Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
kuhusu migodi ya madini Tanzania, kwa upande wangu hatuhitaji hata wawekezaji. tunatakiwa tuwe na demonstrated example ya uchimbaji wa madini ya nzega, kahama, Mpanda, Mbeya , Mwanza n.k. Ukiangalia madini yote tanzania hasa upande wa Dhahabu, galena, copper, Iron, Manganese ya Kigoma, nickel, silver, ukiyafanyia analysis utakuta yako kwenye categories kama hivi, coppernagold zinakuwa pamoja au gold na galena zinakuwa pamoja au copper gold na silver zinakuwa pamoja n.k. Uchimbaji wa madini haya ni wa aina moja na vifaa vinavyotumika ni aina moja tu kwa madini hayo yote. Nyinyio kama wabunge vijana unganene mtoa tofauti zenu za vyama mtengeneze demonstrated example ya kuchimba mpaka kuprocess. Machines nzuri za kuchimbia one set kwa wachimbaji wadogo zinagharimu kama Usd 3,000 tu. machine za kuprocess copper, gold, pb,Ag, manganese concentrates ndogo zinagharimu kama Usd 26,000 tu. hapo utapata crusher,ball mill ndogo,floatation machine ndogo na screen seperator tatu. Watanzania wanatakiwa demonstrated examples.Homeboy Kingwangallah,
Alichofanya Zitto ni SIASA. Kama umeshacheza mchezo wa Chess au Draft, hiyo inaitwa unampa kwanza mtu ale ili mwishoni ajipange vizuri kwenye mstari na mwisho unammaliza kiurahisi.
Ukisoma historia ya Mtemi Mirambo, mzee ambaye nimetokea kumheshimu sana, alitumia mbinu hizi kwa kujifanya anamkimbia adui na adui akajileta kwenye msitu aliokuwa kajipanga vizuri na hapo alitembeza kipigo cha Mbwa mwizi.
Alichokifanya Zitto ni kuwatega CCM kitoto sana. Alileta mada ambayo alijua LAZIMA CCM ITAPINGA. Ila hamkujua kwamba kwa kufanya hivyo, mmeshampa nafasi ya kwenda Tanga kuwashitaki kwa wananchi. Na cha ajabu si kuwa aliwashtukiza kwani kabla ya vikao, huwa kila kitakachosomwa, kinawekwa hadharani kwenu. Sijui kwa nini hata mwana CCM mmoja mwenye kuona mbali, hakuliona hilo. Anyway, kama wabunge wa CCM kwenye mkutano walimtuma Wasira na akapiga kura kuwaondoa wasigombee NEC bila kujua na mwisho anamuuliza Kinana mpango umefikia wapi wakati mwenyewe alijifunga goli bila kujua, huwezi kushangaa.
Kuhusu kesi ya kuwatetea wananchi wa Nzega kuhusu migodi, nakubaliana na wewe kuwa ulifanya makosa makubwa. Kama kweli una nia ya dhati kulifanikisha swala hilo, kwa nini usiwaone wataalamu. Mie ningelikuwa mgonjwa, ningelikuja kwako unitibu. Kwenye swala la migodi, utatakiwa kumuona mtaalamu wa sheria maana huwezi kwenda kwa kutumia mabavu. Na inapokuja swala la SHERIA na kupigania haki za binadamu/wanyamwezi, tafadhali weka taifa mbele na chama nyuma. Wala usifikiri mara mbili mbili, wee nenda muone Mpiganaji, TUNDU LISU na nina imani atakusaidia sana sana. Hata watu kama Dr. Slaa inapokuja kwenye mambo ya sheria anaweza kuwa msaada mkubwa.
UDSM au sehemu nyingine nyingi tu, kuna Wanasheria waliobobea na wanaweka taifa mbele, watakusaidia sana. Hata kaka Samuel Sitta anaweza kukusaidia kama kweli una nia ya dhati. Ila katika hao wote, bado nina imani Tundu Lisu is the best.
Angalizo: Ninavyosema Tundu Lisu au Slaa, simaanishi CHADEMA. Ninavyosema Sitta simaanishi CCM.
WAlimchagua wa nini mtu anayewadidimiza?
Homeboy Kingwangallah,
Alichofanya Zitto ni SIASA. Kama umeshacheza mchezo wa Chess au Draft, hiyo inaitwa unampa kwanza mtu ale ili mwishoni ajipange vizuri kwenye mstari na mwisho unammaliza kiurahisi.
Ukisoma historia ya Mtemi Mirambo, mzee ambaye nimetokea kumheshimu sana, alitumia mbinu hizi kwa kujifanya anamkimbia adui na adui akajileta kwenye msitu aliokuwa kajipanga vizuri na hapo alitembeza kipigo cha Mbwa mwizi.
Alichokifanya Zitto ni kuwatega CCM kitoto sana. Alileta mada ambayo alijua LAZIMA CCM ITAPINGA. Ila hamkujua kwamba kwa kufanya hivyo, mmeshampa nafasi ya kwenda Tanga kuwashitaki kwa wananchi. Na cha ajabu si kuwa aliwashtukiza kwani kabla ya vikao, huwa kila kitakachosomwa, kinawekwa hadharani kwenu. Sijui kwa nini hata mwana CCM mmoja mwenye kuona mbali, hakuliona hilo. Anyway, kama wabunge wa CCM kwenye mkutano walimtuma Wasira na akapiga kura kuwaondoa wasigombee NEC bila kujua na mwisho anamuuliza Kinana mpango umefikia wapi wakati mwenyewe alijifunga goli bila kujua, huwezi kushangaa.
Kuhusu kesi ya kuwatetea wananchi wa Nzega kuhusu migodi, nakubaliana na wewe kuwa ulifanya makosa makubwa. Kama kweli una nia ya dhati kulifanikisha swala hilo, kwa nini usiwaone wataalamu. Mie ningelikuwa mgonjwa, ningelikuja kwako unitibu. Kwenye swala la migodi, utatakiwa kumuona mtaalamu wa sheria maana huwezi kwenda kwa kutumia mabavu. Na inapokuja swala la SHERIA na kupigania haki za binadamu/wanyamwezi, tafadhali weka taifa mbele na chama nyuma. Wala usifikiri mara mbili mbili, wee nenda muone Mpiganaji, TUNDU LISU na nina imani atakusaidia sana sana. Hata watu kama Dr. Slaa inapokuja kwenye mambo ya sheria anaweza kuwa msaada mkubwa.
UDSM au sehemu nyingine nyingi tu, kuna Wanasheria waliobobea na wanaweka taifa mbele, watakusaidia sana. Hata kaka Samuel Sitta anaweza kukusaidia kama kweli una nia ya dhati. Ila katika hao wote, bado nina imani Tundu Lisu is the best.
Angalizo: Ninavyosema Tundu Lisu au Slaa, simaanishi CHADEMA. Ninavyosema Sitta simaanishi CCM.
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...