Hoja fikirishi: Watanzania tufanyeje ili tuwe na vipato vikubwa?

Pambana aisee.,....maisha yetu wa TZ ni ya kuoena huruma tu,tulio wengi.....kuna jamaa yangu amenunua Rav 4 ya Mwaka 1998,km zaidi ya laki,gari ina miaka zaidi ya 23 toka iundwe anatamba sana mtaani,wafanyakazi wenzake wanampa hongera kwa hatua aliyofikia......sio jambo dogo kusema kweli......lakini gari ina miaka zaidi ya 20?,mtu anapongezwa baada ya kuhurumiwa?.....umasikini mbaya wandugu,unatufanya tupate "fake respect" kwenye jamii baada ya kuonewa huruma
Kama kajipanga kima kazi na kiuchumi sio mbaya Sana maana kumudu gari zero km KWA watanzania wa kawaida ni shda Sana so anaweza akawa sawa pia kamagari ikiwa tu nzma
 
Tuwe wa kweli tu, tuache ku fake maisha. Kijana maisha anayoishi mtandaoni mpaka anawachanganya binadamu wenzie aise.
Hivi hii mbona inawasumbua sana watu?? Why jamani?😅😅! Ww unasumbuka na nn mtu anaidanganya nafsi yake jamani.hehehehe....!
Kwanza kujidanganya nafsi yako ni mzigo mzito balaa...ishi wewe kama wewe
 
Kama kajipanga kima kazi na kiuchumi sio mbaya Sana maana kumudu gari zero km KWA watanzania wa kawaida ni shda Sana so anaweza akawa sawa pia kamagari ikiwa tu nzma
Hata mi sijafikia uwezo wa kumiliki gari ya mwaka 1998......lakini kiuhalisia tu hili sio swala la kujivunia kabisa kama nchi......wenzetu wanawezaje na sisi tushindwe?,mbona wenzetu hawakuanzia kutumia vitu vya mtumba?,walianza kutengeneza tu wenyewe from "scratch",kwa nini sisi tushindwe?
 
Mindset zetu wenyewe watanzania zimefocus zaidi kwenye nini?
Pale unapoweka attention kubwa ndo unapa affect zaidi
Tutolee mfano mdogo tu wa humu jf
Kati ya nyuzi 100 zinazopostiwa kwa siku 90% utakuta ni mambo ya mmu. 10 zinazobaki ndo maybe politics na aina ya huu wako.
Kwaio obviously ndio representation ya mtaani na jamii kwa ujumla.
Tunaumiza kichwa na kufocus zaidi kwenye hiyo 90% ndiko energy zetu za maisha tunamalizia huko.
Nikishakula nikashiba, nikawa na uhakika wa kupata tendo siku imeisha tuonane kesho kwa ajili ya kusaka ugali wa siku hiyo.
Kwaio mpo wachache sana ambao hata mnapata mida wa kuwaza tunajikwamuaje.
Hayo yote ni matokeo ya maandalizi mabaya yaliyofanyika kwa kizazi chetu. Kwaio tulee watoto wetu vizuri ili kizazi kinachokuja wajue wamekuja duniani kuleta impact sio kula, kunya, kulala na kusubiri kufa.
 
Mindset zetu wenyewe watanzania zimefocus zaidi kwenye nini?
Pale unapoweka attention kubwa ndo unapa affect zaidi
Tutolee mfano mdogo tu wa humu jf
Kati ya nyuzi 100 zinazopostiwa kwa siku 90% utakuta ni mambo ya mmu. 10 zinazobaki ndo maybe politics na aina ya huu wako.
Kwaio obviously ndio representation ya mtaani na jamii kwa ujumla.
Tunaumiza kichwa na kufocus zaidi kwenye hiyo 90% ndiko energy zetu za maisha tunamalizia huko.
Nikishakula nikashiba, nikawa na uhakika wa kupata tendo siku imeisha tuonane kesho kwa ajili ya kusaka ugali wa siku hiyo.
Kwaio mpo wachache sana ambao hata mnapata mida wa kuwaza tunajikwamuaje.
Hayo yote ni matokeo ya maandalizi mabaya yaliyofanyika kwa kizazi chetu. Kwaio tulee watoto wetu vizuri ili kizazi kinachokuja wajue wamekuja duniani kuleta impact sio kula, kunya, kulala na kusubiri kufa.
Nimekuelewa vyema
 
Mindset zetu wenyewe watanzania zimefocus zaidi kwenye nini?
Pale unapoweka attention kubwa ndo unapa affect zaidi
Tutolee mfano mdogo tu wa humu jf
Kati ya nyuzi 100 zinazopostiwa kwa siku 90% utakuta ni mambo ya mmu. 10 zinazobaki ndo maybe politics na aina ya huu wako.
Kwaio obviously ndio representation ya mtaani na jamii kwa ujumla.
Tunaumiza kichwa na kufocus zaidi kwenye hiyo 90% ndiko energy zetu za maisha tunamalizia huko.
Nikishakula nikashiba, nikawa na uhakika wa kupata tendo siku imeisha tuonane kesho kwa ajili ya kusaka ugali wa siku hiyo.
Kwaio mpo wachache sana ambao hata mnapata mida wa kuwaza tunajikwamuaje.
Hayo yote ni matokeo ya maandalizi mabaya yaliyofanyika kwa kizazi chetu. Kwaio tulee watoto wetu vizuri ili kizazi kinachokuja wajue wamekuja duniani kuleta impact sio kula, kunya, kulala na kusubiri kufa.
Nimekusoma mkuu,nitafanyia kazi hili
 
