Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Aaah nimecheka mpaka basi,hivi nikuulize Paschal kwa bahati mbaya limetokea ilo shambulizi na watu wakafa ,je tunaweza kuwalaumu polisi wetu au na washirika wetu wa kimataifa ?Asante huu ndio uzalendo
Pili,hivi sera na taratibu za ulinzi na usalama wa Marekani asa katika Sera za mambo ya nje kabla ya kushambuliwa na baada ya kushambuliwa bado ni zile zile . Wahenga wanasema bora kinga kuliko tiba. NOTE: Mzungu mmoja wa Marekani kwa nchi yao ni muhimu sana tena sana..sisi huku kiongozi anapigwa risasi hadhari,Azory na Ben wamepotea,viongozi wa CHADEMA wamekatwa mapanga ila serikali yetu ya kizalendo ipo kimya ..
Katika ili tuwashukuru wamarekani kwa upendo na utu wao kutupa taadhari.