ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Mara nyingi nimekuwa nikijiuliza, Ajira nyingi zinazotangazwa na Serikali na Taasisi Mbalimbali huwa na Vigezo Vikubwa Viwili
1. Huwa Uzoefu Wa Kazi, Mara nyingi huwa wanataka mtu alie na uzoefu usiopungua Miaka 5 ya Kazi Au 3.
2. Lakini Kigezo cha Pili Huwa ni Umri Huwa wanataka Mtu asie Zidi Umri Wa Miaka 45. Kanakwamba Ukiwa na Umri Wa Miaka 46 Huwezi Kuajiriwa.
Kigezo cha Pili Kinanipa Maswali Mengi Sana. Kwanini Walio Na Umri Wa Zaidi Ya Miaka 45 Hawawezi Kuajiriwa ikiwa Umri wa Kustaafu Kwa Upande Wa Serikali Ni Miaka 55-60? Kwanini hadi ikifika umri wa miaka 58 mtu asiajiriwe kama Ana Uwezo? Lakini Pia Hii inasababisha Watu wenye Uzoefu mkubwa na kazi Fulani Kushindwa kuonesha/ Kutumia Uzoefu wao Kuisaidia Serikali kuleta maendeleo.
Lakini Swali Jingine kama Wenye umri wa Zaidi Ya Miaka 45 Hawatakiwi Kwanini Nafasi mbalimbali Za Serikalini Huteuliwa Watu wenye Umri Wa Zaidi Ya Miaka 45? Je Huwa hawazingatii kigezo hiki?
Nina Maswali Mengi Nakosa Majibu
1. Huwa Uzoefu Wa Kazi, Mara nyingi huwa wanataka mtu alie na uzoefu usiopungua Miaka 5 ya Kazi Au 3.
2. Lakini Kigezo cha Pili Huwa ni Umri Huwa wanataka Mtu asie Zidi Umri Wa Miaka 45. Kanakwamba Ukiwa na Umri Wa Miaka 46 Huwezi Kuajiriwa.
Kigezo cha Pili Kinanipa Maswali Mengi Sana. Kwanini Walio Na Umri Wa Zaidi Ya Miaka 45 Hawawezi Kuajiriwa ikiwa Umri wa Kustaafu Kwa Upande Wa Serikali Ni Miaka 55-60? Kwanini hadi ikifika umri wa miaka 58 mtu asiajiriwe kama Ana Uwezo? Lakini Pia Hii inasababisha Watu wenye Uzoefu mkubwa na kazi Fulani Kushindwa kuonesha/ Kutumia Uzoefu wao Kuisaidia Serikali kuleta maendeleo.
Lakini Swali Jingine kama Wenye umri wa Zaidi Ya Miaka 45 Hawatakiwi Kwanini Nafasi mbalimbali Za Serikalini Huteuliwa Watu wenye Umri Wa Zaidi Ya Miaka 45? Je Huwa hawazingatii kigezo hiki?
Nina Maswali Mengi Nakosa Majibu