Hoja kwa hoja: Wakosoaji wa uteuzi wa Gavana mpya Benki Kuu ya Tanzania, mnayajua haya?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,195
25,513
Tangu Rais Magufuli atangaze kumteua Prof. Florens D.A.M.Luoga kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania almaarufu kama BOT, kumejitokeza watu wanaokosoa katika namna ya kubeza uteuzi huo wa Rais Magufuli. Hoja yao, ambayo kwangu naiona hoja nyepesi na isiyo na utafiti wowote, ni kuwa Prof. Luoga si mchumi na hivyo hakustahili kuteuliwa kuwa Gavana wa BOT.

Huwa nashauri kuwa kabla ya kuzungumza jambo kubwa na la kutiliwa maanani,ni vyema mzungumzaji akafanya utafiti kabla ya kuzungumza. Ndiyo maana Waingereza husema: no research, no right to speak (kama hakuna tafiti, hakuna haki ya kusema). Msemo huo unalenga kuzuia uropokaji na upotoshaji.

Katika wakosoaji hao, wapo wananasiasa na wasomi. Hakuna ubishi kuwa Prof. Luoga ni mbobezi katika sheria na hasa sheria za kodi. Hatupaswi kubishana kuwa Prof. Luoga si mchumi. Lakini, wakosoaji wangefanya tafiti angalau kidogo, wangesema kwa uangalifu waliyoyasema. Na, wasingeropoka na kupotosha kama walivyofanya.

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 1966, alikuwa Mzee Edwin Mtei ambaye baadaye alianzisha CHADEMA. Mzee Mtei hakuwa mchumi. Alisomea na kuhitimu Chuo Kikuu cha Makerere Uganda Shahada ya Sayansi ya Siasa katika Historia na Jiografia mwaka 1957 akiwa na miaka 25. Aliteuliwa Gavana akiwa kijana asiyekuwa mchumi mwaka 1966.

Kama hiyo haitoshi, Naibu Gavana wa Mzee Mtei ambaye pia aliaminiwa na kuteuliwa na Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Hayati Bob Makani ambaye naye ni mwanzilishi wa CHADEMA. Hayati Makani alikuwa Mwanasheria. Hadi hapo, wakosoaji wanakosa na kuishiwa hoja. Prof. Luoga si Gavana wa kwanza ambaye si mchumi.

Pia, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kwanza wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mwaka 1967 na aliyepata mafanikio makubwa katika uchumi, Hayati Dr. Amon Nsekela hakuwa mchumi. Alisomea Shahada zake za Awali na Uzamili za Sanaa katika Historia. Tena, mmoja wa Mawaziri wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Tanzania aliyepata mafanikio makubwa, Mzee Cleopa David Msuya hakuwa mchumi.

Mzee Msuya alisomea Shahada ya Sanaa katika Sosholojia. Hata huko ughaibuni, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Uingereza na baadaye Waziri Mkuu baada ya Blair, Gordon Brown hakuwa mchumi. Alisomea shahada ya Sanaa katika Historia katika Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskochi. Hadi hapo, wakosoaji wa uteuzi wa Rais Magufuli wameishiwa na kupotea.

Nawahakikishieni kuwa uteuzi wa Gavana mpya wa BOT, Prof. Florens Domonick Andrew Makinyika Luoga upo sahihi kisheria na kiuhalisia. Sheria inampa sifa za kuteuliwa kuwa Gavana kwakuwa sheria ni moja ya taaluma anazopaswa kuwanazo Gavana. Tena, Rais Magufuli alidokeza, kuwa BOT wapo wachumi watakaofanya kazi na Prof. Luoga.

Wakosoaji mjifunze kutafiti kabla ya kuropoka na kupotosha. Kinachotakiwa ni utendaji!
 
kwani kuna mtu kabisha mkuu au..
Ni yule Profesa wa Buguruni ndio anapotosha, nadhani hizi fujo zote anazifanya CUF huenda walimuahidi kumpa ugavana kwa sababu yeye na wauza samaki wa pale buguruni wanajiaminisha huyu ndio mchumi namba moja duniani.

