Moses James
Senior Member
- Dec 13, 2012
- 131
- 21
Mimi kama mwanachama wa CHASO Arusha nataka sema kwamba hoja hiyo haina mashiko na hivyo hatuna mda wa kumjibu upuuzi aliouandika kwenye Facebook yake. Taarifa ile ya chaso imetolewa kwenye kikao cha ndani ya chama. Hata hivyo kwani ridhiwani una maslahi gani na uanachama wa zitto kwetu Chadema.