Hoja ya Mh. Lema kuhusu biashara ya usafiri wa anga

energizertz

New Member
Jan 20, 2018
4
23
Mbunge wa Arusha Mjini, Mh. Godbless Lema ameendelea kuonyesha ukomavu wake wa kisiasa, hasa baada ya kuzungumzia kwa ufasaha namna serikali ya awamu ya tano ilivyojiingiza kichwa kichwa ktk biashara ndege, kama clip hiyo ilivyooneka YouTube.

Mimi mwenyewe ni miongoni mwa Wazalendo waliotamani kuona nchi ikipiga hatua na hatiamaye kuwa na sehemu katika anga la kimataifa. Lakini sikutamani kuona hilo likitokea katika namna au staili ya kukurupuka, without detailed feasibility studies na kuhusisha maoni ya wadau wa biashara hii nyeti.

Kufuatia ununuzi wa ndege unaoendelea, ukiachilia mbali "waimba mapambio", kama anavyowaita Mh. Lema, wadau wengi wenye nia njema na ustawi wa nchi hii wamekuwa wakitoa maoni juu ukurupukaji (lack of strategy), wenye viashiria vyote vya kuanguka kwa biashara hii na kusababishia nchi hasara, huku mahitaji ya msingi na vipaumbele yakiendelea kuzorota na kudumaza hali ya mwananchi wa kawaida.

Mengi yamezungumzwa, na mwenye masikio na asikie. But it is imortant to understand a country is built through collective ideologies and respected differences.

Tunahitaji viongozi kama kila Lema (opposition leaders at large), wanaochukua muda wao kudadavua mambo muhimu na kutoa ushauri wenye mashiko badala ya kuimba praise songs (mataga in caption). Hivyo Lema et. al, hongereni na msikate tamaa endeleeni kupigani taifa hili pendwa.

#Tanzania4All
 
Lema mnafiki tu, aliongea kwa kejeli akiwa bungeni wakati wa awamu ya nne, sasa anajibiwa kwa vitendo.

Kuna wataalam wenye uwezo mkubwa wanaiongoza sekta ya anga, Lema hana kipya wala maarifa ya kukaa nao karibu na kuwashauri jambo lolote kuhusu hii sekta.

Yeye aendelee tu kuwa mmoja wa abiria wa hizi ndege.
 
Lema mnafiki tu, aliongea kwa kejeli akiwa bungeni wakati wa awamu ya nne, sasa anajibiwa kwa vitendo.

Kuna wataalam wenye uwezo mkubwa wanaiongoza sekta ya anga, Lema hana kipya wala maarifa ya kukaa nao karibu na kuwashauri jambo lolote kuhusu hii sekta.

Yeye aendelee tu kuwa mmoja wa abiria wa hizi ndege.
Ameshajibiwa na wataalam hivyo hoja yake ni mfilisi.
 
Ni wazo zuri kuwa na ndege kama taifa kwa kurahisisha usafiri wa anga ndani na nje ya nchi kama alama ya utaifa hila linapo kuja swala la mkanganyiko wa ununuzi bila kushirikisha bunge kama wasimamizi wa maendeleo na shirika ATCL kuhamishiwa ikulu ili isikaguliwe na mkaguzi Mkuu na mdhibiti wa hesabu za serikali na kuendelea kuona ziki nunuliwa kama magari kuna uwalakini hapa.


Ccc NAKWEDE
 
Lema mnafiki tu, aliongea kwa kejeli akiwa bungeni wakati wa awamu ya nne, sasa anajibiwa kwa vitendo.

Kuna wataalam wenye uwezo mkubwa wanaiongoza sekta ya anga, Lema hana kipya wala maarifa ya kukaa nao karibu na kuwashauri jambo lolote kuhusu hii sekta.

Yeye aendelee tu kuwa mmoja wa abiria wa hizi ndege.
Unaweza ukawa na wataalamu wazuri wa Usafiri wa Anga na biashara ya ndege lakini mazingira kwa " National Airlines" Ku-sustain kwenye biashara siyo rahisi!!

