Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Wanabodi,

Kwanza nampongeza Mhe. Tundu Lisu Kwa kutokuwa muoga kuizungumzia dhana ya udikiteta Tanzania bila uoga, japo the way anavyoielezea anazungumza kwa style ya uropokaji hivyo kuonekana kama insane fulani, lakini ujumbe umefika.



Kwa vile Mhe. Tundu Lisu kwanza mwanasheria kisha ndio mwanasiasa, ametuasa tupaze sauti zetu kuupinga huu udikiteta kwa kupiga kelele. Naomba kutofautina na Mhe. Tundu Lisu katika hili la udikiteta, kuwa udikiteta haupingwi kwa Press Conference, kwa maandamano, kwa mikutano ya hadhara, kwa kupaza sauti na kupiga kelele.

Udikiteta unapingwa kwa njia moja tuu, Court Review kupitia Mamlaka ya Mahakama Kuu kutoa kitu kinachoitwa Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3. (
  • certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
  • procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment) mtanisamehe sizijui Kiswahili chake.
Hivyo Lisu kama mwanasheria mbobezi, Mwenyekiti wa TLS na Mwanasheria Mkuu wa Chadema alipaswa kwanza kutumia the legal local remedies available, kwanza kuuthibitisha huo udikiteta, zikishindikana ndipo sauti zipazwe ili kusaidiwa na jumuiya ya kimataifa.

No matter how good someone is, it's not necessarily he/she will always right, na kwa jinsi nilivyomsikia Lisu akimzungumzia rais Magufuli, kama Chadema ndio kinawategemea watu kama hawa kuuingiza ikulu, kiukweli Lisu atawaingiza chaka Chadema kama alivyowaingiza kwenye chaka la katiba.

Tundu Lisu is good in his own way ila sio mtu very dependable yanapokuja masuala nyeti yenye kuhitaji vichwa vilivyotulia. Aendelee kutumika kwenye amsha amsha lakini kwenye very serious issues zinazohitaji busara, Lisu anahitaji usaidizi wa wenye busara.

Chadema kuna tatizo kubwa la matumizi ya busara katika kauli za baadhi ya viongozi wake. Unaweza kukosoa kwa lugha ya kistaarabu na kwa unyenyekevu ukafikisha ujumbe vizuri zaidi kuliko kutumia lugha kali, machukizo, matukano na lugha isiyo ya staha.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...

Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...

Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ..

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa

Umetokota mbaya!
Compilation ya vi article vyako haifanyi hoja yako kuwa angalau na chembe ya ukweli.
Lissu yupo sahihi sana tena sana tu!

Kumbuka kuwa ameahtakiwa mahakamani kwa kumuita magufuli "dikteta uchwara"

Hapo ndio anaithibitishia jamii ya watanzania na ya kimataifa kwa ujumla kuwa huyu "magufuli" ni dicteta uchwara.

Ushahidi unazidi kuongezeka pale utawala wa dicteta uchwara unapomkamata na kumuweka ndani katibu mkuu wa chama cha upinzani kwa makosa ya kutekeleza majukumu yake halali kisheria na kikatiba majukumu ya kisiasa.

Shame on you Pascal Mayalla
 
Kimsingi huwa namheshimu sana mzee Pascal Mayalla na huwa sipendi kujibizana naye hasa kutokana na tofauti ya umri wangu na yeye, lakini kubwa zaidi kutokana na malezi yangu..... Niseme tu, mzee, unaweza kumlaumu Lissu vyovyote ila tu kumbuka kuwa aliyeshiba ni mara chache kumkumbuka mwenye njaa. Ukiangalia jinsi wanavyofanyiwa wa vyama vya upinzani na ukalinganisha na uhuru wanaopewa wanaCCM .......... Utatamani "bora funza atoke tu, haijalishi umetumia nini kumtoa"

Hii hapa chini nimeitoa mahali..... Na ina ukweli sana "Wakati Humphrey Polepole, anafanya mkutano wa kisiasa pale Mageti mia, Bagamoyo, tar.15 July 2017, siku hiyohiyo, muda huohuo, Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Vincent Mashinji alikua anafanya jambo hilohilo mkoani Ruvuma. Lakini Polisi waliompa ulinzi Polepole na mkutano wake, ndio haohao walioharibu kikao cha Chadema na kuweka vuongozi 8 mahabusu kwa saa 48.

