwake waachwe.
Magufuli alijua nguvu ya machinga kisasa hasa mijini ambamo CCM alikuwa haikubariki na kata zote zikawa chini yao Sasa wanatumia serkali ya Samia KUFITINISHA na hawa jamaa wenye ushawishi wa kisiasa wa kubadili upepo kwenye mikutano.
Leo asubuhi kila mwanachadema amegeuka kuwatetea machinga na kuilaumu serkali kinyume na ilivyokuwa wakati wa serkali kuilaumu serkali kwa kuwaachia machinga watambe , inasikitisha ukigeugeu huu wa CHADEMA
Chadema sasa ni watetezi wa machinga !! Inasikitisha sana kuwaita wachafuzi wa mji kuwa kuwatetea tena ,huu ulikuwa mtego wa kisiasa na serkali imetumbukia humo.
USSR