Hoja ya kuficha idadi vifo tuzipuuze, tuiaminie Serikali yetu. Idadi ya 16 waliokufa kwa Corona ni idadi ya ukweli na halisi, ila...

Aiseeee
 

Attachments

  • 95454838_156170299265948_3351021140326744064_n.jpg
    95454838_156170299265948_3351021140326744064_n.jpg
    69.9 KB · Views: 2
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote, Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo, kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Only a fool will believe serikali ya wadanganyika

Huu uandishi ni wa kuwakosea sana WaTz but why mnaona wengine wote ni wajinga
Ninyi kama waandishi wa habari mnaowajibu wa kutafuta habari na kuthibitisha yanayozungumzwa mtaani
Mnakaa majumbani mnaandika mnayosoma kwenye social media
Go out and find the truth Tell WaTz the TRUTH THE WHOLE TRUTH
Hii dhambi itawahukumu wote

Nani asiyejua watu wanakufa si wote wanakufa kwa Covid-19 but the highest number kwa sasa ni wale wenye maambukizi.

Hamuwasaidii WaTz kuwaambia eti 16 tu ndio waliokufa hakuna wa kubisha seriously???!
Mtashangaa vipi kwa watu kutokuchukua tahadhari
Nchi za wenzetu waliokumbwa na janga hili kwa sana walitambua makosa wakachukua tahadhari maambukizi yanapungua maisha yanaanza kurudi watu wanaanza kurudi makazini

It is sickening kuona na kusoma namna watu msivyojali maisha ya Mtz

Msijidanganye Corona ni yetu sote tuache KUSIFU NA KUABUDU
HUU UANDISHI WA KUUMA NA KUPULIZA KWENYE ISSUE SENSITIVE KAMA HII NI AJABU SANA.
 
Stupid post from an imbecile
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote, Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo, kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea mambo ya msingi sana.

Ila kiukweli hakuna serikali yoyote duniani ambayo inaweza kuaminiwa kwa asilimia angalau 50.

Lakini serikali ya raisi John Magufuli inaweza kuaminiwa kwa asilimia 100 endapo inajumuisha taarifa zake na zile za wale ambao wanakuwa hawaiamini.

Lakini si serikali ya Marekani, wala Uingereza wala China wenyewe unakotoka ugonjwa ambapo zinaweza kuaminiwa.

Hizi nchi zilikuwa zinaficha idadi halisi ya vifo khasa vile vya watu ambao wanakufa majumbani na kwenye nyumba za kutunzia wazee na watu wenye ulemavu.

New Zealand wametangaza kabisa kwamba hakuna maambukizi zaidi ya COVID-19 nchini humo na wameruhusu shughuli ziendelee kama kawaida na hakuna serikali yoyote ile ya nchi ingine ambayo imeikosoa New Zealand.

Na ni hizi serikali ambzo zilikuwa zikizuia kutoa taarifa za idadi ya watu ambao wamefanyiwa testing na wakasema wanefikia idadi ya 100000 kwa mwezi wa April lakini wameshindwa.

Wale ambao hawaiamini serikali ya awamu ya 5 wanapaswa kuweka mezani taarifa zao zote zinazohusu vifo vinavyoendelea na vyanzo vya vifo hivyo kisha kujumisha na taarifa za serikali ambazo zinaambatana na vielelezo vya maabara kuu na taarifa za madaktari.

Lakini maabara kuu kama tulivyoambiwa imechakachua matokeo ya vipimo vya hata mapapai.

Ila kiukweli huwezi kushawishi wananchi waiamini serikali yao ingawa serikali ya raisi Magufuli inaaminiwa kwa asilimia 95 hadi sasa.

Hivyo ukiangalia idadi ya watanzania milioni 56 sasa ukichukua asilimia 5 ambao hawaiamini basi serikali ipo uzuri na inaaminika.

