Hoja kuu: Ilikuwaje Mbowe akalindwa na wanajeshi wa JWTZ?

Nijuavyo, jeshini wapo wanaopata mafunzo lakini mwishowe huwa hawaajiriwi, hawa hutoka na kwenda kutafuta kazi nje ya jeshi, wengine huwa walinzi wa makazi/ofisi za watu, wengine huwa walinzi binafsi wa watu, hufanya hivyo ili kujitafutia riziki zao.
Kwa wale wa Mbowe ni wanajeshi kweli, licha ya kuwa walishaachishwa jeshi lakini walikuwa jwtz na walikuwa makomandoo, askari hata akiachishwa jeshi bado anaendelea kuwa mwanajeshi katika jeshi la akiba hivyo hawakupaswa kwenda kumlinda mbowe, kwani mwanajeshi yeyote ni mali ya serikali na kufanya chochote kinyume na serikali ni Uasi.
Una la kuniambia hapa?!
 
SUMA JKT tunao wanalinda hata huko hospitalini kwani washindwe kumlinda Mbowe mwana wa jk.

Ila kweli mbowe aweza kuwa usalama maana haeleweki huyu ndugu.

Mara atuletee lowassa mara Lissu sie ni kupiga kura tu mwisho wanatuchora, Mungu anawaona
 
Mbowe ni CIA operative. Anafanya kazi kwenye mwamvuli wa chadema kama geresha tu.

Ndio maana ameshupalia machanjo kumbe ana ajenda zake zenye mkono wa mabeberu.

Tunazidi pia kudadisi kuhusiana na kifo cha Rais wetu.
Mama Samia kaongoza watanzania kuchanjwa,na yeye ni CIA operative?
 
Hahahaha niemcheka Sana mkuu nikakumbuka once a threat always a threat

USSR
Kwa wale wa Mbowe ni wanajeshi kweli, licha ya kuwa walishaachishwa jeshi lakini walikuwa jwtz na walikuwa makomandoo, askari hata akiachishwa jeshi bado anaendelea kuwa mwanajeshi katika jeshi la akiba hivyo hawakupaswa kwenda kumlinda mbowe, kwani mwanajeshi yeyote ni mali ya serikali na kufanya chochote kinyume na serikali ni Uasi.
Una la kuniambia hapa?!
 
Mbowe ni CIA operative. Anafanya kazi kwenye mwamvuli wa chadema kama geresha tu.

Ndio maana ameshupalia machanjo kumbe ana ajenda zake zenye mkono wa mabeberu.

Tunazidi pia kudadisi kuhusiana na kifo cha Rais wetu.
Walioshadadia chanjo RAIS, MAKAMU, PM, CDF, IGP, Diwani (TISS)... Hawa ni CIA operatives?
 
SUMA JKT tunao wanalinda hata huko hospitalini kwani washindwe kumlinda Mbowe mwana wa jk.

Ila kweli mbowe aweza kuwa usalama maana haeleweki huyu ndugu.

Mara atuletee lowassa mara Lissu sie ni kupiga kura tu mwisho wanatuchora, Mungu anawaona
Usalama wa nini?
 
SUMA JKT tunao wanalinda hata huko hospitalini kwani washindwe kumlinda Mbowe mwana wa jk.

Ila kweli mbowe aweza kuwa usalama maana haeleweki huyu ndugu.

