Hoja binafsi: Zitto akabidhiwe jahazi??

Zito yupon kinadharia?? I doubt! just revist this world and use it properly.



Kwa sababu mwenyekiti wa sasa ni mfanyabiashara na yuko kibiashara , kama hujui hilo pole we!



Uliingizwa choo kisicho chako, mmemsema Zito humu, mmemfukuza chamani, mmetoa maneno ya kashfa, yaani mmekuwa haters in such a way mnapoona yupo palepale hatikisiki na kwanza anaonekana kung'aara na kujitoa mhangan kuliko mwingine yeyote mnaaibika na kukaa kimya?? why, you made judgemental too early we all did, is high time ukaondokana na mawazo hayo hasi ambayo ukiandika tu post kama hiyo unasomeka kuwa uko katika wale asilimia 70





Believe me unless you not in Chadema, leo hii ukiitishwa uchaguzi mkuu kati ya Mbowe na Zitto, Zitto anashinda! hili ni hakika na kweli, achana na siasa za JF za kumponda Zito wapiga kura ndani ya chama wako na wanawaza kwingine kabisa



woooote wanaoishiwa hoja husema kama wewe, kuwa kama kuna udini na ukabila ondokeni! you are not helping CDM you are confirming the matter at hand

Bravo mtoa maada, umekuwa mpole, umejenga hoja, hujakasirika hata ulipotukanwa, nilivyoangalia umejiunga lini, nikafurahi, you are absolutely amazing, you have bright future and your posts will be educative and challenging

kama ulivyosema tatizo letu ni kuogopa KUFIKIRI, kutaka publicity na kufuata mkumbo exactly kama CCM na viongozi wake, halafu tunamlaumu Kikwete, however some people hawajui hali halisi ya siasa, comment zao ni nzuri kuwa sehemu ya makumbusho kwa vizazi vijavyo.

Ndugu, unaonekana kuwa unaijua vizuri Chadema kuliko sisi wengine, so let's say kwamba tunakubaliana na unachokisema.

Impression ninayoipata hapa ni kuwa ndani ya Chadema huyu Zitto ni mtu mwenye kipaji cha pekee, genius sana, possesses unparalled vision na kwamba he cant be faulted. Interesting.

Pia naona umegusia suala la kuwashindanisha kwa kura Zitto vs Mbowe ndani ya chama chenu. Nikakuta najiuliza mwenyewe....je (statistically speaking) vipi ile kura ya wabunge ya kukosa imani na Zitto haiwezi kuchukuliwa kama kipimo (sample) cha kulinganisha nguvu ya Zitto vs Mbowe ndani ya Chadema?

Pia, ile infamous walkout pale bungeni - Zitto alikuwa upande wa minority (~20%). Je si kipimo kingine cha kuonyesha Zitto doesn't stand for the party's popular vision and the reason why he's being shunned??
Mimi sina uhakika, nisaidie!
 
Kama kweli Zitto kasema kuna ukabila na udini ndani ya CHADEMA ninayo maswali mawili. a/ akiwa mwenyekiti huo ukabila na udini utaisha? na b/ kuna kitu gani sasa ambacho kinamzuia kupambana na ukabila na udini ndani ya CHADEMA akiwa naibu wa katibu mkuu?

Labda kwa kuwa yeye sio mchaga then ile fikira ya wachaga kuwa CHADEMA ni chama chao itafifia na pia wale wachaga walio ndani ya CHADEMA wataacha kujiona kuwa wana umuhimu maalumu katika chama. Lakini pia hata kina sisi wenye kuvutiwa na CHADEMA lakini wanaogopa kujihusisha na hiyo issue ya uchaga watakuwa tayari kujiunga na kuwa mstari wa mbele katika kujenga chama ambacho hakitaathirika na propaganda za ukabila.

Kuhusu udini ni wazi kuwa kama Zitto atakuwa mwenyekiti kuna waislamu wengi ambao wamechoka na CCM lakini wanakwazwa na fikira kuwa CHADEMA ni chama chenye kulinda maslahi ya wakristo na ukristo nchini lakini pia hawako tayari kujiunga na CUF kutokana na fikira kama hizo za uislamu basi watakuwa tayari kujiunga CHADEMA na hata wale waliopo kuanza kujiona kuwa wana haki sawa ndani ya CHADEMA na kuwajibika zaidi kujenga chama chenye sura ya utaifa ambayo haiwezi kutiliwa shaka na wala kuzidiwa na propaganda za udini wala ukabila.

Lakini pia hii nafasi ya waislamu kuwa MANAIBU tu ambapo tunavyojua mfumo wa CHADEMA ni kuwa hawana cha kufanya hadi pale Mwenyekiti ama Katibu Mkuu atakapotaka, ni wazi kunajenga hisia kuwa waislamu hawaaminiwi katika mfumo wa uongozi wa CHADEMA. Lakini mbaya ni kuwa hata hao mara nyingi huwa wanakuwa sidelined hata pale Mwenyekiti ama Katibu Mkuu anapokuwa hayupo na MNYIKA ndio anapewa majukumu yao hata kama hao manaibu wapo Da Es Salaam.

Ni wazi kuwa inahitajika zaidi ya uislamu wake tu lakini uislamu wake waweza kujenga zaidi kuliko kubomoa CHADEMA kuelekea 2015 ambako kuna uwezekano mkubwa CCM kusimamisha Mkristo.
 
Waberoya,

..mwe!! naona umekuja wangu-wangu, na hapo bado Omarilyas hajatokea.

..uchaguzi ulishafanyika na Mwenyekiti wa Chadema ni Freeman Mbowe.

..kinachotakiwa kufanyika sasa hivi ni Chadema wote kumuunga mkono Mwenyekiti na Uongozi uliopo mpaka uchaguzi ujao.

..hizi kampeni zisizokuwa na mwisho hazimsaidii Zitto, na zaidi haziisaidii Chadema.

..Zitto na washabiki wake waache kuwa kama wale wakimbiaji mbio wenye mchecheto, ambao huchomoka kabla mbio hazijaanzishwa.

..wakati wa kipindi cha uchaguzi, huku Dr.Slaa akiwa kwenye kampeni, Zitto alinukuliwa huko Kigoma akidai kwamba atagombea Uraisi 2015.

..Zitto needs to settle down, kuacha umimi, na kuwa committted 100% na priorities za Chadema za wakati huu. sasa hivi priority ya Chadema na wana mageuzi wote wa Tanzania ni kuleta katiba mpya nchini.

NB:

..I can see CDM trying all that they can, to work with, and accomodate Zitto.

..wamefikia mpaka kum-include mama mzazi wa Zitto ktk kamati ya kumsuluhisha Zitto na wenzake.
 
Sikonge;1419216]Tuseme kuwa ZK kawa mwenyekiti wa CDM.

Wanafanya kikao na maamuzi ya wanachama yanakuwa "waondoke mara Kikwete akianza kuhutubia." Je Zitto kama Mwenyekiti, ataanza tena kwena kulialia mbele ya TV au ataanza ubabe wa kutaka kufukuza watu kwa kupinga maamuzi yake? Kama alishindwa kutetea maamuzi ya chama hata kama hayakabuli (maamuzi ya wengi) basi akiwa mwenyekiti, atakivunja chama siku ya kwanza tu.

Sikonge ni wazi ni mtu makini lakini ama ni chuki zako dhidi ya Zitto ama mapungufu yako katika imani ta demokrasia inakupelekea kuwa tayari kupotosha mambo.

Moja, Maana ya demokrasia ni pamoja na kutokubaliana na maamuzi ambayo kwako yanaweza kuwa sawa lakini kwa mwengine yasiwe sawa hata kama yana uhalali wa wengi. Zitto alipinga hoja ya kumtusi rais wa nchi kisiasa kwa kuondoka wakati anatoa hotuba muhimu kama ile kwa bunge na kwa taifa kwa ujumla. Lakini pia uamuzi ulipofikiwa Zitto hakuupinga bali alikataa kutii kwa kutokuingia kabisa katika ukumbi wa bunge akiungwa mkono na wabunge zaidi ya 15 wakiwemo wasomi kama Professor Kahigi, Naibu Mwenyekiti wa Chama Mzee Said Arfi na wanasiasa wazoefu kama Shibuda. Ukae ukijua hata Mnyika, Halima Mdee, Mzee Ndesamburo, Suzzane Lyimo, Lucy Owenya, Anna Komu wote hawakuunga mkono hoja ya kina Dr Slaa na hawakuhudhuria bungeni siku ile.Hao wengi waliojenga halali hoja hiyo ukitoa Grace Kihwelu wote ni freshaman MPs na wengi wao hata chadema hawaijui vilivyo.

