Pumba gani unamaanisha?Pumba
Pumba gani unamaanisha?Pumba
Huyo mama ni mahili sana,,, anakubalika
Yaaa kuthibitisha ilo anatembea peke yake na watu wanajaaa katika kampeniHuyo mama ni mahili sana,,, anakubalika
Makala au upuuzi na udakuNi vyema ukatoa kilichopo kwenye ubongo wako bila kukashifu makala ya mwenzako.
Umeelewa lakini?Mambo gan hayo, c uyaseme!
Mbona makala imeelezea mambo yote kwa usahihi kbsa!
Kuna jambo huwa nafikilia sana kuhusu huyu mama,, nidhamu na uchapakazi wake amefundishwa wapi yupo tofauti sana mama.Yaaa kuthibitisha ilo anatembea peke yake na watu wanajaaa katika kampeni
Siamini kama umeandika ukiwa na akili zako timamu mkuu kuna mambo machache aidha umepiga Kitwanga zako za kutosha ama upo hospitali malaria ipo juu sana. Ni hayo mkuu
Hivi ni kitu gani usichokielewa katika bandiko la The Horse mpaka uanze kudadisi akili yake? Taja hoja moja moja za The Horse halafu tueleze kwa nini hoja hiyo siyo sahihi. Mtu mpaka kakutajia takwimu. Kwa kuwa hupendi mafanikio ya Serikali ya awamu hii ndiyo unaishia kusema mwandishi hakuwa na akili timamu! Hivi kweli hufahamu kwamba kabla ya 2015 watumishi wa umma, hasa waalimu, walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Magufuli alipoingia madarakani akaanza kulipa malimbikizo hayo ya mshahara na kwa sasa yote yamekwisha lipwa. Mishahara ya watumishi wa serikali hulipwa kuanzia tarehe 20-na. Najua hilo kwa kuwa nilikuwa mtumishi wa serikali kwa miaka 11. Ilikuwa ukilipwa kwenye tarehe 10 ya mwezi unaofuata unashukuru sana kwamba mshahara umewahi. Katika serikali ya sasa mishahara yote inalipwa tarehe iliyopangwa. Hakuna cha kuchelewesha hata siku moja. Bado unadadisi akili ya The Horse hata baada ya kupewa takwimu zote hizo. Tuwe wakweli. Panapokuwa na mazuri yaliyofanyika, tupongeze. Panapokuwa na dosari, tukosoe kwa kutoa takwimu sahihi. Zaidi ya hayo, tunapokosoa, tutaje tu ule ukweli bila matusi ya kuuliza kama mtoa mada alikuwa na akili zake timamu wakati anaandika mada yake.Siamini kama umeandika ukiwa na akili zako timamu mkuu kuna mambo machache aidha umepiga Kitwanga zako za kutosha ama upo hospitali malaria ipo juu sana. Ni hayo mkuu
Mi naisi ata makala haukuisoma embu jaribu kuipitia najua wewe ni mvivu wa kusomaMakala au upuuzi na udaku
Acha kushabikia sababu ya ukabila hilo jina lako linatosha kabisa kueleza kilichopo kichwani mwakoHivi ni kitu gani usichokielewa katika bandiko la The Horse mpaka uanze kudadisi akili yake? Taja hoja moja moja za The Horse halafu tueleze kwa nini hoja hiyo siyo sahihi. Mtu mpaka kakutajia takwimu. Kwa kuwa hupendi mafanikio ya Serikali ya awamu hii ndiyo unaishia kusema mwandishi hakuwa na akili timamu! Hivi kweli hufahamu kwamba kabla ya 2015 watumishi wa umma, hasa waalimu, walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Magufuli alipoingia madarakani akaanza kulipa malimbikizo hayo ya mshahara na kwa sasa yote yamekwisha lipwa. Mishahara ya watumishi wa serikali hulipwa kuanzia tarehe 20-na. Najua hilo kwa kuwa nilikuwa mtumishi wa serikali kwa miaka 11. Ilikuwa ukilpwa kwenye tarehe 10 ya mwezi unaofuata unashukuru sana kwamba mshahara umewahi. Katika serrikali ya sasa mishahara yote inalipwa tarehe iliyopangwa. Hakuna cha kuchelewesha hata siku moja. Bado unadadisi akili ya The Horse hata baada ya kupewa takwimu zote hizo. Tuwe wakweli. Panapokuwa na mazuri yaliyofanyika, tupongeze. Panapokuwa na dosari, tukosoe kwa kutoa takwimu sahihi. Zaidi ya hayo, tunapokosoa, tutaje tu ule ukweli bila matusi ya kuuliza kama mtoa mada alikuwa na akili zake timamu wakati anaandika mada yake.
TupoNgoja watumishi wenyewe waje
Umeelewa kweli au ni shida mkuu zinakusumbua?Mi naisi ata makala haukuisoma embu jaribu kuipitia najua wewe ni mvivu wa kusoma
Bora umesaidia kumuelimisha uyo jamaaaa maana hajielewiHivi ni kitu gani usichokielewa katika bandiko la The Horse mpaka uanze kudadisi akili yake? Taja hoja moja moja za The Horse halafu tueleze kwa nini hoja hiyo siyo sahihi. Mtu mpaka kakutajia takwimu. Kwa kuwa hupendi mafanikio ya Serikali ya awamu hii ndiyo unaishia kusema mwandishi hakuwa na akili timamu! Hivi kweli hufahamu kwamba kabla ya 2015 watumishi wa umma, hasa waalimu, walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Magufuli alipoingia madarakani akaanza kulipa malimbikizo hayo ya mshahara na kwa sasa yote yamekwisha lipwa. Mishahara ya watumishi wa serikali hulipwa kuanzia tarehe 20-na. Najua hilo kwa kuwa nilikuwa mtumishi wa serikali kwa miaka 11. Ilikuwa ukilpwa kwenye tarehe 10 ya mwezi unaofuata unashukuru sana kwamba mshahara umewahi. Katika serrikali ya sasa mishahara yote inalipwa tarehe iliyopangwa. Hakuna cha kuchelewesha hata siku moja. Bado unadadisi akili ya The Horse hata baada ya kupewa takwimu zote hizo. Tuwe wakweli. Panapokuwa na mazuri yaliyofanyika, tupongeze. Panapokuwa na dosari, tukosoe kwa kutoa takwimu sahihi. Zaidi ya hayo, tunapokosoa, tutaje tu ule ukweli bila matusi ya kuuliza kama mtoa mada alikuwa na akili zake timamu wakati anaandika mada yake.
Shida zipi ndugu mi nacho kijua data ndio solution ya kila kitu kama haukubali leta data zakoUmeelewa kweli au ni shida mkuu zinakusumbua?
Huna elimu wewe ndio maana ujui kuandika.Mwenyewe JPM kasema hasinge obgeza mshshara akaacha kujenga reli sas hizo ngonjera unazogani unamsemeaje alambayo mwenyew kaa admit kutoongeza. Rubish
Ata mwandiko wake hausomekiHuna elimu wewe ndio maana ujui kuandika.
Ni kweli watumishi walikuwa wanacheleweshewa mishahara yao? walikuwa hawapandishwi madaraja? alikuwa haajiri JK? barabara ni za nani? hospitali za mikoa nani mwanzilishi? daraja la Kigamboni, mwendokasi, vyuo vikuu vya umma kuongezeka hayo yote huyaoni? binafsi sitaki kujadili ujinga maana naelewa vyoteShida zipi ndugu mi nacho kijua data ndio solution ya kila kitu kama haukubali leta data zako