Niliwahi kuwasikia wauza samaki wa buguruni wakisema mabingwa wa uchumi kama Lipumba wapo watatu tu dunia nzima.
 
Tangu Rais Magufuli atangaze kumteua Prof. Florens D.A.M.Luoga kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania almaarufu kama BOT, kumejitokeza watu wanaokosoa katika namna ya kubeza uteuzi huo wa Rais Magufuli. Hoja yao, ambayo kwangu naiona hoja nyepesi na isiyo na utafiti wowote, ni kuwa Prof. Luoga si mchumi na hivyo hakustahili kuteuliwa kuwa Gavana wa BOT.

Huwa nashauri kuwa kabla ya kuzungumza jambo kubwa na la kutiliwa maanani,ni vyema mzungumzaji akafanya utafiti kabla ya kuzungumza. Ndiyo maana Waingereza husema: no reasearch, no right to speak (kama hakuna tafiti, hakuna haki ya kusema). Msemo huo unalenga kuzuia uropokaji na upotoshaji.

Katika wakosoaji hao, wapo wananasiasa na wasomi. Hakuna ubishi kuwa Prof. Luoga ni mbobezi katika sheria na hasa sheria za kodi. Hatupaswi kubishana kuwa Prof. Luoga si mchumi. Lakini, wakosoaji wangefanya tafiti angalau kidogo, wangesema kwa uangalifu waliyoyasema. Na, wasingeropoka na kupotosha kama walivyofanya.

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 1966, alikuwa Mzee Edwin Mtei ambaye baadaye alianzisha CHADEMA. Mzee Mtei hakuwa mchumi. Alisomea na kuhitimu Chuo Kikuu cha Makerere Uganda Shahada ya Sayansi ya Siasa katika Historia na Jiografia mwaka 1957 akiwa na miaka 25. Aliteuliwa Gavana akiwa kijana asiyekuwa mchumi mwaka 1966.

Kama hiyo haitoshi, Naibu Gavana ambaye pia aliaminiwa na kuteuliwa na Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Hayati Bob Makani ambaye naye ni mwanzilishi wa CHADEMA. Hayati Makani alikuwa Mwanasheria. Hadi hapo, wakosoaji wanakosa na kuishiwa hoja. Prof. Luoga si Gavana wa kwanza ambaye si mchumi.

Pia, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kwanza wa Benki ya Taifa ya Biashara mwaka 1967 na aliyepata mafanikio makubwa katika uchumi, Hayati Dr. Amon Nsekela hakuwa mchumi. Alisomea Shahada zake za Awali na Uzamili za Sanaa katika Historia. Tena, mmoja wa Mawaziri wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Tanzania aliyepata mafanikio makubwa, Mzee Cleopa David Msuya hakuwa mchumi.

Mzee Msuya alisomea Shahada ya Sanaa katika Sosholojia. Hata huko ughaibuni, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Uingereza na baadaye Waziri Mkuu baada ya Blair, Gordon Brown hakuwa mchumi. Alisomea shahada ya Sanaa katika Historia katika Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskochi. hadi hapo, wakosoaji wa uteuzi wa Rais Magufuli wameishiwa na kupotea.

Nawahakikishieni kuwa uteuzi wa Gavana mpya wa BOT, Prof. Florens Domonick Andrew Makinyika Luoga upo sahihi kisheria na kiuhalisia. Sheria inampa sifa za kuteuliwa kuwa Gavana kwakuwa sheria ni moja ya taaluma anazopaswa kuwanazo Gavana. Tena, Rais Magufuli alidokeza, kuwa BOT wapo wachumi watakaofanya kazi na Prof. Luoga.

Wakosoaji mjifunze kutafiti kabla ya kuropoka na kupotosha. Kinachotakiwa ni utendaji!
Heko kaka Petro kwa kumtetea mwanasheria mwenzako!
 