Pili, Zitto hakukataa kutii uamuzi wa Chama kwani uamuzi huo haukuwa wa Chama bali ulikuwa ni wa wabunge wa CHADEMA. Lakini pia alikataa kupinga huku akiamini kuwa makubaliano ati yao kama viongozi wa chama yalikuwa ni kusubiri uamuzi wa Kamati Kuu kuhusu kumtambua ama kutomtambua Rais Kikwete na ni wnzake wakiongozwa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake ndio waliongoza kuvunja makubaliana hayo. Hivyo basi huo haukuwa uamuzi wa Chama chake bali ulikuwa uamuzi wa viongozi wenzake uliokuwa na uungwaji mkono wa wabunge wenzake 21 ambao kwa mujibu wa idadi ya wabunge wa Chadema hawa hawajafikia hata nusu ya wabunge wote (absolute majority)

Tatu, Zitto hakuenda kulialia katika TV bali kueeleza hali halisi ya suala lile ambalo tayari wenzake walishaanza kulitumia kumnyooshea kidole huku wakijaribu kuficha ukweli wa kilichojiri. Naamini wewe ulikuwa muumimini mkubwa wa siasa za UWAZI na UKWELI na hivyo inanishangaza kuona una ni usaliti ama kulialia pale ambapo kiongozi kama Zitto nakuwa tayari kujiingiza katika msukosuko kisiasa ili kutekeleza spirit ya UWAZI na UKWELI ambayo ni muhimu katika kujenga demokrasia tunayo ltunayoitaka.

Nne, Ni Freeman Mbowe na sio Zitto mwenye siasa za hoja za kibabe na hata uadui pale anapozidiwa ama kutishiwa uthibiti wa nafasi yake. NI Freeman Mbowe ndiye mwenye histori ya kupiga watu, kuwatukana, kuwatukana, kuwachukia na hata kuwaangamiza kisiasa wale wote wanaothubutu kuhoji ama kupinga hoja zake lakini sio Zitto.

Kwa hali ilivyo sasa, ningelikuona wa BUSARA kama ungelisema kuwa Mwenyekiti wa CDM apewe Dr. Slaa. Ni yeye ambaye atakuwa na muda mwingi kushughulikia chama Taifa na hiyo kazi kashaianza bila kulialia kuwa apewe yeye Umwenyekiti.

Hoja hii ninaiona ina mantiki hata kama nimekuwa natofautiana kiasi na style ya kisiasa ya Dr Slaa hivi karibuni....

ZK alikuwa kajipalilia njia nzuri sana ya kuwa Kiongozi wa Chadema huko mbeleni ila kwa hali aliyoionyesha kwa sasa, nafikiri itakuwa ndiyo mwisho wa CDM. Yeye kama Naibu katibu wa CDM, utakwendaje kuwafanyia kampeni RAFIKI zako walioko chama kingine? Akitaka basi aende CCM au NCCR na huko anaweza kupata Umwenyekiti.

Ni wapi ambako kuna ushahidi kuwa Zitto aliwafanyia kampeni hao unaowaita marafiki zake na ni kweli hao wabunge wote wa NCCR ni marafiki zake? Hivi ukiambiwa kuwa ukitoa Kafulila hao wengine Zitto hakuwa na uhusiano nao utaamini? Lakini vilivile huoni kuwa mtizamo wako unafanana na ule wa makada wa CCM ambao walitaminisha kuwa upinzani ni uadui na kushirikiana nao ni usaliti? Hivi kama wana CCM ama vyama vingine wakichukua huu mtizamo wabunge 47 wa Chadema wanaweza kufanya lolote la maana kwa watanzania? Hivi si MASLAHI YA TAIFA Kwanza ndio ilikuwa kauli mbiu iliyowezesha wabunge 11 wa CDM kuweza kushirikiana na wenzao wa CUF na CCM kuamsha na kushurutisha mabadilk kadhaa ambayo wote leo hii tunayasifia? Uma unaamini ni Ujasiri wa Dr Slaa tu ndio ulipelekea yote hayo?

