Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Tokea kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2015 sasa mambo mengi yamekuwa dhahiri kuwa Chadema na Cuf ni matawi ya CCM pasi na shaka.
Kinachofanywa na akina Mbowe na Seif ni hadaa kwenye media na mbele ya wafuasi wasiokuwa na taarifa sahihi lakini kimsingi kabisa wanatekeleza sera za CCM.
Makamanda Lowassa na Sumaye ndiyo haswa wamekoleza chumvi ya 'uCCM' ndani ya vyama hivyo. Ni baadhi tu ya watu ndio wanaweza kutambua hili. CCM sasa inafanya siasa katika utulivu wa aina yake ukilinganisha miaka 10 iliyopita.
Siasa ni sayansi, angalia mambo yalivyo sasa. Ni dhahiri kuna dongo kubwa la barafu lililowekwa katikati ya maji moto...na sasa yamepoa.
Wengi watakejeli,hawataona na hawatatambua.
Kinachofanywa na akina Mbowe na Seif ni hadaa kwenye media na mbele ya wafuasi wasiokuwa na taarifa sahihi lakini kimsingi kabisa wanatekeleza sera za CCM.
Makamanda Lowassa na Sumaye ndiyo haswa wamekoleza chumvi ya 'uCCM' ndani ya vyama hivyo. Ni baadhi tu ya watu ndio wanaweza kutambua hili. CCM sasa inafanya siasa katika utulivu wa aina yake ukilinganisha miaka 10 iliyopita.
Siasa ni sayansi, angalia mambo yalivyo sasa. Ni dhahiri kuna dongo kubwa la barafu lililowekwa katikati ya maji moto...na sasa yamepoa.
Wengi watakejeli,hawataona na hawatatambua.