Boss Petro E. Mselewa As long Mteule anajua kusoma A, huyo anatufaa. Mada yako nimeipenda Mwanasheria Msomi.


Tangu Rais Magufuli atangaze kumteua Prof. Florens D.A.M.Luoga kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania almaarufu kama BOT, kumejitokeza watu wanaokosoa katika namna ya kubeza uteuzi huo wa Rais Magufuli. Hoja yao, ambayo kwangu naiona hoja nyepesi na isiyo na utafiti wowote, ni kuwa Prof. Luoga si mchumi na hivyo hakustahili kuteuliwa kuwa Gavana wa BOT.

Huwa nashauri kuwa kabla ya kuzungumza jambo kubwa na la kutiliwa maanani,ni vyema mzungumzaji akafanya utafiti kabla ya kuzungumza. Ndiyo maana Waingereza husema: no reasearch, no right to speak (kama hakuna tafiti, hakuna haki ya kusema). Msemo huo unalenga kuzuia uropokaji na upotoshaji.

Katika wakosoaji hao, wapo wananasiasa na wasomi. Hakuna ubishi kuwa Prof. Luoga ni mbobezi katika sheria na hasa sheria za kodi. Hatupaswi kubishana kuwa Prof. Luoga si mchumi. Lakini, wakosoaji wangefanya tafiti angalau kidogo, wangesema kwa uangalifu waliyoyasema. Na, wasingeropoka na kupotosha kama walivyofanya.

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 1966, alikuwa Mzee Edwin Mtei ambaye baadaye alianzisha CHADEMA. Mzee Mtei hakuwa mchumi. Alisomea na kuhitimu Chuo Kikuu cha Makerere Uganda Shahada ya Sayansi ya Siasa katika Historia na Jiografia mwaka 1957 akiwa na miaka 25. Aliteuliwa Gavana akiwa kijana asiyekuwa mchumi mwaka 1966.

Kama hiyo haitoshi, Naibu Gavana ambaye pia aliaminiwa na kuteuliwa na Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Hayati Bob Makani ambaye naye ni mwanzilishi wa CHADEMA. Hayati Makani alikuwa Mwanasheria. Hadi hapo, wakosoaji wanakosa na kuishiwa hoja. Prof. Luoga si Gavana wa kwanza ambaye si mchumi.

Pia, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kwanza wa Benki ya Taifa ya Biashara mwaka 1967 na aliyepata mafanikio makubwa katika uchumi, Hayati Dr. Amon Nsekela hakuwa mchumi. Alisomea Shahada zake za Awali na Uzamili za Sanaa katika Historia. Tena, mmoja wa Mawaziri wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Tanzania aliyepata mafanikio makubwa, Mzee Cleopa David Msuya hakuwa mchumi.

Mzee Msuya alisomea Shahada ya Sanaa katika Sosholojia. Hata huko ughaibuni, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Uingereza na baadaye Waziri Mkuu baada ya Blair, Gordon Brown hakuwa mchumi. Alisomea shahada ya Sanaa katika Historia katika Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskochi. hadi hapo, wakosoaji wa uteuzi wa Rais Magufuli wameishiwa na kupotea.

Nawahakikishieni kuwa uteuzi wa Gavana mpya wa BOT, Prof. Florens Domonick Andrew Makinyika Luoga upo sahihi kisheria na kiuhalisia. Sheria inampa sifa za kuteuliwa kuwa Gavana kwakuwa sheria ni moja ya taaluma anazopaswa kuwanazo Gavana. Tena, Rais Magufuli alidokeza, kuwa BOT wapo wachumi watakaofanya kazi na Prof. Luoga.

Wakosoaji mjifunze kutafiti kabla ya kuropoka na kupotosha. Kinachotakiwa ni utendaji!
 