Akitaka kuwa Mwenyekiti, basi awe kiongozi kweli. Awe ana heshimu maamuzi ya chama na Wanachama wake. Aweke chama mbele. Na haya atuonyeshe kwa vitendo. Aache kuropokaropoka. Hii kila siku kuanika matatizo ya CDM kwenye NEWS haisaidii kitu.

Naamini Zitto ni mtu anayejaribu kuwa kiongozi katika uwanja wa wanasiasa. Kiongozi wa kweli ni pamoja na kusimamia kile unachoamini kuwa ni sawa na hata kama utaonekana ni msaliti kwa wengi. Lakini pia itakuwa vizuri kuonyesha ni wapi Zitto aliwahi kutoheshimu maamuzi ya chama ama ya wanachama kwa mantiki ya kuwa yametolewa na vikao rasmi vya maamuzi vya chama chake na sio maamuzi ya viongozi wenzake wachache waliotayari kutumia mapungufu ya kiasasi ya muundo wa chama ili kufanikisha ajenda zao binafsi?

Mwanakijiji na Rev. Kishoka wanaweza wakaandika maneno mengi tu ila wanaweza kuwa pia wanafanya makosa. Ukitaka CDM iwe kama vyama vya kisiasa vya huko USA wanakoishi, itakuwa ni makosa sana sana. Pia wao si VIONGOZI wa CDM na hivyo wanaweza kuandika lolote.

Ina maana ni viongozi wa Chadema ama wanaCHADEMA tu ndio wanahaki ya kuzungumzia ama kutoa hoja zao kuhusu CDM?

Mbona SIRI zake za ndani huwa hatowi? Siri zake na mama yake haaniki. Hata wewe siri zako hutuandikii hapa uwanjani. Kila mtu ana matatizo yake na siri zake. Chama pia kina matatizo yake na siri zake. Ukiangalia matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu, CDM wamepanda kwa asilimia kubwa sana na kama CCM wataendelea na madudu yao (chini ya Mkwere, hiyo ni asilimia 100) basi uchaguzi ujao, watapanda zaidi.

Kwa hiyo unaamini kuwa kuficha siri za mapungufu ya CDM ndio kutasaidia CDM kufanikiwa zaidi na huku ukijua kuwa mafanikio ya sasa ni zaidi kutokana na mapungufu ya CCM na haswa kiongozi wake na sio imani ya watanzania kwa CDM? HUdani kuwa kuwa na kiongozi aliye tayari kuanika siri za mapungufu ya chama chake ni hatua mojawapo kubwa ya kujenga chama chenye kuweza kuaminika zaidi kutokana na umakini wake zaidi ya kuendelea kutegemea mapungufu ya CCM kama mtaji wa kufanikiwa kisiasa?


Kwa sasa tayari wameifikisha Tanzania sehemu ambazo, watu wanaanza kuogopa kuwa CCM maana wateja, Majirani watakususia. Inabidi ifike hatua CCM wawe wanajificha kwa aibu. Hapo ukifika uchaguzi ujao.......

Kwa fikira kama hizi ni wazi tunakoelekea ni kubaya. Hupaswi kufurahia Tanzania inapoelekea kule ilipokuwa Pemba mradi tu itasaidia mafaniko kwa chama chako ama unachokishabikia. Kumbuka kuwa kule Pemba hakukuwa na mgawanyiko wa kikabila na Kidini lakini hapa kwetu haya yanaweza kugeuka kabisa kuwa ukabila ambapo kabila moja (ambalo linahusishwa na nguvu na ajenda za CDM) laweza kugeuka adui wa makabila mengine mengi na dini moja kuwa adui wa dini nyingine.
 
Waberoya,

..mwe!! naona umekuja wangu-wangu, na hapo bado Omarilyas hajatokea.

..uchaguzi ulishafanyika na Mwenyekiti wa Chadema ni Freeman Mbowe.

..kinachotakiwa kufanyika sasa hivi ni Chadema wote kumuunga mkono Mwenyekiti na Uongozi uliopo mpaka uchaguzi ujao.

..hizi kampeni zisizokuwa na mwisho hazimsaidii Zitto, na zaidi haziisaidii Chadema.

