The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Hii chanjo ni utapeli kama utapeli mwingine
Hakuna msaada wa trilioni 2!! Nani atakupa msaada wa trilioni 2?? Weka ushahidi hapa kama tumepewa msaada wa trilioni 2!! Hivi wewe unawajua mabeberu au unawasikia tu!! Watoto wanahitaji kuchanjwa japo hawapo hatarini kwa sababu usipowachanja wataendelea kuwaambukiza watu wazima!! Ujue chanjo ya corona haizuii maambukizi!!Kama issue ni value for money ntamjibu ifuatavyo.
Kwanza hauhitaji kuchanja watu million 60 maana zaidi ya 40% hapo ni watoto below 18 years ambao risk ya kupata ni ndogo kuliko adults. So usipige hesabu za jumla hivyo.
Kuna misaada ya zaidi ya trillion 2 inapatikana kwa ajili ya covid relief so inaweza kufund. Yaani hela ya beberu unatumia hyo hyo kununua dawa ya beberu sasa tunapata hasara gani kama taifa?
3. Ukipiga hesabu za Trillion 2 sasa anaweza piga thamani ambayo labor inayoumwa/kufariki sababu ya corona ingezalisha kwa muda ambao wanaugua? Kama engineer anazalisha million 200 ya thamani ya kazi zake kwa mwaka, akifariki kwa Covid je unapigaje hesabu ya Value for money iliyopotea sababu ya kifo chake??
Kama issue ni gharama hata mashine na vifaa/skilled manpower za kufanya chemotherapy au radio therapy kwa wagonjwa wa kansa ni bei juu sana ila mbona hawajawahi isitisha licha ya kwamba wanaotumia tiba hyo 80% huishia kufariki tu ma hta wakipona wana long term effects?
Hizi double standards huwa kwa faida ya nani?!!
Hakuna msaada wa trilioni 2!! Nani atakupa msaada wa trilioni 2?? Weka ushahidi hapa kama tumepewa msaada wa trilioni 2!! Hivi wewe unawajua mabeberu au unawasikia tu!! Watoto wanahitaji kuchanjwa japo hawapo hatarini kwa sababu usipowachanja wataendelea kuwaambukiza watu wazima!! Ujue chanjo ya corona haizuii maambukizi!!
Wewe ndio unadhihirisha ujinga wako wala hoja yake haija base kwenye gharama tu maana tatizo sio gharama ila inadumu kwa muda gani?#COVID19 - IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona. Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya. Hadi...www.jamiiforums.com
Sasa wanaosemaga ni biashara nashindwa kuelewa, yaani mtu akuuzie chanjo za Trillion 2 alafu muda huo huo anakupa trillion 1.2 za msaada? Sasa ni biashara au hasara? Mind you uchumi wake nao umepungua sababu uzalishaji umeshuka so hasara ni nyingi kuliko faida ya kuuza chanjo. Reasoning ya polepole ina walakini ama anapotosha maksudi tu akijua waTZ hawana elimu ya kutosha.
Unadai chanjo ya corona haizuii maambukizi ila unasahau tatizo ni delta variant.... Chanjo ilitengenezwa kwa zile conditions za mwanzo hawa kupredicy variant zingine ambazo hata hazihisi chanjom mfano israel 90% ya walioambukizwa baada ya chanjo ni delta variant but hizi boosters zimeonyesha mafanikio dhidi ya Delta. Mind you hta waliolazwa na mitungi ya gesi kwa waliochanjwa wengi ni above 60 ambao wana underlying diseases kibao delta ikiwashika inawapeleka mputa.
#COVID19 - IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona. Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya. Hadi...www.jamiiforums.com
Sasa wanaosemaga ni biashara nashindwa kuelewa, yaani mtu akuuzie chanjo za Trillion 2 alafu muda huo huo anakupa trillion 1.2 za msaada? Sasa ni biashara au hasara? Mind you uchumi wake nao umepungua sababu uzalishaji umeshuka so hasara ni nyingi kuliko faida ya kuuza chanjo. Reasoning ya polepole ina walakini ama anapotosha maksudi tu akijua waTZ hawana elimu ya kutosha.
Unadai chanjo ya corona haizuii maambukizi ila unasahau tatizo ni delta variant.... Chanjo ilitengenezwa kwa zile conditions za mwanzo hawa kupredicy variant zingine ambazo hata hazihisi chanjom mfano israel 90% ya walioambukizwa baada ya chanjo ni delta variant but hizi boosters zimeonyesha mafanikio dhidi ya Delta. Mind you hta waliolazwa na mitungi ya gesi kwa waliochanjwa wengi ni above 60 ambao wana underlying diseases kibao delta ikiwashika inawapeleka mputa.