hii mada ni nzuri na inaweza kuwa na manufaa kama tukitumia weledi kuchangia kwa hoja...ni kweli kabisa wTZ wengi tunaungaunga mpaka hasira....kuwa na chain iliyonyooka ni hadithi.... nadhani ni kwenye elimu.....elimu yetu imesimamia kwenda kuajiriwa....so we force tufaulu ili tukaajiriwe.....hapo ndipo pa kuanziaelimu ujanja ujanja.....angalia hata hao maprofesa wanaotufundisha vyuoni...wanaangalia kwenye siasa.. na hao ni wataalamu haswa tulitegemea watawateengeneza vijana.....tupiganie mfumo wa elimu wa kumfanya kijana msomi wa kitanzania, akiwa chuoni apiganie kufikiria maisha ya kujiajiri na sio kuajiriwa...kwa vikundi au 1 by 1....
 
Mindset zetu wenyewe watanzania zimefocus zaidi kwenye nini?
Pale unapoweka attention kubwa ndo unapa affect zaidi
Tutolee mfano mdogo tu wa humu jf
Kati ya nyuzi 100 zinazopostiwa kwa siku 90% utakuta ni mambo ya mmu. 10 zinazobaki ndo maybe politics na aina ya huu wako.
Kwaio obviously ndio representation ya mtaani na jamii kwa ujumla.
Tunaumiza kichwa na kufocus zaidi kwenye hiyo 90% ndiko energy zetu za maisha tunamalizia huko.
Nikishakula nikashiba, nikawa na uhakika wa kupata tendo siku imeisha tuonane kesho kwa ajili ya kusaka ugali wa siku hiyo.
Kwaio mpo wachache sana ambao hata mnapata mida wa kuwaza tunajikwamuaje.
Hayo yote ni matokeo ya maandalizi mabaya yaliyofanyika kwa kizazi chetu. Kwaio tulee watoto wetu vizuri ili kizazi kinachokuja wajue wamekuja duniani kuleta impact sio kula, kunya, kulala na kusubiri kufa.






Hakika
 
Fanya kazi kwa bidii, kuwa mzalendo.
Saa nyingine natamani tuwachukue vijana kama 150,hivi tuwatrain waende wakajifunze ujasusi wa kiuchumi,nchi za vipato vya kati wanaishi wakirudi hao wawe ndio wakuu wa mikoa ama wilaya,nao wawatrain madiwani ama wakuu wa idara za serikali,hio life style/mentality.....mfano jinsi ya kufikiri,jinsi ya kulea watoto,jinsi ya kutumia rasilimali......serikali iwekeze kweli kweli kwenye kubadilisha life style ya watu...kazi za uongozi mishahara iwe ya kawaida,ila kazi za kubadilisha mindset na technical ndio ilipe vizuri etc
 
Kivipi mkuu,unaweza toa mifano hai.....mfano huwezi amini nchi kama Palestine ambayo ukubwa wake ni kama kutoka mwenge hadi mbagala kipato Chao ni mara tano ya wa TZ na wanapigana vita kila siku,hawana ziwa,hawana mto hawana mbuga,......yaani kitu naogopa duniani na nahisi ndio zambi kubwa ni kuwarithisha umasikini watoto nitakaowazaa.......tupeni mbinu wakuu,munaodhurura duniani wenzetu wanafanyeje/wanaishiji?
Mkuu twende mbele tukasake salary
 
Pambana aisee.,....maisha yetu wa TZ ni ya kuoena huruma tu,tulio wengi.....kuna jamaa yangu amenunua Rav 4 ya Mwaka 1998,km zaidi ya laki,gari ina miaka zaidi ya 23 toka iundwe anatamba sana mtaani,wafanyakazi wenzake wanampa hongera kwa hatua aliyofikia......sio jambo dogo kusema kweli......lakini gari ina miaka zaidi ya 20?,mtu anapongezwa baada ya kuhurumiwa?.....umasikini mbaya wandugu,unatufanya tupate "fake respect" kwenye jamii baada ya kuonewa huruma
Miaka 20
 
Uli uwe na kipato kikubwa na chakuridhisha ufanye vyote kwa pamoja
1.inabidi uwe na uwezo wa kutengeneza passive income *biashara mbili+
2. Ufanye investment.. franchise / bonds/ real estate etc.
3.pia uwe mjasiriamali mkubwa/ mwajiriwa pro kama vile doc, lawyer etc anayelipwa vizuri na kampuni kubwa
 
Singapore Kuna kazi zile chafu Kama kuzibua vyoo mshahara no 2900 SGD ambayo ni 2100 USD bado mnalia Lia tu tafuta passport na nauli yako tu kazi ni nyingi duniani..bongo ni failed state tayari
Halafu uko Singapore sisi waTZ si tunaingia visa Free/visa on arrival au nimpaka kuapply visa??

Upk ncho gani kwasasa mkuu
 
Back
Top Bottom