..Zitto na washabiki wake waache kuwa kama wale wakimbiaji mbio wenye mchecheto, ambao huchomoka kabla mbio hazijaanzishwa.

..wakati wa kipindi cha uchaguzi, huku Dr.Slaa akiwa kwenye kampeni, Zitto alinukuliwa huko Kigoma akidai kwamba atagombea Uraisi 2015.

..Zitto needs to settle down, kuacha umimi, na kuwa committted 100% na priorities za Chadema za wakati huu. sasa hivi priority ya Chadema na wana mageuzi wote wa Tanzania ni kuleta katiba mpya nchini.

NB:

..I can see CDM trying all that they can, to work with, and accomodate Zitto.

..wamefikia mpaka kum-include mama mzazi wa Zitto ktk kamati ya kumsuluhisha Zitto na wenzake.

What are those priorities?

Nachoona ni mapambana ya vyeo tu? hadi uchaguzi unaofuta

Walianza na nani awe mwenyekiti wa KUB, zitto kama kawaida yuko mbele ya chair wake..kumbe chair anaitamani sana

Wakamnyang'anya kwa vigezo vya kutengeneza papo kwa papo

I think zitto ana wa accomodate chadema lakini wao hawamtaki lakini hawajui wamtoeje

Uongozi anataka wao hawataki kumpa kwa demokrasia nyoofu ila kupindisha pindisha au siyo?
 
Zitto angefanya jambo jema sana kuwashawishi akina Kafulila na wale defectors wengine ambao walihama CDM na kuingia NCCR ili wabaki kwenye chama chake.

Lakini mara tukasikia Zitto katoa magari yake yasaidie kampeni za Kafulila huko NCCR. Mbona kizungumkuti!
 
Sidhani kama kuna mwenye akili timamu atakubali ZK apewe madaraka makubwa hivyo,kwanza kibaraka na hilo liko wazi kwa waelewa.na kwa spidi yake hatafika mbali kisiasa kama mnavyofikiri atabaki kuwa mpiga debe tu kama hatajirekebisha na kufuata maadili ya siasa,aachane na uchu wa madaraka na cheap popularity.
 
Labda kwa kuwa yeye sio mchaga then ile fikira ya wachaga kuwa CHADEMA ni chama chao itafifia na pia wale wachaga walio ndani ya CHADEMA wataacha kujiona kuwa wana umuhimu maalumu katika chama. Lakini pia hata kina sisi wenye kuvutiwa na CHADEMA lakini wanaogopa kujihusisha na hiyo issue ya uchaga watakuwa tayari kujiunga na kuwa mstari wa mbele katika kujenga chama ambacho hakitaathirika na propaganda za ukabila.

Kuhusu udini ni wazi kuwa kama Zitto atakuwa mwenyekiti kuna waislamu wengi ambao wamechoka na CCM lakini wanakwazwa na fikira kuwa CHADEMA ni chama chenye kulinda maslahi ya wakristo na ukristo nchini lakini pia hawako tayari kujiunga na CUF kutokana na fikira kama hizo za uislamu basi watakuwa tayari kujiunga CHADEMA na hata wale waliopo kuanza kujiona kuwa wana haki sawa ndani ya CHADEMA na kuwajibika zaidi kujenga chama chenye sura ya utaifa ambayo haiwezi kutiliwa shaka na wala kuzidiwa na propaganda za udini wala ukabila.

Lakini pia hii nafasi ya waislamu kuwa MANAIBU tu ambapo tunavyojua mfumo wa CHADEMA ni kuwa hawana cha kufanya hadi pale Mwenyekiti ama Katibu Mkuu atakapotaka, ni wazi kunajenga hisia kuwa waislamu hawaaminiwi katika mfumo wa uongozi wa CHADEMA. Lakini mbaya ni kuwa hata hao mara nyingi huwa wanakuwa sidelined hata pale Mwenyekiti ama Katibu Mkuu anapokuwa hayupo na MNYIKA ndio anapewa majukumu yao hata kama hao manaibu wapo Da Es Salaam.