Hivi BoT kuna Tax huko kwanza nakusikia wewe hayo mambo anafit wizara ya fedha au TRA, kutegemea watu wachini wakufundishe Money supply atalishwa matango pori huyo
Umenikumbusha mwaka fulani niliambiwa nihutubie kwa kifaransa nikaandikiwa hotuba, Mimi najua kifaransa kwa kuongea ila si kujenga hoja niliulizwa maswala nikaishia kuwaomba watu wa chini ambao nimewakuta pale wajibu ilikuwa aibu, Huyo kuna siku itabidi atuelezee mambo ya Inflation au Price stability ita mcosts sana labda kama atawabeba watalaamu wake kama mbeleko ,akiwabeba tu itakuwa dharau kwake
 
Tangu Rais Magufuli atangaze kumteua Prof. Florens D.A.M.Luoga kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania almaarufu kama BOT, kumejitokeza watu wanaokosoa katika namna ya kubeza uteuzi huo wa Rais Magufuli. Hoja yao, ambayo kwangu naiona hoja nyepesi na isiyo na utafiti wowote, ni kuwa Prof. Luoga si mchumi na hivyo hakustahili kuteuliwa kuwa Gavana wa BOT.

Huwa nashauri kuwa kabla ya kuzungumza jambo kubwa na la kutiliwa maanani,ni vyema mzungumzaji akafanya utafiti kabla ya kuzungumza. Ndiyo maana Waingereza husema: no reasearch, no right to speak (kama hakuna tafiti, hakuna haki ya kusema). Msemo huo unalenga kuzuia uropokaji na upotoshaji.

Katika wakosoaji hao, wapo wananasiasa na wasomi. Hakuna ubishi kuwa Prof. Luoga ni mbobezi katika sheria na hasa sheria za kodi. Hatupaswi kubishana kuwa Prof. Luoga si mchumi. Lakini, wakosoaji wangefanya tafiti angalau kidogo, wangesema kwa uangalifu waliyoyasema. Na, wasingeropoka na kupotosha kama walivyofanya.

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 1966, alikuwa Mzee Edwin Mtei ambaye baadaye alianzisha CHADEMA. Mzee Mtei hakuwa mchumi. Alisomea na kuhitimu Chuo Kikuu cha Makerere Uganda Shahada ya Sayansi ya Siasa katika Historia na Jiografia mwaka 1957 akiwa na miaka 25. Aliteuliwa Gavana akiwa kijana asiyekuwa mchumi mwaka 1966.

Kama hiyo haitoshi, Naibu Gavana wa Mzee Mtei ambaye pia aliaminiwa na kuteuliwa na Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Hayati Bob Makani ambaye naye ni mwanzilishi wa CHADEMA. Hayati Makani alikuwa Mwanasheria. Hadi hapo, wakosoaji wanakosa na kuishiwa hoja. Prof. Luoga si Gavana wa kwanza ambaye si mchumi.

Pia, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kwanza wa Benki ya Taifa ya Biashara mwaka 1967 na aliyepata mafanikio makubwa katika uchumi, Hayati Dr. Amon Nsekela hakuwa mchumi. Alisomea Shahada zake za Awali na Uzamili za Sanaa katika Historia. Tena, mmoja wa Mawaziri wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Tanzania aliyepata mafanikio makubwa, Mzee Cleopa David Msuya hakuwa mchumi.

Mzee Msuya alisomea Shahada ya Sanaa katika Sosholojia. Hata huko ughaibuni, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Uingereza na baadaye Waziri Mkuu baada ya Blair, Gordon Brown hakuwa mchumi. Alisomea shahada ya Sanaa katika Historia katika Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskochi. Hadi hapo, wakosoaji wa uteuzi wa Rais Magufuli wameishiwa na kupotea.

Nawahakikishieni kuwa uteuzi wa Gavana mpya wa BOT, Prof. Florens Domonick Andrew Makinyika Luoga upo sahihi kisheria na kiuhalisia. Sheria inampa sifa za kuteuliwa kuwa Gavana kwakuwa sheria ni moja ya taaluma anazopaswa kuwanazo Gavana. Tena, Rais Magufuli alidokeza, kuwa BOT wapo wachumi watakaofanya kazi na Prof. Luoga.

