Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
Naomba kupendekeza kuwa fursa ...ya kuandaa Mashindano ya Miss Tanzania itolewe kiushindani...,kwa kuzingatia kuwa :-
...mrembo anayepatikana anaenda kutuwakilisha watanzania wote ni vema tuwe na uhakika na kampuni inayoandaa mashindano imepita kwenye vigezo vya ushindani......
..hakuna mtu mwenye hatimiliki ya jina Tanzania...kama mtu anataka kuandaa mashindano ya urembo miaka nenda rudi basi anaweza kuamua kuyaita kwa jina lolote lakini sio jina letu wote....halafu vigezo unavyotumia sio wazi!!!
..sishangai watanzania kuwa wasindikizaji kwenye michuano hiii ..kwani kuna mataifa mengi duniani hayashindi..na ni haki tuendelee kushiriki ...sio lazima tushinde leo wala kesho...TATIZO LANGU LIPO KWA AINA YA WAREMBO WANAOPATIKANA NA TABIA ZAO ZA KUTUAIBISHA.....hilo naona wazi linatokana na kukabidhi jukumu la kuandaa mashindano hayo kwa watu bila kutoa fursa ya watu wengine wenye uwezo...inawezzekana ..uwezo wa waandaaji umeishia hapo ....sasa umefika wakati na watu wengine wapewe fusra ya kuandaa...
nashauri wizara ya michezo ,idara ya sanaa..na maonyesho iweke mchakato ...wa kutangaza zabuni ya kuandaa mashindano ya aina hii..hatukatai kuwa kutokana na investment inayotakiwa sio vibaya ..mtu atakayeshinda zabuni hiii ...akapewa fursa ya kuandaa miaka mitatu at least...lakini sio kuandaa indefinately....
ni wazi kuwa waandaaji wa miss tanzania wamejeuka mafisadi wa pesa za wadhamini vodacom ...na mafisadi wa ngono..ndio maana wanashindwa kusimamia maadili ya waremmbo wao,,wanawajibika..kwani tunajuuwa kuwa wengi wa hawa wanoshinda wanakuwa vijana wadogo...ambao lazima waandaliwe baada ya kushinda kukabiliana na matokeo ya umaarufu wao..bahati mbaya sana pamoja na mapesa wanayopata wanashindwa hata kuajiri maafisa ushauri nasaha na uhusiano wa kuwaongoza warembo....ili kuweka hadhi ya taifa,wadhamini..na watanzania..
ni wazi kuwa vodacom na wadhamini wengine they dont get value for money kwa kutumia bilioni moja kudhamini mashindano haya chini ya sheddy company ...inayoandaa mashindano haya!!
...mrembo anayepatikana anaenda kutuwakilisha watanzania wote ni vema tuwe na uhakika na kampuni inayoandaa mashindano imepita kwenye vigezo vya ushindani......
..hakuna mtu mwenye hatimiliki ya jina Tanzania...kama mtu anataka kuandaa mashindano ya urembo miaka nenda rudi basi anaweza kuamua kuyaita kwa jina lolote lakini sio jina letu wote....halafu vigezo unavyotumia sio wazi!!!
..sishangai watanzania kuwa wasindikizaji kwenye michuano hiii ..kwani kuna mataifa mengi duniani hayashindi..na ni haki tuendelee kushiriki ...sio lazima tushinde leo wala kesho...TATIZO LANGU LIPO KWA AINA YA WAREMBO WANAOPATIKANA NA TABIA ZAO ZA KUTUAIBISHA.....hilo naona wazi linatokana na kukabidhi jukumu la kuandaa mashindano hayo kwa watu bila kutoa fursa ya watu wengine wenye uwezo...inawezzekana ..uwezo wa waandaaji umeishia hapo ....sasa umefika wakati na watu wengine wapewe fusra ya kuandaa...
nashauri wizara ya michezo ,idara ya sanaa..na maonyesho iweke mchakato ...wa kutangaza zabuni ya kuandaa mashindano ya aina hii..hatukatai kuwa kutokana na investment inayotakiwa sio vibaya ..mtu atakayeshinda zabuni hiii ...akapewa fursa ya kuandaa miaka mitatu at least...lakini sio kuandaa indefinately....
ni wazi kuwa waandaaji wa miss tanzania wamejeuka mafisadi wa pesa za wadhamini vodacom ...na mafisadi wa ngono..ndio maana wanashindwa kusimamia maadili ya waremmbo wao,,wanawajibika..kwani tunajuuwa kuwa wengi wa hawa wanoshinda wanakuwa vijana wadogo...ambao lazima waandaliwe baada ya kushinda kukabiliana na matokeo ya umaarufu wao..bahati mbaya sana pamoja na mapesa wanayopata wanashindwa hata kuajiri maafisa ushauri nasaha na uhusiano wa kuwaongoza warembo....ili kuweka hadhi ya taifa,wadhamini..na watanzania..
ni wazi kuwa vodacom na wadhamini wengine they dont get value for money kwa kutumia bilioni moja kudhamini mashindano haya chini ya sheddy company ...inayoandaa mashindano haya!!