Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Mkuu J. Mushi, ni kweli sieleweki kutokana na viwango tofauti tofauti vya uelewa miongoni mwetu, hivyo kwenye baadhi ya mabandiko yangu, kila mtu ataelewa kwa mujibu wa kiwango chake na uwezo wake wa uelewa, kama yalivyo maji nusu glasi, kwa wengine ni half full, na wengine ni half empty and both are right, hivyo kwenye huu udikiteta uliopo sasa nchini mwetu, unaweza kunisoma kama ninatetea udikiteta, na ukawa right, na kuna mwingine anaweza kunisoma kama ninapinga udikiteta kwa kushauri the right thing to do kuupinga udikiteta, na sio kuupinga kwa kupiga kelele, maandamano, au mikutano ya hadhara.

P.
Hapana mkuu! I respect you. But I understand you as well, whether you like it or not! I don’t have to be smart just because I agree with you! Please bro, do-not insult my intelligence!
 
Kama ni nadharia umepatia. TAtizo ni kuzitumia nadharia hizo katika mazingira ya Tanzania ya SASA. tunaelewa kwamba hizo nadharia haziwezi kufanya kazi Tanzania na hasa hii Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais. Siku zote nadharia ni kitu kingine na utekelezaji wake ni kitu kingine kabisa. ASANTE KWA DARASA LA NADHARIA ambalo wanafunzi wako hawawezi kulifanyia kazi. Mkuu endelea kutufundisha. wanafunzi wako tunakusikiliza huku tukilia kwamba unatuelezea hadithi za ndotoni. HONGERA MKUU.
 
Mayala kwa kisukuma maana yake njaa!

Kabla ya kutoa opinion ni bora ukawa unajiumiza kidogo kufanya utafiti na kujua nature ya suala ndugu Mayala,Ukiudisect ushauri wako, utaona kwamba ushauri wako ni one dimensional kwa issue complex ambazo kiuchache dimensions zake ni Legal-Social-Political!

Sasa, huwezi kuja na jibu jepesi kama hilo ulilolisema ndugu Mayala katika issue yenye dimensions nyingi!

Halafu unatumia Logical Fallacy ya Ad-hominem attack kwenye hoja yako ( yaani unashambulia personality ya mtu), kwa mfano maneno kama vile " anaropoka" hayaifanyi hoja yako iwe na nguvu!

Je wewe ndugu Mayala umeshafungua kesi mahali popote?, au unamsubiri Lissu afungue ili uje tena hapa uanzishe thread akishindwa mahakamani?.

Ndugu Mayala if you think you are right then lead the way!!
Well said.
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
Unafiki tu umewajaa hawo jeshi la ccm.

Kuna matukio kibao hayajapatiwa majibu kwa sababu tu sio ccm waliotetendewa upumbavu huo. Hiyo inteligência ya policcm ipo kwa wapinzani tu lakni kwenye mambo ya msingi ni uharo mtupu.
 
Pascal Mayalla,
Inawezekana CHADEMA wakawa hawajitambui lakini jee wale waliozuia mikutano ya vyama mbadala wanajitambua?
Mkuu Mwanamageuko, kwanza asante kwa hoja hii ya mikutano na huku ndiko kutojitambua kwenyewe ninakokuzungmzia.

Katiba imeruhusu mikutano, rais ameapa kuilinda katiba, anezuia mikutano kinyume cha katiba
Katiba hiyo hiyo imeweka utaratibu wa nini cha kufanywa pale katiba inapovunjwa au kukiukwa,

Ni kutokana na Chadema kutokujitambua badala ya kufuata sheria, taratibu na kanuni kulishughulikia hili,,Chadema wao wakataka kuandamana maandamano ya UKUTA. Uvunjwaji wa katiba haupingwi kwa press conference, kelele, mikutano au maandamano.

Kwenye hili nilishauri
Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
 
Mayalla, wewe na Lissu mnalingana?
Ona aibu mdogo wangu.
No mimi na Lissu, hatulingani, japo tulikuwa shule moja Ilboru, mimi nikiwa A level, Lissu alikuwa O-level hivyo kwa Lissu mimi ni Kaka yake, na yeye ni mdogo wangu.
Nimeisha mzungumza sana Lissu humu jf.
P
 
Wanabodi,

Declaration of Interest, mimi Paskali, sio mwanachama, mshabiki au mfuasi wa chama chochote cha siasa, bali hoja zangu zote hutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuzitoa truthfully, with objectivity, impartiality na balance. Kwa vile watu humu wana vyama vyao na viongozi wao ambao wengine wana waabudia, hivyo nakijua fika kinachomfika mtu atakayepandisha hoja, kuwapinga waabudiwa wao!. Wajemini haya ni maoni na mtazamo wangu tuu and not necessarily I must be right, hivyo Mhe. Tundu Lissu might be right and I might be wrong!.

Naomba nianze kwa kumpongeza Mhe. Tundu Lisu Kwa kutokuwa muoga kuizungumzia dhana ya udikiteta Tanzania bila uoga, japo the way anavyoielezea anazungumza kwa style ile ile ya uropokaji, the Magufuli style, hivyo kuonekana kama insane fulani, lakini ujumbe umefika.