Ni wazi kuwa inahitajika zaidi ya uislamu wake tu lakini uislamu wake waweza kujenga zaidi kuliko kubomoa CHADEMA kuelekea 2015 ambako kuna uwezekano mkubwa CCM kusimamisha Mkristo.
Kamarade,
Kwa kujibu swali langu umezua maswali mengi zaidi. Kwanza kuna Wachaga wangapi katika uongozi wa CHADEMA? Unasema kuwa kama uongozi wa Chadema utabadilishwa, mathalan, Zitto awe mwenyekiti badala ya Freeman "hata kina sisi wenye kuvutiwa na Chadema lakini wanaogopa kujihusisha ...watakuwa tayari kujiunga na kuwa mstari wa mbele katika kujenga chama.." Kama Chadema ina ukabila, kumwondoa Freeman na nafasi yake kuchukuliwa na Zitto haitaondoa ukabila huo, isipokuwa kama Zitto atawale kama dikteta. Kinachokuzuia kujiunga na Chadema si uongozi wa Freeman bali ukabila wako (sijui wewe ni kabila gani) kwa kuona kuwa kuna ukabila ndani ya Chadema.
Pili, umesema kuna Waislamu ndani ya CCM ambao wangependa kujiunga na Chadema lakini kwa kuwa kinaongozwa na Mkristo (Freeman) wanakwazwa na fikra kuwa CHADEMA ni chama chenye kulinda maslahi ya wakristo na ukristo nchini," maneno yako mwenyewe. Kwa hiyo, hawa ndugu zetu waislamu, watahakikishiwa maslahi yao yanalindwa ikiwa tu Zitto, au Muislamu mwengine ataongoza Chadema. Hebu niambie ndugu yangu kama huo si udini, ni nini? Kama hao Waislamu wanasukumizwa kubaki CCM kwa sababu ya udini wao wabaki huko huko.
 
Waberoya,
Freeman Mbowe ni mfanyi biashara. Hilo hafichi. Freeman Mbowe pia ni Mtanzania mzalendo anayeipenda sana nchi yake.Kwa hiyo hili la kusema kuwa ni mfanyibiashara halijamdisqualify kuongoza chama. Ningependa kusikia critism za uongozi wake kama mwenyekiti na utendaji wake kikazi badala ya hizi hoja kuwa ni mfanyibiashara, mwenzako hata amediriki kumwita mesiah feki. Kama kazi aliyoifanya mpaka sasa katika CHADEMA ina mushkeli, basi hilo ndilo linalopaswa kujadilia na si ufanyibiashara wake.
 
Huyu Zitto mtamuua kwa mawazo kwa hizi conspracy theories zenu. Hebu mwacheni ajenge nchi, inatosha majungu na youte mli/nayomzulia.
 
Mpaka Pale Wachanganiaji wa Mijadala ya CHADEMA watakapojivua U-Zitto haters na U-Mbowe Haters, basi siku Miajdala hii haitakaa Ivutie hata Kidogo
 
Watu katika Uongozi makini mara nyingi huwa wanaadaliwa toka mwanzo.
Kiongozi wa chama chochote sahihi huandaliwa toka awali kwa kufundishwa itikadi na maadili ya chama husika.
Kiongozi huyu aliyeandaliwa huwa ni vigumu sana kubadilika alivyo aminishwa.
Hata kama atabadili chama kutoka kilicho mkuza,
hatakuwa mtendaji bora katika chama kingine kwani dhamira itakuwa inamsuta.
Ila Mtu wa aina hii anaweza kuonekana akifanya vitu au kudhaniwa kufanya vitu bora kutokana na Mazingira.
Ni vigumu sana kubadilisha imani alafu ukawa siyo mtendaji Mnafiki. (Unafiki ni sumu ya Maendeleo)
Siyo rahisi kutoka Uaskofu ukawa Mufti, au CCM kuwa Chadema, n.k.
Sasa, Zitto akabidhiwe jahazi??, ameandaliwa vipi ?.
 
Nipinge kwa hoja ili usiwe kama MS. QUOTE NewDawnTZ

huna hoja, it is poor, so kama umetumwa rudisha ujumbe wamekataa, Zitto imani
yetu kwake is around 30% hawezi pewa chama, na itakuwa hivyo, umeingia cha kike
siasa ni imani, hatuna imani nae only 30%, ww messenger u r crook too
 
Sikonge ni wazi ni mtu makini lakini ama ni chuki zako dhidi ya Zitto ama mapungufu yako katika imani ta demokrasia inakupelekea kuwa tayari kupotosha mambo.