Kwa kuwa watanzania ambao wameathirika na utendaji wa serikali hii wanaichukia serikali , basi wana ushawishi kwa hata wale watu wa maabara ambao wanachakachua matokeo ya vipimo ili kuharibu "credibility" ya serikali hii.
 
Update ya mwisho ilikuwa ni lini? Kuiamini Tanzania kwenye data za Covid 19 ni sawa na kuamini China eti ina vifo elfu nne tu vya Covid 19.

Hata Spanish Flu nchi nyingi zilificha data,eti aibu ya kuonekana ugonjwa umewaelelea.
Iliitwa Spanish flu kwa sababu tu Spain walikuwa wazi,media za Spain zilikuwa free kureport huo ugonjwa.
aisee yaan ile cover up ya china ni hatari sis tz hatujafcha chochote mbona
 
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote, Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo, kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Nimepata jibu kwa nini huyu mzee alienda kwenye kikobe cha babu kule samunge. Ni mpenzi sana wa imani za jadi hata kuliko utaalamu aliosomea. Very unfortunate. Hadi sasa hakuna anayemwamini, awe kiongozi wa dini, mtaalamu, n.k. Wote ni vibaraka wa mabeberu tu.
 
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote, Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo, kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Paskali. Hao 16 unaowasema wamakufa wamepimwa wapi wakati hatuna wataalamu wanaosema kweli wala vipimo vya kweli vya kupima ugonjwa huu?
 
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote- Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo - kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Kwa nyongeza, je, wangapi kwenye, ukoo na mtaani wameambukizwa au kufariki kutokana na maambikizo?

Sikubaliana nawe Paskali kuwa elimu ya kutosha haijatyolewa. Karibu vyombo vyote vya habari vinatangaza njia na mbinu za kujikinga dhidi ya maambukizi, kiasi hata vijijini wamebadilika kitabia km kutumia chombo kimoja cha pombe.

Kilicho dhahiri ni baadhi ya watu kwa makusudi wanadanganya na kudanganyika hadi kufikia kusema na kutenda mambo kwa mzaha.

JIKINGE UWAKINGE UWAPENDAO
 
Wanabodi,

Kila nipatapo nafasi, huja na hoja za " Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo kwa nchi yetu, Mada ya leo, naizungumzia idadi ya kweli ya waliokufa kwa Corona Tanzania mpaka hapa ninapo andika bandiko hili, Tanzania wamekufa watu 16 tuu kwa ugonjwa wa Corona!, Kubali, Kataa, lakini huo ndio ukweli mpaka pale itakapo tangazwa tena update nyingine ambayo itatolewa leo na hoja kuu ya bandiko la leo hizi hoja na tuhuma za kuwa serikali yetu inaficha idadi halisi ya vifo vya watu wanakufa kwa Corona, wanaokufa ni wengi, lakini idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ndogo, hivyo taarifa ya serikali ni taarifa ya uongo, idadi inayotangazwa na serikali ni idadi ya uongo!, jee rais wa JMT ni muongo?!, jee Waziri Mkuu wa JMT ni muongo?!, Jee Waziri wa Afya ni muongo?, Jee wataalamu waliochunguza na kutoa taarifa hiyo ni waongo?. Jibu ni hapana, data za idadi ya vifo inayotokewa na serikali ni data za ukweli.

Natoa wito nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.
naomba uandamane nami.