Mara atuletee lowassa mara Lissu sie ni kupiga kura tu mwisho wanatuchora, Mungu anawaona

Mamndenyi nakupenda wewe.
Wengi wa wachangiaji naona kama mnakosa uelewa, kuna tofauti baina ya kupitia mafunzo ya kijeshi na kuwa mwanajeshi, vijana wengi wanaopitia jkt hujiona kama tayari ni wanajeshi mnachotakiwa kujua ni kwamba kuna waajiriwa ambao ndio wanajeshi na vijana wanaopata mafunzo jkt hao wamepata mafunzo ya kijeshi (serviceman) hata hao SUMAJKT (wamepata mafunzo ya kijeshi) ni kitengo tu ndani ya jkt lakini sio wanajeshi
 
Kwa wale wa Mbowe ni wanajeshi kweli, licha ya kuwa walishaachishwa jeshi lakini walikuwa jwtz na walikuwa makomandoo, askari hata akiachishwa jeshi bado anaendelea kuwa mwanajeshi katika jeshi la akiba hivyo hawakupaswa kwenda kumlinda mbowe, kwani mwanajeshi yeyote ni mali ya serikali na kufanya chochote kinyume na serikali ni Uasi.
Una la kuniambia hapa?!
Wanalishwa na nani Wakiwa jeshi la akiba, mwehu kweli acheni kuzungumza msivovijua m
 
Baada ya kujiunga na Jeshi la wananchi (JWTZ) kuna sababu nyingi zinaweza kumuondoa mtu kuachana na utumishi ndani ya Jeshi.

Ukiachana na JESHI haikondolei chapa ya neno JWTZ hadi unaingia kaburini.

Mtoto wa Mama yangu Mkubwa amehudumu JWTZ, pale Taifa (95) kwa miaka miwili. Kutokana na sababu flani alikoma utumishi kwa mujibu wa taratibu za jeshi, kwa sasa yupo kampuni ya madini kama afisa katika masuala ya ulinzi na usalama.

Subiri mambo yafike mahakamani utajua mbivu na mbichi.
 
Mkuu naomba ufafanuzi Kama waliacha kisheria au walifukuzwa wanapaswa kutambuliwa Kama wanajeshi wa jeshi letu

USSR
Hao ni wale vijana ambao hutemwa na jkt wanaorudi mtaani..huwa wanakaa bila kazi,sasa ni afadhali uajiri mtu ambaye tayari ana mafunzo kuliko ambaye hajui hata kushika kisu.
 
Kwa wale wa Mbowe ni wanajeshi kweli, licha ya kuwa walishaachishwa jeshi lakini walikuwa jwtz na walikuwa makomandoo, askari hata akiachishwa jeshi bado anaendelea kuwa mwanajeshi katika jeshi la akiba hivyo hawakupaswa kwenda kumlinda mbowe, kwani mwanajeshi yeyote ni mali ya serikali na kufanya chochote kinyume na serikali ni Uasi.
Una la kuniambia hapa?!
Hapa yapo uliyoandika ninayohitaji uhakikisho zaidi toka kwako ili nikujibu swali lako, binafsi hata kuwaona hao wanaoitwa wanajeshi sikuwahi kuwaona, je, wewe uliwaonea wapi na kujiridhisha walikuwa ni makomandoo wa JWTZ?
 
Wanalishwa na nani Wakiwa jeshi la akiba, mwehu kweli acheni kuzungumza msivovijua m
Kwani jeshi la akiba linalishwa na nani? Kuondoka kwenye utumishi na kufanya ajira zako binafsi sio sababu ya kutokuwemo kwenye jeshi la akiba,
Hata wanajeshi wote wastaafu bado wapo kwenye jeshi la akiba, na wanaweza kuhitajika na wakarudi kazini.
 
Baada ya kujiunga na Jeshi la wananchi (JWTZ) kuna sababu nyingi zinaweza kumuondoa mtu kuachana na utumishi ndani ya Jeshi.

Ukiachana na JESHI haikondolei chapa ya neno JWTZ hadi unaingia kaburini.

Mtoto wa Mama yangu Mkubwa amehudumu JWTZ, pale Taifa (95) kwa miaka miwili. Kutokana na sababu flani alikoma utumishi kwa mujibu wa taratibu za jeshi, kwa sasa yupo kampuni ya madini kama afisa katika masuala ya ulinzi na usalama.

Subiri mambo yafike mahakamani utajua mbivu na mbichi.
Cc. Emiir.
 
Back
Top Bottom