Moja, Maana ya demokrasia ni pamoja na kutokubaliana na maamuzi ambayo kwako yanaweza kuwa sawa lakini kwa mwengine yasiwe sawa hata kama yana uhalali wa wengi. Zitto alipinga hoja ya kumtusi rais wa nchi kisiasa kwa kuondoka wakati anatoa hotuba muhimu kama ile kwa bunge na kwa taifa kwa ujumla. Lakini pia uamuzi ulipofikiwa Zitto hakuupinga bali alikataa kutii kwa kutokuingia kabisa katika ukumbi wa bunge akiungwa mkono na wabunge zaidi ya 15 wakiwemo wasomi kama Professor Kahigi, Naibu Mwenyekiti wa Chama Mzee Said Arfi na wanasiasa wazoefu kama Shibuda. Ukae ukijua hata Mnyika, Halima Mdee, Mzee Ndesamburo, Suzzane Lyimo, Lucy Owenya, Anna Komu wote hawakuunga mkono hoja ya kina Dr Slaa na hawakuhudhuria bungeni siku ile.Hao wengi waliojenga halali hoja hiyo ukitoa Grace Kihwelu wote ni freshaman MPs na wengi wao hata chadema hawaijui vilivyo.

Pili, Zitto hakukataa kutii uamuzi wa Chama kwani uamuzi huo haukuwa wa Chama bali ulikuwa ni wa wabunge wa CHADEMA. Lakini pia alikataa kupinga huku akiamini kuwa makubaliano ati yao kama viongozi wa chama yalikuwa ni kusubiri uamuzi wa Kamati Kuu kuhusu kumtambua ama kutomtambua Rais Kikwete na ni wnzake wakiongozwa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake ndio waliongoza kuvunja makubaliana hayo. Hivyo basi huo haukuwa uamuzi wa Chama chake bali ulikuwa uamuzi wa viongozi wenzake uliokuwa na uungwaji mkono wa wabunge wenzake 21 ambao kwa mujibu wa idadi ya wabunge wa Chadema hawa hawajafikia hata nusu ya wabunge wote (absolute majority)

Tatu, Zitto hakuenda kulialia katika TV bali kueeleza hali halisi ya suala lile ambalo tayari wenzake walishaanza kulitumia kumnyooshea kidole huku wakijaribu kuficha ukweli wa kilichojiri. Naamini wewe ulikuwa muumimini mkubwa wa siasa za UWAZI na UKWELI na hivyo inanishangaza kuona una ni usaliti ama kulialia pale ambapo kiongozi kama Zitto nakuwa tayari kujiingiza katika msukosuko kisiasa ili kutekeleza spirit ya UWAZI na UKWELI ambayo ni muhimu katika kujenga demokrasia tunayo ltunayoitaka.

Nne, Ni Freeman Mbowe na sio Zitto mwenye siasa za hoja za kibabe na hata uadui pale anapozidiwa ama kutishiwa uthibiti wa nafasi yake. NI Freeman Mbowe ndiye mwenye histori ya kupiga watu, kuwatukana, kuwatukana, kuwachukia na hata kuwaangamiza kisiasa wale wote wanaothubutu kuhoji ama kupinga hoja zake lakini sio Zitto.



Hoja hii ninaiona ina mantiki hata kama nimekuwa natofautiana kiasi na style ya kisiasa ya Dr Slaa hivi karibuni....



Ni wapi ambako kuna ushahidi kuwa Zitto aliwafanyia kampeni hao unaowaita marafiki zake na ni kweli hao wabunge wote wa NCCR ni marafiki zake? Hivi ukiambiwa kuwa ukitoa Kafulila hao wengine Zitto hakuwa na uhusiano nao utaamini? Lakini vilivile huoni kuwa mtizamo wako unafanana na ule wa makada wa CCM ambao walitaminisha kuwa upinzani ni uadui na kushirikiana nao ni usaliti? Hivi kama wana CCM ama vyama vingine wakichukua huu mtizamo wabunge 47 wa Chadema wanaweza kufanya lolote la maana kwa watanzania? Hivi si MASLAHI YA TAIFA Kwanza ndio ilikuwa kauli mbiu iliyowezesha wabunge 11 wa CDM kuweza kushirikiana na wenzao wa CUF na CCM kuamsha na kushurutisha mabadilk kadhaa ambayo wote leo hii tunayasifia? Uma unaamini ni Ujasiri wa Dr Slaa tu ndio ulipelekea yote hayo?