Ukweli Mchungu wa 2020.
Hakuna kitu kigumu kukizungumza humu jf kama ukweli mchungu!, wengi wetu humu wataanza kuizungumzia 2020 on 2019, by that time it will be too little too late!, sisi waona mbali, tunaizungumzia 2020 sasa, ili kutoa muda wa gestation period ya kujipanga and to do something worthwhile before its too late.
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...


Kwa siasa hizi Chadema inazokwenda nazo, kwenye mazingira ya udikiteta huu uliopo, kama hawatabadilika, I'm very sorry to say....
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani ...

In 2015 Election, Tanzania had A Choice To Choose From. Jee Kwa ...


Paskali
Rejea Kuhusu Udikiteta.
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...

Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...

Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ..

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Rejea Kumhusu Tundu Lisu
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura ...
Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas! | Page 10 | JamiiForums | The Home ...
Swali la Kizushi: Kwa Nini Job Ndugai Anamuogopa Tundu Antipasi ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...

Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Mbona mlipigwa pini kufanya siasa miaka mitano na hapakuchimbika?
Hamasa tu za kwenye mitandao hamna lolote ni ushuzi tu.
Mkuu Nawatafuna, kwanza nakuomba usiwatafune sana usije kuishia na wewe kutafunwa!.

Hili nililizungumza hapa, Chadema ni wazuri katika kupiga tuu kelele, lakini sio kwenye kupanga mikakati, ukizisoma hamasa za mitandaoni jinsi watu walivyo hamasika na Tundu Lissu, utadhani ni kweli...

Subiria siku ya uchaguzi, utaniambia kwa matokeo..
P
 
Relax P, Lisu anaijua sheria kukuzidi wewe.
Tundu Lissu is a guru in law anajua kile anachosema and what would be its consequences hivyo huna haja ya kumfundisha.
It's true, TL, ni guru wa law, na wala simfundishi kitu, ila pia we are humans na sio malaika, sometimes ma Guru, wanaweza kusaidiwa na ma layman!.
Kwenye bandiko hili, kuna kosa limefanywa na guru, mimi ni layman tuu, nimeliona kosa hilo, matokeo ya kosa hilo, we as a nation, we all suffer the consequences
P
 
Wanabodi,
Naomba nianze kwa kumpongeza Mhe. Tundu Lisu Kwa kutokuwa muoga kuizungumzia dhana ya udikiteta Tanzania bila uoga, japo the way anavyoielezea anazungumza kwa style ile ile ya uropokaji, hivyo kuonekana kama mropokaji fulani katika kufikisha ujumbe wake, na kweli ujumbe unafika.
Mikutano ya hadhara ni haki ya vyama vya siasa iliyotolewa na katiba ya JMT.
Haki hii ikageuzwa ni hisani, ikaondolewa, sijui ni kwanini Chadema did nothing!.

Sasa Mama Samia kaingia huruma, ametufanyia hisani kubwa kuirejesha haki hii kufuatia maridhiano na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Haki imegeuzwa fadhila, hisani!, unakwenda kupiga magoti kubembeleza!. Unapewa, unashangilia na kupongeza na kupongeza?!, kweli?!...
Siku zote tunawaambia watu humu, hawa jamaa, baadhi yao au wengi wao ni hakuna kitu kabisa!, just an empty shells, nill!.
P
 
Wanabodi,

Declaration of Interest, japo mimi Paskali, ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini hoja zangu zote hutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuzitoa truthfully, with objectivity, impartiality na balance bila bias ya ukada wangu, nimetoa angalizo hili kwa vile watu humu wana vyama vyao na viongozi wao ambao wengine wana waabudia, hivyo nakijua fika kinachomfika mtu atakayepandisha hoja
yoyote, kuwapinga waabudiwa hawa.
Wajemini haya ni maoni na mtazamo wangu tuu and not necessarily I must be right

Paskali
Kwenye Bandiko hili kuna mahali nimesema Hoja za kisiasa zishughulikiwe kisiasa, na hoja za kisheria, zishughulikiwe kisheria. Kushughulikia kisiasa kwa hoja za kisheria, ni kujifurahisha tuu, kamwe hakutaleta matokeo yoyote chanya!.

Nimesoma bandiko hili Kimenuka : Chadema Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni kuwa Chadema wanapanga maandamano kupinga hii miswada ya sheria. Hoja za kisheria zishughulikiwe kisheria na sio kisiasa!.
P
 
Kwenye Bandiko hili kuna mahali nimesema Hoja za kisiasa zishughulikiwe kisiasa, na hoja za kisheria, zishughulikiwe kisheria. Kushughulikia kisiasa kwa hoja za kisheria, ni kujifurahisha tuu, kamwe hakutaleta matokeo yoyote chanya!.

Nimesoma bandiko hili Kimenuka : Chadema Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni kuwa Chadema wanapanga maandamano kupinga hii miswada ya sheria. Hoja za kisheria zishughulikiwe kisheria na sio kisiasa!.
P
Akili yako ishazeeka tulia lea wajukuu wewe popoma
 
Back
Top Bottom