Hoja ya Polepole: Katiba inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani siyo Rais aliyeingia madarakani. CHADEMA waelewe hili

Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba " Warioba" na mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema Katiba huwa inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani na siyo Rais aliyeingia madarakani

Polepole amesema hata mzee Kikwete alitaka kutengeneza katiba mpya wakati anatoka madarakani

Hivyo wale wote wanaoshinikiza katiba mpya sasa wanafanya kosa kubwa amesisitiza Polepole.

Source: The Big Agenda Star tv.
Huyo ni mpumbavu anaongea haya sababu wao hawakuendeleza mjadala wa Katiba mpya

Labda tujiulize, Rais anayetoka si ndio aliyepo mpaka siku atakapoapa mwingine??

Kwa hiyo anataka kusema haitatokea Rais anayetoka sababu Rais anayetoka huwa hayupo Bali siku anayotoka ndio anakuwa ameshatoka na anayeingia hawezi kuja kuwa Rais anayetoka mpaka atakapotoka.

Kwa maana nyingine basi Katiba haitapatikana. Jinga kabisa huyu mzee kijana
 
Huyo ni mpumbavu anaongea haya sababu wao hawakuendeleza mjadala wa Katiba mpya

Labda tujiulize, Rais anayetoka si ndio aliyepo mpaka siku atakapoapa mwingine??

Kwa hiyo anataka kusema haitatokea Rais anayetoka sababu Rais anayetoka huwa hayupo Bali siku anayotoka ndio anakuwa ameshatoka na anayeingia hawezi kuja kuwa Rais anayetoka mpaka atakapotoka.

Kwa maana nyingine basi Katiba haitapatikana. Jinga kabisa huyu mzee kijana
Halafu hajasema kama hiyo ni Kwa Tanzania tu au duniani kote!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom