marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Hoo wananchi wakamatwe mara moja na kuwekwa ndani. Haiwezekani kuvuruga amani iliyojengwa kwa miaka 50. Serikali iko makini sana wasiichezee wataona cha moto.
Serikali ipi iko makini?Bungeni wanataja mawaziri wezi,Zanzibar wanaandamana kudai hatma ya Muungano!Amani ipi unayoiongelea??