Twende taratibu haina haja ya matusi.... Mtu anakwambia chanjo ni trillion 1 alafu akukopeshe trillion 1 sasa anafikiaje lengo lake la kuingiza faida ilihali faida anayotaka anakupa tena ww kwa mkopo? Ambao kwa risk yake unaweza usilipwe wote? Or rather ukalipa kwa miaka hata 20!! Faida anai realise vipi?Acha ujinga wewe izo pesa tulizopewa ni za mkopo fuatilia zaidi acha kuwa mjinga izi zama
BoraAu afe tu kama kuku wa mdondo
Title inasema value for money and hoja yangu imejikita hapo sasa ujinga unatka wapi?Wewe ndio unadhihirisha ujinga wako wala hoja yake haija base kwenye gharama tu maana tatizo sio gharama ila inadumu kwa muda gani?
Haingii akilini kila baada ya mwaka tutumie zaidi ya trillion kwenye huduma ambayo madhara yake ni pungufu ya 1%
Lazima tufikiri kwa namna yetu na njia yetu kujiondoa kwenye mtego wa kuwa watumwa wa mabeberu
Polepole kasema haoni thamani ya fedhha (value for money) kwenye pesa ya kununulia chanjo. Hakuna aliyejitokeza kutetea thamani ya fecha inayonunulia chanjo ya corona isiyo na uwezo wa kumlinda mtu hata kwa miezi 6 tu
Hoja ya Polepole ni hii; Bei ya chanjo ni Tsh 51,000/=. Watanzania tuko milioni 60. Kwa sasa watalaam wanasema herd immunity inafikiwa iwapk asilimia 70 watachanjwa!
Kwa hiyo lazima watanzania 42,000,000 wachanjwe!! Kwa hiho pesa inayohitajika ni sn 51,000/= × 42,000,000 = 2,142,000,000,000/= yaani trilioni 2.142.
Lakini hakuna mtu antakayewsza kjkuambia kwa uhakika hiyo iliyotugharimu trilioni mbili na ushee itatukinga kwa muda gani?
Waliotangulia kuchomwa hiyo chanjo haikuweza kuwakinga hata kwa miezi sita na wakachomwa nyingine!! Pia hiyo ya pili haikuwakinga na sasa Marekani wanaambiwa wachomwe ya tatu!
Baada ya hapo wawe wanachomwa boosters!! Hapo thamani ya fedha iko wapi?
Halafu unaingia gharama yote hiyo kwa ugonjwa wa mafua ambao wanaougua hupona kwa asilimia 98%!!!
Na cha kusikitisha zaidi ni rahisi vilevile kupenyeza magonjwa/ madhara mengine kwetu kupitia chanjo! Namkumbuka sana genius wetu, the late mzee baba.Hadi leo tarehe 8/9/2021 kwa mujibu wa takwimu rasmi jumla ya waliowahi kuambukizwa virusi vya corona ni 222,812,592. Waliodaiwa kufa kwa corona ni 4,601,142. Kwa hiyo waliodaiwa kufa kwa corona ni asilimia 2.065% tu. Kwa takwimu hizo covid 19 haimo katika orodha ya magonjwa 10 yanayoongoza kwa kuua hata huko marekani inakopigiwa debe sana corona!!
Kitakachotokea mabeberu wanatufanya tena watumwa!! Hata tukifanya kazi kwa bidii namna gani, kipato chote kitaenda kwao kwa kugharimia "mapambano" dhidi ya ugonjwa hewa!!! Fikiri kidogo tu!! Watanzania tunavyobanana kwenye dala dala bila barakoa!! Tumekimbiza mwenge na mikesha ya mwenge wengi hawana barakoa!! Kwenye mipira tunabanana bila barakoa,, ingekuwa covid 19 ni ugonjwa halisi si tungekwisha!! Inauma sana!!
Asubuh saa kumi na mbili sio mchanaUnamaanisha tumepigwa tena mchana kweupe?
Watoto hawachanjwi muwe mnafanya tafiti kabla ya kuja huku. Na kila chanjo ina umri elekeziHakuna msaada wa trilioni 2!! Nani atakupa msaada wa trilioni 2?? Weka ushahidi hapa kama tumepewa msaada wa trilioni 2!! Hivi wewe unawajua mabeberu au unawasikia tu!! Watoto wanahitaji kuchanjwa japo hawapo hatarini kwa sababu usipowachanja wataendelea kuwaambukiza watu wazima!! Ujue chanjo ya corona haizuii maambukizi!!