Wakosoaji mjifunze kutafiti kabla ya kuropoka na kupotosha. Kinachotakiwa ni utendaji!
Asante kwa kututajia majina yake halisi kuwa ni Dominic Andrew Makinyika. Kama ambavyo majina halisi ya mhe waziri ni John Aidan Mwaluko. Na waziri mwingine anaitwa Lameck Mkumbo Madelu. Tumetoka mbali.
 
Tangu Rais Magufuli atangaze kumteua Prof. Florens D.A.M.Luoga kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania almaarufu kama BOT, kumejitokeza watu wanaokosoa katika namna ya kubeza uteuzi huo wa Rais Magufuli. Hoja yao, ambayo kwangu naiona hoja nyepesi na isiyo na utafiti wowote, ni kuwa Prof. Luoga si mchumi na hivyo hakustahili kuteuliwa kuwa Gavana wa BOT.

Huwa nashauri kuwa kabla ya kuzungumza jambo kubwa na la kutiliwa maanani,ni vyema mzungumzaji akafanya utafiti kabla ya kuzungumza. Ndiyo maana Waingereza husema: no reasearch, no right to speak (kama hakuna tafiti, hakuna haki ya kusema). Msemo huo unalenga kuzuia uropokaji na upotoshaji.

Katika wakosoaji hao, wapo wananasiasa na wasomi. Hakuna ubishi kuwa Prof. Luoga ni mbobezi katika sheria na hasa sheria za kodi. Hatupaswi kubishana kuwa Prof. Luoga si mchumi. Lakini, wakosoaji wangefanya tafiti angalau kidogo, wangesema kwa uangalifu waliyoyasema. Na, wasingeropoka na kupotosha kama walivyofanya.

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 1966, alikuwa Mzee Edwin Mtei ambaye baadaye alianzisha CHADEMA. Mzee Mtei hakuwa mchumi. Alisomea na kuhitimu Chuo Kikuu cha Makerere Uganda Shahada ya Sayansi ya Siasa katika Historia na Jiografia mwaka 1957 akiwa na miaka 25. Aliteuliwa Gavana akiwa kijana asiyekuwa mchumi mwaka 1966.

Kama hiyo haitoshi, Naibu Gavana wa Mzee Mtei ambaye pia aliaminiwa na kuteuliwa na Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa Hayati Bob Makani ambaye naye ni mwanzilishi wa CHADEMA. Hayati Makani alikuwa Mwanasheria. Hadi hapo, wakosoaji wanakosa na kuishiwa hoja. Prof. Luoga si Gavana wa kwanza ambaye si mchumi.

Pia, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kwanza wa Benki ya Taifa ya Biashara mwaka 1967 na aliyepata mafanikio makubwa katika uchumi, Hayati Dr. Amon Nsekela hakuwa mchumi. Alisomea Shahada zake za Awali na Uzamili za Sanaa katika Historia. Tena, mmoja wa Mawaziri wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Tanzania aliyepata mafanikio makubwa, Mzee Cleopa David Msuya hakuwa mchumi.

Mzee Msuya alisomea Shahada ya Sanaa katika Sosholojia. Hata huko ughaibuni, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Uingereza na baadaye Waziri Mkuu baada ya Blair, Gordon Brown hakuwa mchumi. Alisomea shahada ya Sanaa katika Historia katika Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskochi. Hadi hapo, wakosoaji wa uteuzi wa Rais Magufuli wameishiwa na kupotea.

Nawahakikishieni kuwa uteuzi wa Gavana mpya wa BOT, Prof. Florens Domonick Andrew Makinyika Luoga upo sahihi kisheria na kiuhalisia. Sheria inampa sifa za kuteuliwa kuwa Gavana kwakuwa sheria ni moja ya taaluma anazopaswa kuwanazo Gavana. Tena, Rais Magufuli alidokeza, kuwa BOT wapo wachumi watakaofanya kazi na Prof. Luoga.

