Huyu mbowe huyu anazo nguvu nyingi sana, hata za kiteuwa mahabusu.Mnyikia ni mhuni halafu hajui kuwa mbowe anajuwa ishu yote ndiyo maana kakaa kimya amebakiyeye na BAWACHA.
Huyu mbowe huyu anazo nguvu nyingi sana, hata za kiteuwa mahabusu.Mnyikia ni mhuni halafu hajui kuwa mbowe anajuwa ishu yote ndiyo maana kakaa kimya amebakiyeye na BAWACHA.
Ndugai ni mpuuzi mmoja, hivi aliyekaa kwenye kiti cha speaker name kukitumia kihuni huni periodHao wabunge walikanwa na CHADEMA. Sasa kama CHADEMA imedai haikuwateua kuwakilisha CHADEMA swala la kufukuzwa siyo lazima liwe sababu kuu ya Ndugai kutowaondoa. Siyo kazi ya Ndugai kutafsiri katiba ya CHADEMA. Ndugai siyo mwanachama wa CHADEMA na haitii katiba ya CHADEMA.
Mbowe ni tajiri!Mbona mbowe katulia tuli wala hazungumzi kitu?
Huwa nasemaga mimi,uenyekiti wa MBOWE unawanufaisha zaidi CCM kuliko CHADEMAhaswaaaa huyu jamaa ni noma ana akili nyingi yeye na ndugai wameshika rimote mnyika anahaha huko
Ndugai amewapa Chadema maelezo mengine kwamba wapeleke barua yenye viambatanishoHivi ukimuita mtu na asitokee bado haki yake ya kusikilizwa inakuwa reserved?
Hawa wako 19, how comes wote kwa pamoja wakawa na dharura na kushindwa kuitikia wito wa chama? Don't you smell anything fishy?!
Bwasheee sijakuelewa hapoMbowe ni tajiri!
Masikini ndio akipata matakoo hulia mbwata!