Wengi wanadhani pengine utawala wa Mwinyi, BWM na JK ulihujumu ATC?? Si kweli kwa kuwa kwa kipindi hicho mashirika ya ndege yaliyokufa siyo ATC pekee bali hata nchi za majirani wetu nayo yalikufa kasoro Kenya Airways kwa vile waliingia ubia na KLM.

Kwa mtazamo wangu tungeigufua ATCL kwa ajili ya soko la ndani na nchi za Afrika Mashariki kwa miaka 5 kwanza. Halafu kama kuna haja ya kwenda Afrika nzima na huko Asia tungejitathmini baada ya miaka 5 kwa kuangalia performance na profitability.

Mazingira yaliyoyosabanisha ATC ife kipindi cha BWM na JK naona bado yapo. Kwa kuwa yamesababisha hata mashirika ya kimataifa kama SABENA, ALITALIA , BRITISH AIRWAYS, SAS na Air France kusiyisha safari zao kuja Tanzania.

Kuanza ATCL na appetite kubwa ya biashara ni kukurupuka
 
Unaweza ukawa na wataalamu wazuri wa Usafiri wa Anga na biashara ya ndege lakini mazingira kwa " National Airlines" Ku-sustain kwenye biashara siyo rahisi!!

Wengi wanadhani pengine utawala wa Mwinyi, BWM na JK ulihujumu ATC?? Si kweli kwa kuwa kwa kipindi hicho mashirika ya ndege yaliyokufa siyo ATC pekee bali hata nchi za majirani wetu nayo yalikufa kasoro Kenya Airways kwa vile waliingia ubia na KLM.

Kwa mtazamo wangu tungeigufua ATCL kwa ajili ya soko la ndani na nchi za Afrika Mashariki kwa miaka 5 kwanza. Halafu kama kuna haja ya kwenda Afrika nzima na huko Asia tungejitathmini baada ya miaka 5 kwa kuangalia performance na profitability.

Mazingira yaliyoyosabanisha ATC ife kipindi cha BWM na JK naona bado yapo. Kwa kuwa yamesababisha hata mashirika ya kimataifa kama SABENA, ALITALIA , BRITISH AIRWAYS, SAS na Air France kusiyisha safari zao kuja Tanzania.

Kuanza ATCL na appetite kubwa ya biashara ni kukurupuka
Hii ndio bongoland kila mtu anafahamu kila kitu.
 
Unaweza ukawa na wataalamu wazuri wa Usafiri wa Anga na biashara ya ndege lakini mazingira kwa " National Airlines" Ku-sustain kwenye biashara siyo rahisi!!

Wengi wanadhani pengine utawala wa Mwinyi, BWM na JK ulihujumu ATC?? Si kweli kwa kuwa kwa kipindi hicho mashirika ya ndege yaliyokufa siyo ATC pekee bali hata nchi za majirani wetu nayo yalikufa kasoro Kenya Airways kwa vile waliingia ubia na KLM.

Kwa mtazamo wangu tungeigufua ATCL kwa ajili ya soko la ndani na nchi za Afrika Mashariki kwa miaka 5 kwanza. Halafu kama kuna haja ya kwenda Afrika nzima na huko Asia tungejitathmini baada ya miaka 5 kwa kuangalia performance na profitability.

Mazingira yaliyoyosabanisha ATC ife kipindi cha BWM na JK naona bado yapo. Kwa kuwa yamesababisha hata mashirika ya kimataifa kama SABENA, ALITALIA , BRITISH AIRWAYS, SAS na Air France kusiyisha safari zao kuja Tanzania.

Kuanza ATCL na appetite kubwa ya biashara ni kukurupuka
Kwanza wachangiaji tujue ATCL imefufuliwa lakini haina ndege. Ndege mnazoita za ATCL ni mali ya serikali. Maana yake shirika likishindwa kujiendesha serikali inachukua ndege zake. Huu ndio mkakati uliofanywa na Serikali ya awamu ya tano, kuwa Shirika lisibweteke, lifanye kazi yenye kuonyesha matokeo. Huu sio wakati wa siasa za Ujamaa ambapo mashirika ya umma yaliendeshwa kwa ruzuku ya serikali. ATC ya wakati huo isingeweza kudumu ndio maana Vita tu ya Uganda iliifilisi nchi na mashirika ya umma kufa.
 
Ameshajibiwa na wataalam hivyo hoja yake ni mfilisi.


Hakuna utata wowote hoja ya msingi ya Mrema ni kwamba serikali haiwezi kufanya biashara na duniani kote biashara ni kazi ya private sector. Kwani hapa tanzania hatukuwa na Ndege wakati wa Nyerere zilikwenda wapi, hatukuwa na mabasi ya KAMATA yalikwenda wapi, hatukuwa na mabasi ya TRC yalikwenda wapi, hatukuwa na hoteli za TRC zilikwenda wapi, na je private sectors hawafanyi biashara ya hotel, hawafanyi biashara ya mabasi mbona wao wanaendelea kufanya kwa ufanisi. Private sector inafanikiwa kutokana na flexibility kwenye maamuzi jambo ambalo kwa serikali haiwezekani sababu maamuzi ni ya vikao. Iko mifano mingi sana, angalia mashirika ya umma yaliyobinafsishwa sababu yake ilikuwa nini hadi kubinafsisha ni kutokana na serikali kushindwa kufanya biashara.

Hatuhitaji kuleta ushabiki kwenye mambo yaliyowazi kabisa na ambayo kila mtu anajuwa tumetoka wapi na tumefika wapi. Kuingiza biashara serikalini ni kujaribu kurudia kufanya majarbu japo wote tunafahamu fika kuwa mwisho wa siku seriakali itaishia kuuza hisa na kuachana na biashara hizo. Lakini tutakuwa tumeshapata hasara kubwa. Kumbukumbu zinaonesha tayari tunapata hasara sasa tutaendelea kupata hasara hivo hivo kwasababu South Africa, Rwanda na Kenya wanapata hasara. Hiyo siyo sawa.

Ukweli ni kwamba serikali haiwezi kushindana kibiashara na private sector ndiyo maana hatua ya kwanza ilikuwa kuweka mazingira ya monopoly kwa kuweka stop kwa fast jet. Tutatumia nguvu zote kutetea serikali kufanya biashara lakini ukweli unajulikana kuwa serikali haiwezi kufanya biashara kwa ufanisi tafiti zimethibitisha hivo kutokana na mfumo wake wa utendaji kazi.
 
Lema na biashara ya ndege wapi na wapi? Bidhaa zote za madukani Tanzania tunanunua kwa pesa za kigeni Hadi pesa yake ya mikopo wa gari aliokopeshwa na bunge .Alishawahi hoji kuwa kwa Nini wabunge wakopeshwe magari ya mabilioni na kampuni za kuuza magari ,pikpiki na Bajaj ziuze kwa pesa za Tanzania wakati magari yamenunuliwa kwa pesa za kigeni? Kuwa hizo pesa za kigeni zitarudije wakati wabunge wote na viongozi wa serikali hukopeshwa kwa pesa za Tanzania na wanunuzi huuziwa kwa pesa za Tanzania? mafuta ya magari na mitambo yote Tanzania hununuliwa kwa pesa za kigeni Alishawahi kukaa na wajinga wenzie wa chadema kujiuliza kuwa inakuwaje serikali inunue mafuta kwa matrilioni ya pesa za kigeni halafu iuzie wananchi kwa hela za Tanzania? Wana strategy au la?

Nikiri wazi chadema ni chama kilichojaa wapumbavu ndio maaana kina profesa mwanachama mmoja tu profesa safari na dk mmoja tu Rwaitama.

Argument ya Godless Lema ni ya kijinga
Bidhaa zote za majumbani na viwandani nyingi hununuliwa nje kwa pesa za kigeni yawe mabasi ,malori,vifaa vya umeme nk Alishawahi jiuliza huwa zinarudije pesa za kigeni wakati nchini zinauzwa kwa hela za Tanzania?
Lema kaa mbali mambo ya uchumi sio saizi yako
 
Hakuna utata wowote hoja ya msingi ya Mrema ni kwamba serikali haiwezi kufanya biashara na duniani kote biashara ni kazi ya private sector. Kwani hapa tanzania hatukuwa na Ndege wakati wa Nyerere zilikwenda wapi, hatukuwa na mabasi ya KAMATA yalikwenda wapi, hatukuwa na mabasi ya TRC yalikwenda wapi, hatukuwa na hoteli za TRC zilikwenda wapi, na je private sectors hawafanyi biashara ya hotel, hawafanyi biashara ya mabasi mbona wao wanaendelea kufanya kwa ufanisi. Private sector inafanikiwa kutokana na flexibility kwenye maamuzi jambo ambalo kwa serikali haiwezekani sababu maamuzi ni ya vikao. Iko mifano mingi sana, angalia mashirika ya umma yaliyobinafsishwa sababu yake ilikuwa nini hadi kubinafsisha ni kutokana na serikali kushindwa kufanya biashara.

Hatuhitaji kuleta ushabiki kwenye mambo yaliyowazi kabisa na ambayo kila mtu anajuwa tumetoka wapi na tumefika wapi. Kuingiza biashara serikalini ni kujaribu kurudia kufanya majarbu japo wote tunafahamu fika kuwa mwisho wa siku seriakali itaishia kuuza hisa na kuachana na biashara hizo. Lakini tutakuwa tumeshapata hasara kubwa. Kumbukumbu zinaonesha tayari tunapata hasara sasa tutaendelea kupata hasara hivo hivo kwasababu South Africa, Rwanda na Kenya wanapata hasara. Hiyo siyo sawa.

Ukweli ni kwamba serikali haiwezi kushindana kibiashara na private sector ndiyo maana hatua ya kwanza ilikuwa kuweka mazingira ya monopoly kwa kuweka stop kwa fast jet. Tutatumia nguvu zote kutetea serikali kufanya biashara lakini ukweli unajulikana kuwa serikali haiwezi kufanya biashara kwa ufanisi tafiti zimethibitisha hivo kutokana na mfumo wake wa utendaji kazi.
Ni tatizo la uelewa tu, hakuna sheria iliyofuta uwekezaji wa sekta binafsi ktk usafiri wa anga. Wapo na wamekuwepo karibu miaka 20 sasa tujiulize kwanini bado kuna ombwe ktk usafiri wa anga.

Tanzania tuliwahi kuwa na ATC moja ya mashirika ya umma yaliyokuwa yakiendeshwa kwa ruzuku, sababu ya siasa za wakati huo (sio kibiashara) Leo tuna kampuni ATCL inayokodishiwa ndege na serikali, kuna hofu gani ya hasara kwa serikali kuingiza pesa kwa kukodisha ndege zake? Yaani umejenga nyumba hukai umepangisha watu, halafu unahofia kutoingiza fedha, mpangaji akishindwa kukulipa si unamfukuza tu.

Kufa kwa ATC kulisikitisha wengi ndio maana mijadala bungeni kwa miaka kadhaa ilikuwa shirika lifufuliwe na pitia ilani za vyama vyote 2015, ahadi zilikuwa hizo, kufufua ATC. Washauri wa uchumi na sheria walimshauri JPM badili sheria anzisha kampuni na isiwe na ndege bali wakodishwe la sivyo zitafirisiwa na madeni ya ATC. Kuna kosa gani?

Kama ni siasa basi zinafanywa na watu ambao jana waliponda nchi kutokuwa na ndege, lakini leo sababu kazi hiyo inafanywa na Mtu wasiemtaka wanaongea lugha nyingine.
 
Wengi wanaomshambulia Lema wanatumia lugha ya za kejeli bila kutumia akili au weledi!. Wanatumia hoja hafifu mno isiyohitaji kufikiri zaidi ya ushabiki wa kindezindezi. Ni Vyema kama kitu hujui uache kuandika pumba za udaku, tuwe na tabia ya kutumia akili kufikiri.
 
Lema na biashara ya ndege wapi na wapi? Bidhaa zote za madukani Tanzania tunanunua kwa pesa za kigeni Hadi pesa yake ya mikopo wa gari aliokopeshwa na bunge .Alishawahi hoji kuwa kwa Nini wabunge wakopeshwe magari ya mabilioni na kampuni za kuuza magari ,pikpiki na Bajaj ziuze kwa pesa za Tanzania wakati magari yamenunuliwa kwa pesa za kigeni? Kuwa hizo pesa za kigeni zitarudije wakati wabunge wote na viongozi wa serikali hukopeshwa kwa pesa za Tanzania na wanunuzi huuziwa kwa pesa za Tanzania? mafuta ya magari na mitambo yote Tanzania hununuliwa kwa pesa za kigeni Alishawahi kukaa na wajinga wenzie wa chadema kujiuliza kuwa inakuwaje serikali inunue mafuta kwa matrilioni ya pesa za kigeni halafu iuzie wananchi kwa hela za Tanzania? Wana strategy au la?

Nikiri wazi chadema ni chama kilichojaa wapumbavu ndio maaana kina profesa mwanachama mmoja tu profesa safari na dk mmoja tu Rwaitama.

Argument ya Godless Lema ni ya kijinga
Bidhaa zote za majumbani na viwandani nyingi hununuliwa nje kwa pesa za kigeni yawe mabasi ,malori,vifaa vya umeme nk Alishawahi jiuliza huwa zinarudije pesa za kigeni wakati nchini zinauzwa kwa hela za Tanzania?
Lema kaa mbali mambo ya uchumi sio saizi yako

My son used to argue better and logically than your irrational rhetorics posted here. And he was only 5 years old at the time.
 
My son used to argue better and logically than your irrational rhetorics posted here. And he was only 5 years old at the time.
It is ok stay with your stupid son who doesn't even ask why his toys are imported using foreign currency and sold in Tanzania shillings?

.How can foreign currency be recovered in that scenario? In short your son is stupid.Tell him.You are wasting your money to pay school fees for him
 
It is ok stay with your stupid son who doesn't even ask why his toys are imported using foreign currency and sold in Tanzania shillings?

.How can foreign currency be recovered in that scenario? In short your son is stupid.Tell him.You are wasting your money to pay school fees for him

You too stupid to realise that you are actually stupid. The boy is on scholarship abroad and he went nowhere near your "free schools". If he could reason out better than you in his tender age of 5 what does that make you?
Wewe endelea kuimba mapambio, ndicho pekee unachoweza. Huna sufficient mental capacity to decipher what Lema was saying.
 
You too stupid to realise that you are actually stupid. The boy is on scholarship abroad and he went nowhere near your "free schools".
So you are poor your son is sponsored by homosexuals.I thought you have money .A poor person like you can't talk anything about airlines you are too poor to talk about them.You can't even finance your own children using your own money.Usije kuwa unajiuza mwanao asome kwa kujiuza kwa wafadhili
 
Kama hiyo ndio hoja ya kitaalam na kama huyo ndiye mtaalam, basi ni dhahiri hili ndilo eneo jingine tunalokwama, akili akilini vs akili ndogo. The so called mtaalam, kaongelea very shallow and astray, wakati demand ya Mh. Lema na wadau wengine ni ulazima wa kuwepo "procedures" and "strategies" kwenye matumizi ya umma, period.
Ameshajibiwa na wataalam hivyo hoja yake ni mfilisi.
 
Back
Top Bottom