Wakati viongozi hao wakiwekwa jela kwa kudaiwa kufanya mikutano ya siasa ambayo imepigwa marufuku, Katibu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka alikua ziarani mkoani Kigoma, ambapo alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki zenye bendera ya CCM na kufanya mikutano na vikao vya chama chake."

By MG
 
Kuna muda nalazimika kukupuuza Pascal Mayalla lakini nafsi inagoma kutekeleza msukumo huo kwa sababu nyingi kutokana na historia yako humu jukwaani.


Ila tu nikuekeze ukweli "umepwaya" mno na haueleweki.


Hivi haujui kuwa Taasisi ya Huyo dikteta huingilia mihimili mingine mfano bunge na mahakama?

Hao majaji katika awamu hii kwani wako huru kihivyo?

Ulitaka Lissu afanyeje sasa?

Hivi case Ya kupinga upuuzi wa kipaza sauti Kule "Bangeni" imeishaje?
 
Huyu ni mnafiki wa siku nyingi sana!!! Mwanzoni alisifia sana serikali, akawa anatafuta tonge! Alipoona hakuna dalili za tonge( yaani kupewa ka cheo kokote ndani ya serikali), akaanza kuchafua hali ya hewa! So, huyu jamaa ni ndumila kuwili design Fulani..!!! Huyu huku kwetu musoma simtofautishi na kitu kinaitwa "msimbe" yaani mwanamke unaeweza kumchukua ilimradi uwe na pesa..!!!
Lowassa ana ziara huko musoma, jiandaeni kudeki na kufagia barabara maana inasemekana ninyi wenyeji wa musoma mko vizuri kwenye hiyo fani
 
Ningeshangaa sana kama Pascal Mayalla ninayemfahamu angekaa kimya bila kujitokeza ku-dilute ujumbe ambao msomi Mh. Tundu Lissu ametaka kuufikisha kwa watu wenye uelewa mpana kuliko wa Watanzania walio wengi.

Naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha wale wote wenye mapenzi mema na nchi hili ambao hawangependa kuona taifa lao pendwa likiangukia mikononi mwa mafashisti wa karne ya 21 kuwapuuzia wanafiki kama Paskali.

Napenda kuwaasa wapenzi wote wa demokrasia kuwa kauli za madikteta popote walipo ndio sheria mama na msimamo wowote unaopingana na kauli ya dikteta moja kwa moja huitwa uchochezi bila kujali uwepo wa Bunge wala Mahakama.

Mh. Tundu Lissu katufikishia ujumbe na sasa ni juu yetu kusuka au kunyoa. Naweza kusema bila kupepesa macho kuwa madhara ya kupuuzia ujumbe huo ni makubwa sana na yana hatari ya kuitikisa misingi ya taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Kamshauri kama anayo ya kusapoti anayodaibaende mahakamani..

Ambacho hamshangazi ni yale yale tuneyazoea kuogopa ushauri wa kweli na kisheria mnamsakama eeeeh

Mnarudi kwenye yale yale ya kufata nikumbo bila hata kufikiria kwanza, kisa Mh. JPM kaongelewa

Namba mtazufi kuisoma hadi mjue kuwa upinzania wenye grade ya juu... kwa sasa hamna kitu endeleeni na porojo zenu huku mkisaga meno.

Wapenda kwenda mahakamani eti wanaogopa mahakani... dunia ina mambo kweli kweli.. eeeeh... hakuna udikteta mnaoutaka uwepo ni uongozi wa kiaina yake eeeeh..
 
Kamshauri kama anayo ya kusapoti anayodaibaende mahakamani..

Ambacho hamshangazi ni yale yale tuneyazoea kuogopa ushauri wa kweli na kisheria mnamsakama eeeeh

Mnarudi kwenye yale yale ya kufata nikumbo bila hata kufikiria kwanza, kisa Mh. JPM kaongelewa

Namba mtazufi kuisoma hadi mjue kuwa upinzania wenye grade ya juu... kwa sasa hamna kitu endeleeni na porojo zenu huku mkisaga meno.

