Huja nzito kwa mgombea aliyeshidwa ! mbona hajatoa hizi sababu wakati uleAliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Pwani na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA mzee Sumaye amesema mara kadhaa aliwashauri viongozi wenzake wapambane na CCM kwa hoja lakini walimpuuza.
Sumaye anasema CHADEMA wamejikita kushindana na polisi ambao kamwe hawatawaweza kwa kuwa askari wanatimiza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.
Unapojikita kushughulika na polisi maana yake unawaachia CCM wafanye siasa ndio maana nimerudi kwenye chama changu ili nifanye siasa amemaliza mzee Sumaye.
Maendeleo hayana vyama!