Kuwekwa rumande na watawala waliopoteza ushawishi sio jambo geni hapa Afrika.Kuwa serious boss yupo rumande.
Huo ujinga ujinga ndio umemfikisha hapa Mbowe.Eeeeh Bhwanah,
Kumbe Mbowe yupo ndani kwa sababu ya kukaidi amri?
Si basi isemwe hivyo, kwanini kulembalemba na haya ya ugaidi.
Kuna sehemu yoyote ndani ya sheria zetu ambako mtu "kukaidi amri" ni kosa, au ni mazoea ya ujinga ujinga tu?
Awe amebambikiwa au hajabambikiwa ila alijua atakamatwa.Yupo kwenye siasa zaidi ya miaka 20 kwahiyo alijua wazi CCM wasingeruhusu kufanyika maandamo na makongamano lakini hakujali kwa kuwa umaarufu wa kisiasa na kutengeneza picha Chadema wanaonewa ni muhimu zaidi.
Mama Samia alipoomba apewe muda zaidi ilikuwa ni amri sio ombi ila yeye na Chadema mlikuwa mnapima upepo kwa makusudi muone atawakamata kweli au atawaacha, akiwaacha mnaendelea kuhamasisha maandamano na mkikamatwa inajengeka picha mnaonewa so kwa vyovyote mtapata public attention.
Mlimjaribu Rais amewapigia.
Hakusema atashughulikia muda mnaotaka Chadema, hamna mamlaka ya kumuamrisha...kwani Rais SSH aliombwa au alilazimishwa ashiriki ktk makongamano ya CDM ya kujadili katiba mpya?
..Mamlaka kuanza kuwakamata CDM kwasababu ya makongamano yao kunaonyesha kwamba kauli za Rais kwamba atashughulikia suala la katiba zilikuwa za ulaghai.
..Na huo uchumi aliosema anaurekebisha ndio huu wa kutukamua wananchi bila haruma kwa kutuongezea kodi na tozo za miamala?
Hakusema atashughulikia muda mnaotaka Chadema, hamna mamlaka ya kumuamrisha.
Kuhusu tozo za miamala, ni kodi rahisi inayolipika na inayokwepeka pia. Unataka wakuongezee kwenye kodi ya mapato ndio ujue hela inahitajika? Tozo za miamala hazikufilisi wala kukutajirisha acha kujitia unyonge usiokuwa nao.
Endeleeni na huu ushindani...Makongamano ya Chadema hayamzuii Rais kuendelea na ratiba na malengo aliyojipangia.
Eeeh, "ujinga ujinga"!Huo ujinga ujinga ndio umemfikisha hapa Mbowe.
Endeleeni na huu ushindani.
Wewe ni unajulikana, jibu hoja hapo juuHamumsaidii Mbowe. Mnajazwa upepo na wanaharakati ambao taarifa yoyote hasi ni "mpunga" kwao. Strategy ya matusi na ubabe imefeli. Strategy ya maandamano ilikufa kabla haijazaliwa. Only viable option ni dialogue. Lakini dialogue haiwezekani kwa sababu kuu mbili
1. Dialogue haiwezekani mahala pasipo na ustaarabu. Ni muhimu kuheshimiana kabla ya kufanya maongezi.
2. Radical elements zinazohusiana na chama chenu hazitokubali. Mfano hai, leo wanaharakati wanawashurutisha mumng'oe Pambalu na Moza kisa kukubali/kutoa dhamana polisi. Apparently wanaharakati wanataka wote waliokamatwa wagomee dhamana.
Kuna ombwe la uongozi katika chama chenu ndio maana outsiders wana sauti kuliko viongozi halali. Ila maslahi yao na yenu ni tofauti. Hamuwezi kuwatumia ilhali wao wanawatumia.
Dialogue is only way forward. Inaweza isizae matunda leo lakini it's better than hizo Spaces za kila siku mnajazana upepo.
Mwisho, tuhuma dhidi ya Mbowe ni nzito. Whether ni kweli au la, walioandaa kesi hiyo wamejipanga. Ndo maana hujaona Ubalozi wowote wa kimataifa ulioingilia kati suala hilo. Intelligence zao zimewaambia kutojihuisisha na kesi hiyo (lile tamko la Seneti ya Marekani lilikuwa kabla polisi hawajataja ugaidi)
Upinzani usio na weledi hauna tija kwa maslahi mapana ya nchi. Alafu tunapozungumzia upinzani sio Chadema tu...hakuna ushindani wowote.
..mnamtisha mama wa watu bila sababu.
..dhuluma na kutesa wapinzani imekuwa ni mradi / ulaji wa baadhi ya watu kwenye system.
Upinzani usio na weledi hauna tija kwa maslahi mapana ya nchi. Alafu tunapozungumzia upinzani sio Chadema tu.