Naunga Mkono HojaHilo likae likieleweka kama lilivyo
Tuna vitu vya msingi sana ambavyo tumemchallange sisi wananchi kama walipa kodi katika utawala wake ambavyo vinahitaji majibu kwa haraka sana kuliko drama anazozionesha kila kukicha huyu bwana Juma Poor Manager.
Tunataka kumhakikishia kuwa mambo hayo hapo juu ni ya msingi na bado tutaendelea kushikilia msimamo huo.
Daudi bashite aoneshe vyeti
Daudi bashite ana case ya kujibu dhidi ya clouds media.
Vyombo vya habari tafadhali muendelee na msimamo wenu.
Kilo ya sukari sh ngapNaunga Mkono Hoja
Tunalala na Bashite na Tunaamka na Bashite
Kachukue formNi kweli bado tunahitaji hatua zichukuliwe dhidi ya Daudi Bashite ambaye jina lake la kisanii na lakughushi ni Makonda.
Hatua zichukuliwe juu yake kwa mambo mawili
1: kughushi cheti
2:kutumia madaraka vibaya kwakuvamia clauds kushinikiza kitu cha ajabu ambacho mtu mwenye akili hawezi kufanya.
Kachukue formHilo likae likieleweka kama lilivyo
Tuna vitu vya msingi sana ambavyo tumemchallange sisi wananchi kama walipa kodi katika utawala wake ambavyo vinahitaji majibu kwa haraka sana kuliko drama anazozionesha kila kukicha huyu bwana Juma Poor Manager.
Tunataka kumhakikishia kuwa mambo hayo hapo juu ni ya msingi na bado tutaendelea kushikilia msimamo huo.
Daudi bashite aoneshe vyeti
Daudi bashite ana case ya kujibu dhidi ya clouds media.
Vyombo vya habari tafadhali muendelee na msimamo wenu.
Na hii ya Nay wa mitego inauhusiano wa karibu sana na kumlea bashite kwenye vyeti na uvamizi wa clouds, vitu vilivyopelekea aliyekuwaziri Nape kutumbuliwa kwa majigambo ya "Makonda chapa kaziii... sipangiwi" na kosha kutishiwa kwa bastola hadharani.Hilo likae likieleweka kama lilivyo
Tuna vitu vya msingi sana ambavyo tumemchallange sisi wananchi kama walipa kodi katika utawala wake ambavyo vinahitaji majibu kwa haraka sana kuliko drama anazozionesha kila kukicha huyu bwana Juma Poor Manager.
Tunataka kumhakikishia kuwa mambo hayo hapo juu ni ya msingi na bado tutaendelea kushikilia msimamo huo.
Daudi bashite aoneshe vyeti
Daudi bashite ana case ya kujibu dhidi ya clouds media.
Vyombo vya habari tafadhali muendelee na msimamo wenu.
Hatuwez tena kuendeshwa kwa maigizo na matukio
Hichi Ndio anachojaribu mkuu Na sishangai ikiwa itakuwa amepanga Na Hili Ili kufuta la Bashite Lkn atamaliza Kiki zote Lkn hela Bashite hatutoliachaHilo likae likieleweka kama lilivyo
Tuna vitu vya msingi sana ambavyo tumemchallange sisi wananchi kama walipa kodi katika utawala wake ambavyo vinahitaji majibu kwa haraka sana kuliko drama anazozionesha kila kukicha huyu bwana Juma Poor Manager.
Tunataka kumhakikishia kuwa mambo hayo hapo juu ni ya msingi na bado tutaendelea kushikilia msimamo huo.
Daudi bashite aoneshe vyeti
Daudi bashite ana case ya kujibu dhidi ya clouds media.
Vyombo vya habari tafadhali muendelee na msimamo wenu.
Matamko matamko. Leo limesemwa hili kesho linapingwa.Hilo likae likieleweka kama lilivyo
Tuna vitu vya msingi sana ambavyo tumemchallange sisi wananchi kama walipa kodi katika utawala wake ambavyo vinahitaji majibu kwa haraka sana kuliko drama anazozionesha kila kukicha huyu bwana Juma Poor Manager.
Tunataka kumhakikishia kuwa mambo hayo hapo juu ni ya msingi na bado tutaendelea kushikilia msimamo huo.
Daudi bashite aoneshe vyeti
Daudi bashite ana case ya kujibu dhidi ya clouds media.
Vyombo vya habari tafadhali muendelee na msimamo wenu.