Hoja ya tundu lissu na wingi wa wabunge wa ccm

Ha2na "AG" kwasasa ni "kiazi" 2 kipo bora tarehe imekua counted. Nilianza kumdisi jamaa toka ilpo letwa hoja ya mchakato wa katiba mpya, ilivyo mfikia jamaa aling'aka huku akionesha jazba kwa mbali utafikiri kaletewa talaka. Mwisho wa cku akatoa hoja eti hakuna haja ya katiba mpya labda ka inafanyiwa mabadililo. Kama mwana sheria msomi hakutakiwa kukurupuka na kunena vile. Hapo ndo'nilianza kuwa na mashaka naye, na kadiri cku zinavyojongea ndo'vumbi na moshi wa carbon dioxide linavyojizihirisha kwa kiasi gani limejaa kichwani mwa jamaa.

magamba yanakuuma kalale bana waache wanaoweza kuandika hoja za maana
 
Lissu alikuwa na hoja za maana lakini nyingi kati yake hazifai na haziwezekani kwa katiba iliyopo sasa. Huwezi kuwa na mtendaji wa mahakama anayepitishwa na bunge wakati bosi wake (jaji mkuu hakupitishwa na bunge). Nilifurahi pale Lissu mwenyewe alipoondoa moja ya hoja zake baada ya kugundua alifanya makosa ya kiufundi kwa kuchanganya mwenyekiti wa tume ya mahakama na jaji mkuu wakati ni mtu yule yule. Mawazo yake yatafaa katika kujenga katiba mpya lakini kwa sasa hayatekelezeki. Sina hakika wabunge wengi waliyakataa kwa kuzingatia katiba au uwingi wao lakini katika kura ya kuhojiwa wapo wa CCM waliokubali hoja ya Lissu akiwemo waziri mkuu.
 
NDIO nikawambia watanzania kuwa huhitaji kuwa na spika kutoka kwenye ideology ya chama tunahitaji speaker aliekua si mwanachama wa chama chochote alie na credibilty like Shivji and others Utanzania first uchama next.
Pia huu undumilakuwili wa kuwa Rais anamaliza kodi za nchi kwa kutembelea na ndege na misafara na mabodigadi na waandishi ati ni Mweneyekiti wa chama hii inabidi tuwe na sheria ya kumkataza Rais ikiwa alikua na madaraka yoyote ya kichama yaishie pale anapoaapishwa kuwa Rais kwua kuanzia mda ule yeye ni Mtu wa serikali sio mtu wa kutoa sadaka vyeo kwa vile ni mwenyekiti wa chama ili afurahishe watu ndani ya chama chake ni sheria kuwa apoint watu wa chama chake ila sio hii style ya Kiwete.
 
Back
Top Bottom