Ukisema almost 40% ni watoto, unasahau hii nchi population kubwa ni vijana ambao survival rate ni 98%.Kama issue ni value for money ntamjibu ifuatavyo.
Kwanza hauhitaji kuchanja watu million 60 maana zaidi ya 40% hapo ni watoto below 18 years ambao risk ya kupata ni ndogo kuliko adults. So usipige hesabu za jumla hivyo.
Kuna misaada ya zaidi ya trillion 2 inapatikana kwa ajili ya covid relief so inaweza kufund. Yaani hela ya beberu unatumia hyo hyo kununua dawa ya beberu sasa tunapata hasara gani kama taifa?
3. Ukipiga hesabu za Trillion 2 sasa anaweza piga thamani ambayo labor inayoumwa/kufariki sababu ya corona ingezalisha kwa muda ambao wanaugua? Kama engineer anazalisha million 200 ya thamani ya kazi zake kwa mwaka, akifariki kwa Covid je unapigaje hesabu ya Value for money iliyopotea sababu ya kifo chake??
Kama issue ni gharama hata mashine na vifaa/skilled manpower za kufanya chemotherapy au radio therapy kwa wagonjwa wa kansa ni bei juu sana ila mbona hawajawahi isitisha licha ya kwamba wanaotumia tiba hyo 80% huishia kufariki tu ma hta wakipona wana long term effects?
Hizi double standards huwa kwa faida ya nani?
Corona inalazimishwa tu Tanzania hata yenyewe haitaki, angalia mikusanyiko ya watu kila mahali,ingekuwa Corona ile inayovuna Ulaya na Marekani robo ya Watanzania wangekuwa hawapo.Tumepigwa mchana kweupe huku tumefumbua macho!! . Leo tumeambiwa tumepewa mkopo na IMF wa matrilioni ya shilingi, ili kupambana na corona!!
Can you imagine!! Ugonjwa ambao asilimia kubwa ya wanaoambukizwa hupona bila hata kujua kuwa walishawahi kuambukizwa!!
Wengi pia huugua kidogo mafua na kikohozi!! Wachache sana wanaoelemewa na corona ni wale ambao tayari ni waathirika wa magonjwa mengine kama vile pumu, kisukari, mago jwa ya moyo, presha ya kupanda na kushuka nk. Corona haijawahi kumdhoofisha mtu mwenye afya njema!! Huo ndio ugonjwa wa kuhalalisha Taifa liingie kwenye madeni makubwa halafu na kinga yenyewe haipatikani!!
Njooni hapa mawakala na wapiga debe wote wa chanjo mtuoneshe thamani ya pesa inayonunua chanjo isiyoweza kumkinga mtu hata kwa miezi 6, dhidi ya ugonjwa unaoua kwa asilimia pungufu ya 2%.
Polepole kasema haoni thamani ya fedhha (value for money) kwenye pesa ya kununulia chanjo. Hakuna aliyejitokeza kutetea thamani ya fecha inayonunulia chanjo ya corona isiyo na uwezo wa kumlinda mtu hata kwa miezi 6 tu
Hoja ya Polepole ni hii; Bei ya chanjo ni Tsh 51,000/=. Watanzania tuko milioni 60. Kwa sasa watalaam wanasema herd immunity inafikiwa iwapk asilimia 70 watachanjwa!
Kwa hiyo lazima watanzania 42,000,000 wachanjwe!! Kwa hiho pesa inayohitajika ni sn 51,000/= × 42,000,000 = 2,142,000,000,000/= yaani trilioni 2.142.
Lakini hakuna mtu antakayewsza kjkuambia kwa uhakika hiyo iliyotugharimu trilioni mbili na ushee itatukinga kwa muda gani?
Waliotangulia kuchomwa hiyo chanjo haikuweza kuwakinga hata kwa miezi sita na wakachomwa nyingine!! Pia hiyo ya pili haikuwakinga na sasa Marekani wanaambiwa wachomwe ya tatu!
Baada ya hapo wawe wanachomwa boosters!! Hapo thamani ya fedha iko wapi?
Halafu unaingia gharama yote hiyo kwa ugonjwa wa mafua ambao wanaougua hupona kwa asilimia 98%!!!