Wakosoaji mjifunze kutafiti kabla ya kuropoka na kupotosha. Kinachotakiwa ni utendaji!
Wakati mwingine tujifunze kunyamaza.Unapolinganisha,ujue pia kuna utofauti wa nyakati.Wakati wa sasa sio wa huko nyuma.Hiki ni kizazi cha kuhoji kila jambo na speed iko juu sana
 
Petro E. Mselewa ,

..ili ku-balance ungeeleza kuwa Magavana wa tatu kabla ya Dr.Luoga walikuwa ni wachumi wa ngazi ya PhD.

..zaidi walikuwa wachumi waliolelewa ktk taasisi mbalimbali za fedha, baadhi yao wakiwa na uzoefu wa ndani na nje ya Tz.

..hapa nawazungumzia Dr.Idris Rashidi, Dr.Daudi Balali, na Dr.Benno Ndulu.

..Kwa maoni yangu, uteuzi wa Dr.Luoga una mushkel siyo kwasababu ni mwanasheria, bali kwasababu hakuna ushahidi kwamba ana uzoefu ktk masuala ya benki na fedha.

..Dr.Luoga amebobea ktk masuala ya sheria za kodi. Kwa hivyo basi alifaa zaidi kuteuliwa TRA na siyo BOT.
 
Petro E. Mselewa ,

..ili ku-balance ungeeleza kuwa Magavana wa tatu kabla ya Dr.Luoga walikuwa ni wachumi wa ngazi ya PhD.

..zaidi walikuwa wachumi waliolelewa ktk taasisi mbalimbali za fedha, baadhi yao wakiwa na uzoefu wa ndani na nje ya Tz.

..hapa nawazungumzia Dr.Idris Rashidi, Dr.Daudi Balali, na Dr.Benno Ndulu.

..Kwa maoni yangu, uteuzi wa Dr.Luoga una mushkel siyo kwasababu ni mwanasheria, bali kwasababu hakuna ushahidi kwamba ana uzoefu ktk masuala ya benki na fedha.

..Dr.Luoga amebobea ktk masuala ya sheria za kodi. Kwa hivyo basi alifaa zaidi kuteuliwa TRA na siyo BOT.
Matendo ya maprofesa kama Lipumba yamenifanya nifikie hitimisho sasa tunaangalia uwezo wa mtu binafsi na siyo umesoma nini.

Ila matapeli wa elimu kama Bashite tutaendelea kuwapinga na ni lazima wang'oke.
 
Hivi BoT kuna Tax huko kwanza nakusikia wewe hayo mambo anafit wizara ya fedha au TRA, kutegemea watu wachini wakufundishe Money supply atalishwa matango pori huyo
Umenikumbusha mwaka fulani niliambiwa nihutubie kwa kifaransa nikaandikiwa hotuba, Mimi najua kifaransa kwa kuongea ila si kujenga hoja niliulizwa maswala nikaishia kuwaomba watu wa chini ambao nimewakuta pale wajibu ilikuwa aibu, Huyo kuna siku itabidi atuelezee mambo ya Inflation au Price stability ita mcosts sana labda kama atawabeba watalaamu wake kama mbeleko ,akiwabeba tu itakuwa dharau kwake
BOT kuna Taxation.
 
Ni yule Profesa wa Buguruni ndio anapotosha, nadhani hizi fujo zote anazifanya CUF huenda walimuahidi kumpa ugavana kwa sababu yeye na wauza samaki wa pale buguruni wanajiaminisha huyu ndio mchumi namba moja duniani.

Niliwahi kuwasikia wauza samaki wa buguruni wakisema mabingwa wa uchumi kama Lipumba wapo watatu tu dunia nzima.
Huenda akawa anaenda pale BOT kuanzisha vurugu hadi Prof Luoga aondoke mwenyewe
 
Back
Top Bottom