Wapenda kwenda mahakamani eti wanaogopa mahakani... dunia ina mambo kweli kweli.. eeeeh... hakuna udikteta mnaoutaka uwepo ni uongozi wa kiaina yake eeeeh..

Hivi mnadhani nyie ndio RAIA wa nchi hii Pekee mlio na haki zaidi ya Wengine?
 
Sio mbaya hata wazungu wana kamsemo kwamba " opinion is like a butthole everybody has got his/her own" Una opinion kubwa sana.. Nafkiri hata mh.tundu angefurah sana kama ungempa hiyo opinion hako..
 
Kwenye Msuso wa Kisiasa ambao Lissu anashauri tumsuse Magufuli hautahusu kususia Posho za Bunge wala Ruzuku wanazopokea!
 
Wanabodi,

Kwanza nampongeza Mhe. Tundu Lisu Kwa kutokuwa muoga kuizungumzia dhana ya udikiteta Tanzania bila uoga, japo the way anavyoielezea anazungumza kwa style ya uropokaji hivyo kuonekana kama insane fulani, lakini ujumbe umefika.



Kwa vile Mhe. Tundu Lisu kwanza mwanasheria kisha ndio mwanasiasa, ametuasa tupaze sauti zetu kuupinga huu udikiteta kwa kupiga kelele. Naomba kutofautina na Mhe. Tundu Lisu katika hili la udikiteta, kuwa udikiteta haupingwi kwa Press Conference, kwa maandamano, kwa mikutano ya hadhara, kwa kupaza sauti na kupiga kelele.

Udikiteta unapingwa kwa njia moja tuu, Court Review kupitia Mamlaka ya Mahakama Kuu kutoa kitu kinachoitwa Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3. (
  • certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
  • procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment) mtanisamehe sizijui Kiswahili chake.
Hivyo Lisu kama mwanasheria mbobezi, Mwenyekiti wa TLS na Mwanasheria Mkuu wa Chadema alipaswa kwanza kutumia the legal local remedies available, kwanza kuuthibitisha huo udikiteta, zikishindikana ndipo sauti zipazwe ili kusaidiwa na jumuiya ya kimataifa.

No matter how good someone is, it's not necessarily he/she will always right, na kwa jinsi nilivyomsikia Lisu akimzungumzia rais Magufuli, kama Chadema ndio kinawategemea watu kama hawa kuuingiza ikulu, kiukweli Lisu atawaingiza chaka Chadema kama alivyowaingiza kwenye chaka la katiba.

Tundu Lisu is good in his own way ila sio mtu very dependable yanapokuja masuala nyeti yenye kuhitaji vichwa vilivyotulia. Aendelee kutumika kwenye amsha amsha lakini kwenye very serious issues zinazohitaji busara, Lisu anahitaji usaidizi wa wenye busara.

Chadema kuna tatizo kubwa la matumizi ya busara katika kauli za baadhi ya viongozi wake. Unaweza kukosoa kwa lugha ya kistaarabu na kwa unyenyekevu ukafikisha ujumbe vizuri zaidi kuliko kutumia lugha kali, machukizo, matukano na lugha isiyo ya staha.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...

Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...

Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ..

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa


Lisu vs jpm Nani mropokaji zaidi,bukoba alisemaje,pale Lumumba alisemaje,chuo kikuu aliropokaje nk nk,
 
Paskal Mayalla nikuambie kwa kawaida viongozi wa kisiasa hasa watawala wa kiafrika huwa hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma. Kwa hiyo njia aliyotumia Lissu ndio njia sahihi kabisa, na iwapo kuna mwingine anaona njia ya mahakama ni bora basi anaweza kuitumia.

Kwa taarifa yako njia aliyoitumia Lissu leo imefika kwa usahihi na ninakuhakikishia imeacha damage kubwa kuliko hiyo njia ya mahakama unayosema. Hatupingi hiyo njia ya mahakama lakini ina less impact. Jaribu kuangalia wanaomtetea mkulu kwenye ule uzi, hakuna anayejibu au kutoa majibu ya kuridhisha zaidi ya kejeli na personal attack, matusi mengi nk. Maana yake ni nini ukiona hivyo ujue ujumbe umefika sehemu sawia.
 
Back
Top Bottom