A Way Forward ya Nini Kifanyike
  1. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu akiishasema waliokufa ni 16, sheria ya kivita inatumika, walikufa ni 16!, hata kama umeona na kushuhudia miili 100 inazikwa!, bado utasema ni waliokufa ni 16 tuu!. Leo Waziri Mkuu wtu katangaza idadi ya 16, halafu kesho anaibuka mtu mwingine kuleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, tuachieni sisi watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa kauli moja kwa maslahi ya taifa!​
  2. Serikali Isijimilkishe Vita Hii ya Corona Kuifanya ni Vita Yake!, Vita Hii ni ya Watanzania Wote- Serikali Ifanye Ushirikishwaji!- Tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, 1 Mawaziri, 2. Wakatibu Wakuu 3. Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hakuna ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwa wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina Daudi wapo na wamejinyamazia kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo 16, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa sauti moja na kupigana kwa nguvu moja.​
  3. Uwezo wa Serikali yetu kutoa elimu kwa umma ni mdogo - kama zilivyo vita nyingine zote, ma verenani huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.​
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.​
  5. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.​
Hitimisho.
Watanzania Tuiaminie Serikali Yetu, Serikali ni Wakweli, Data za Serikali ni za Kweli.
Namalizia kwa ule wito wa mwanzo wa bandiko hili, nawaomba Watanzania wenzangu ambao ni wazalendo wa ukweli wa nchi yetu, tuiaminie taarifa ya serikali yetu, kuwa idadi vifo 16 iliyotolewa na serikali kuwa ndio pekee waliokufa kwa Corona mpaka sasa nchini Tanzania, ni idadi ya ukweli wenyewe kabisa na halisi, ambayo ndio ya watu waliopimwa na kuthibitishwa wamekufa kwa ugonjwa wa Corona, ila pia kuna watu wengine wengi tuu na wanakufa kwa magonjwa mengine, na inawezekana miongoni mwa hao wanaokufa kwa magonjwa mengine ikiwemo haya ya matatizo ya kupumua, pia Corona imechangia, ila hawaja pimwa na kutthibitishwa kuwa ni Corona, hivyo mpaka sasa ninapoandika bandiko hili asubuhi hii, idadi rasmi ya vifo vilivyotokana na Corona na kuthibitishwa na serikali yetu ni watu 16 tuu na huu ndio ukweli wenyewe halisi, kubali, kataa, ndio ukweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Toka idadi ya vifo 16 iliyatangazwa mara ya mwisho na Waziri Mkuu siku ya Jumatano ya wiki iliyopita, mpaka leo ni zaidi ya wiki, hakuna update yoyote, kwa vile hili ni janga, kihabari kama maambukizi yangeendelea na vifo kuongezeka, kungekuwepo na update ya bad news, hivyo kunapokuwepo hakuna updates yoyote, kwa sisi wanahabari, hiyo situation inaitwa "no news" situation, hivyo no news is good news, therefore as far as Corona virus situation in Tanzania, up to now, there's no news which is good news, mpaka hapo itakapotangazwa tena!.

Naendelea kusisitiza tuendelee kuiaminia serikali yetu kuwa huu ndio ukweli wenyewe, toka ile Jumatano iliyopita the status quo is as it was!.

P
 
Kufika Jumapili 3/ 05/ 2020 JPM alipokuwa anaongea kulikuwa cases 6,500 za COVID19 na vifo 546 kwa Tanzania nzima.

Anayebisha namba hii asubiri afe yeye kwa COVID19 halafu tutamhesabu
 
Toka idadi ya vifo 16 iliyatangazwa mara ya mwisho na Waziri Mkuu siku ya Jumatano ya wiki iliyopita, mpaka leo ni zaidi ya wiki, hakuna update yoyote, kwa vile hili ni janga, kihabari kama maambukizi yangeendelea na vifo kuongezeka, kungekuwepo na update ya bad news, hivyo kunapokuwepo hakuna updates yoyote, kwa sisi wanahabari, hiyo situation inaitwa "no news" situation, hivyo no news is good news, therefore as far as Corona virus situation in Tanzania, up to now, there's no news which is good news, mpaka hapo itakapotangazwa tena!.

Naendelea kusisitiza tuendelee kuiaminia serikali yetu kuwa huu ndio ukweli wenyewe, toka ile Jumatano iliyopita the status quo is as it was!.

P
Kwa hiyo mkuu Pascal hata waliokuwa wagonjwa nao hakuna hata mmoja aliyepona?
Unahitaji uwe na moyo wa mwendawazimu kuamini uongo huu, ambao hata shetani anaona tunataka kumzidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom