Hoja ya 'kinoko': Waathirika wote wa madawa ya kulevya wakamatwe na kuhojiwa ili wawataje wauzaji

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Hakuna haja ya kuzunguka kila siku. Waathirika wa madawa ya kulevya, hasa wasanii, wanajulikana. Wengine wamekiri kabisa kutumia madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya hapa Tanzania yanakatazwa kisheria.

Kuuza, kusambaza, kuingiza au kutumia madawa ya kulevya ni kosa kisheria. Kwakuwa watumiaji wanaonekana na kujipambanua, wakamatwe haraka na kuhojiwa. Hao watataja wanapoyapata. Hao watataja wanaowauzia.

Jeshi la Polisi, anzieni hapo. Mkamateni Ray C,Nando, Chid Benz, Ferooz, Daz Baba na wengineo waliojipambanua kutumia 'ngada'. Hapa si Marekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Hao wadogo ndio watasaidia cheni nzima mpaka kuwapata hao wakubwa, maana hakuna namna sasa kila siku hali inazidi kuwa mbaya watu wanaharibika wengine wapiga pesa tu.
 
Hilo limefanyika sana, kama ulifuatilia malumbano ya hoja ITV wale vijana waliopo sober house wanasema wanawafahamu wauzaji na waingizaji na serikali ikipelekewa majina hakuna inachofanya. Na mmoja alisema Mrema wa parole aliwaomba majina ya suppliers na wameshamhandalia ila bahati mbaya ndo yupo India kwa matibabu. Wanasubiri arudi wampe.
 
Hakuna haja ya kuzunguka kila siku. Waathirika wa madawa ya kulevya, hasa wasanii, wanajulikana. Wengine wamekiri kabisa kutumia madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya hapa Tanzania yanakatazwa kisheria.

Kuuza, kusambaza, kuingiza au kutumia madawa ya kulevya ni kosa kisheria. Kwakuwa watumiaji wanaonekana na kujipambanua, wakamatwe haraka na kuhojiwa. Hao watataja wanapoyapata. Hao watataja wanaowauzia.

Jeshi la Polisi, anzieni hapo. Mkamateni Ray C,Nando, Chid Benz, Ferooz, Daz Baba na wengineo waliojipambanua kutumia 'ngada'. Hapa si Marekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
wewe unataka mto Ruvu uendelee kuwa polluted??

you know what I mean....
 
Wataje mara ngapi?
List yoooote ipo ikulu toka awamu iliyopita, sasa waanze kutaja upya kwani ile list ya majina imepotea?
Mimi naamini zamu ya wauza unga kutumbuliwa inakuja, wataishi kama mashetani..... Kama wataachwa tutajua,...
 
Mwambie aende manyanya pâle sahv Kuna mapusha wanawabana kete,Nenda mtaa wibu,sekenke,msisiri,brazil kino,mwananyamala kisiwani,tandale pâle mahakama ya sim.....n'a bado Kna machimbo kibao
Mbona wazee wanayajuAa

Ova
 
Hakuna haja ya kuzunguka kila siku. Waathirika wa madawa ya kulevya, hasa wasanii, wanajulikana. Wengine wamekiri kabisa kutumia madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya hapa Tanzania yanakatazwa kisheria.

Kuuza, kusambaza, kuingiza au kutumia madawa ya kulevya ni kosa kisheria. Kwakuwa watumiaji wanaonekana na kujipambanua, wakamatwe haraka na kuhojiwa. Hao watataja wanapoyapata. Hao watataja wanaowauzia.

Jeshi la Polisi, anzieni hapo. Mkamateni Ray C,Nando, Chid Benz, Ferooz, Daz Baba na wengineo waliojipambanua kutumia 'ngada'. Hapa si Marekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hivi ni kweli kuwa hao wahusika wa usalama hawajui tajiri ni nani?, mzee tupatupa unazeeka vibaya
 
Hakuna haja ya kuzunguka kila siku. Waathirika wa madawa ya kulevya, hasa wasanii, wanajulikana. Wengine wamekiri kabisa kutumia madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya hapa Tanzania yanakatazwa kisheria.

Kuuza, kusambaza, kuingiza au kutumia madawa ya kulevya ni kosa kisheria. Kwakuwa watumiaji wanaonekana na kujipambanua, wakamatwe haraka na kuhojiwa. Hao watataja wanapoyapata. Hao watataja wanaowauzia.

Jeshi la Polisi, anzieni hapo. Mkamateni Ray C,Nando, Chid Benz, Ferooz, Daz Baba na wengineo waliojipambanua kutumia 'ngada'. Hapa si Marekani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Wajinga sana hao ukifika kwa pusha anakwambia kauziwa na pusha mwenzie chain inaishia hapo, wale mapapa hawagusiki.
 
Inasikitisha Waziri mzima Mwigulu Nchemba anaenda kumjulia hali Teja Child Benz wakati alitakiwa awe alishaswekwa korokoroni, Au unga kwa MTU maarufu huwa sio kosa?
 
Mwambie aende manyanya pâle sahv Kuna mapusha wanawabana kete,Nenda mtaa wibu,sekenke,msisiri,brazil kino,mwananyamala kisiwani,tandale pâle mahakama ya sim.....n'a bado Kna machimbo kibao
Mbona wazee wanayajuAa

Ova
Hao mapusher wote wanajulikana police post

Mapapa wanajulikana serikakini

Tatizo makaburi hayo makubwa
 
Kama Kikwete alikuwa anacheka nao nani wa kuwakamata? Hiyo Biashara haina muingiliano wa kamata kamata imepitishwa kiaina kama ni Ugonjwa like Aids yaani Mateja wanaonekana kuwa wameonewa na waleta mzigo Punda so kuwashika ni kuwaonea tu imagine Teja umtupe segerea ashindie ugali mlo mmoja akimaliza wiki sijui... na pia huwa wakikaa siku moja huwa kama wagonjwa na Sheria zetu lazima wapelekwe Hospital so kama wakihukumiwa jela basi watakuwa wanashinda hospital as if ndio jela yao... hawa ni kuwapeleka ufilipino wachapwe risasi ndio msaada bila Donner ngo ilikuwa ni balaa hawa karibu wote washaiba makwao almost kila walichoweza sababu ya hayo madawa so hata ndugu akisikia nduguye teja kandei wala hastuki zaidi atapata kauchungu ka furaha... Mateja ni bure kabisa kwanza hawasaidiki mpe mtaji wowote uujuao na mpe two month utamkuta hoi au kazidisha dozi kazimia au kandei useless
 
Back
Top Bottom