Hoja ya mh. January makamba kuhusu kodi za pango- maoni na mtazamo wangu

Sio vibaya kimebaki kuwa Chama cha ku-copy na ku-paste japo wana-paste vibaya.

Kwani hata JK ame-copy hoja ya CDM ya KATIBA MPYA, japo katika ku-paste aka-paste ndivyo
sivyo hadi makamanda wakamshukia Ikulu!
 
Sera hiyo ikipita, CDM tutakuwa tumefanikisha agenda mbili. Kwanza katiba mpya na Suala la makazi bora kwa watanzania.

Chadema Vema
 
hapa nitakumbuka maneno ya mh aikael f mbowe alipoliambia bunge...chadema ila sera nzuri...msioni haibu kuziiga na kuzitekeleza...akamwambia rais...usiogope kutekeleza ilani ya cdm,leo ndo maneno ya mbowe yameanza kutimia,katiba,sera ya makazi,ujira bora kwa watumishi wa umma,n.k n.k asante cdm kwa kuonesha nia!
 
kwani zile fedha za uchaguzi ,dada yake alizopewa na mzungu wake zitarudi vipi?Au ndio ulikuwa ujira wa dada kupopolewa!Kuna kitu huyu dogo anakitafuta,wala watu kama hawa hatuwahitaji CDM.Bado nazidi kumfuatilia kwa karibu.


kwa sababu watu wa aina yako hamuwezi kuacha up*uzi, nakushauri ujaribu kuupunguza kidogo:hat:
 
Kabla hajachaguliwa kuwa naibu waziri, Mh. Makamba aliahidi kupeleka hoja binafsi bungeni kuhusiana na ulipaji wa kodi za nyumba za kupanga.

Alisema angependekeza kodi iwe inalipwa kila mwezi badala ya mfumo holela unaotumika sasa ambapo kila mwenye nyumba anaamua alipwe kodi ya mda gani.

Wengine wameenda mbali wanataka walipwe kwa dola, kwa mtazamo wangu ni mda mwafaka kwa hoja kama hii kupelekwa bungeni, maana hakuna mtanzania anaelipwa mshahara wa mwaka au miezi sita, kwa hiyo ni vyema kuwepo na utaratibu wa wenye nyumba kupokea kodi ya mwezi moja moja.
NAOMBA KUWASILISHA.
 
Kabla hajachaguliwa kuwa naibu waziri, Mh. Makamba aliahidi kupeleka hoja binafsi bungeni kuhusiana na ulipaji wa kodi za nyumba za kupanga.

Alisema angependekeza kodi iwe inalipwa kila mwezi badala ya mfumo holela unaotumika sasa ambapo kila mwenye nyumba anaamua alipwe kodi ya mda gani.

Wengine wameenda mbali wanataka walipwe kwa dola, kwa mtazamo wangu ni mda mwafaka kwa hoja kama hii kupelekwa bungeni, maana hakuna mtanzania anaelipwa mshahara wa mwaka au miezi sita, kwa hiyo ni vyema kuwepo na utaratibu wa wenye nyumba kupokea kodi ya mwezi moja moja.
NAOMBA KUWASILISHA.

ha ha ha ha keshasahau chezea kushiba wewe?zile zilikuwa njaa tu
 
Back
Top Bottom