Naamini Zitto ni mtu anayejaribu kuwa kiongozi katika uwanja wa wanasiasa. Kiongozi wa kweli ni pamoja na kusimamia kile unachoamini kuwa ni sawa na hata kama utaonekana ni msaliti kwa wengi. Lakini pia itakuwa vizuri kuonyesha ni wapi Zitto aliwahi kutoheshimu maamuzi ya chama ama ya wanachama kwa mantiki ya kuwa yametolewa na vikao rasmi vya maamuzi vya chama chake na sio maamuzi ya viongozi wenzake wachache waliotayari kutumia mapungufu ya kiasasi ya muundo wa chama ili kufanikisha ajenda zao binafsi?



Ina maana ni viongozi wa Chadema ama wanaCHADEMA tu ndio wanahaki ya kuzungumzia ama kutoa hoja zao kuhusu CDM?



Kwa hiyo unaamini kuwa kuficha siri za mapungufu ya CDM ndio kutasaidia CDM kufanikiwa zaidi na huku ukijua kuwa mafanikio ya sasa ni zaidi kutokana na mapungufu ya CCM na haswa kiongozi wake na sio imani ya watanzania kwa CDM? HUdani kuwa kuwa na kiongozi aliye tayari kuanika siri za mapungufu ya chama chake ni hatua mojawapo kubwa ya kujenga chama chenye kuweza kuaminika zaidi kutokana na umakini wake zaidi ya kuendelea kutegemea mapungufu ya CCM kama mtaji wa kufanikiwa kisiasa?




Kwa fikira kama hizi ni wazi tunakoelekea ni kubaya. Hupaswi kufurahia Tanzania inapoelekea kule ilipokuwa Pemba mradi tu itasaidia mafaniko kwa chama chako ama unachokishabikia. Kumbuka kuwa kule Pemba hakukuwa na mgawanyiko wa kikabila na Kidini lakini hapa kwetu haya yanaweza kugeuka kabisa kuwa ukabila ambapo kabila moja (ambalo linahusishwa na nguvu na ajenda za CDM) laweza kugeuka adui wa makabila mengine mengi na dini moja kuwa adui wa dini nyingine.

Maelezo marefu, u r brain can not contract few words into meaningful way, look Zitto hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, sbb zipo wazi na ametuonyyesha wazi
1. Katupinga kutoka bungeni kumsusia rais, so he is against CDM
2. Kashauri dowans inunuliwe baada ya kuingia kamati ya madini, kapewa lishe kidogo it means na mafisadi
3. Katoa magari yake yakapigia kampeni Kafulila, that means hata Kigoma ameenda against na CDM again,
4. Msema hovyo, like msemaji wa chama, na ana uchu wa madaraka, na ndiye chanzo cha Vurugu CDM, na tulipendekeza hapa katusaliti, AFUKUZWE KAMA
HAJAJIREKEBISHA QUICK, HYPOCRITE HATUWATAKI HAPA CDM, kila siku Zitto, zitto, zitto, aondoke CDM, isitoshe hafai sbb hizi hapo juu,
na Zitto ana sifa gani? ni ile ya Buzwagi tu ndio unampa Grade hizi, he has no anything amefanya, this mental hysteria bana, eti mtoa mada anasema kaonyesha ujasiri mkubwa, what? HAFAIIIIIIIIIII
 
Kisiasa kwa sasa Zitto hana sifa yeyote ndani ya CDM, kibaya chajitembeza, na ndio maana anahaha kutafuta upepo uko wapi, kafanya nini?
je angekuwa na sifa na mpinga ufisadi japo NUSU ya Dr Slaa ingekuwaje? I think KICHWA KINGEPASUKA, akipewa sifa na kufanya migogoro ndani ya chama ZITTO analewa SIFA i mean HE LOVES CHEAP POPULARITY, & that is not the sign of intellectuals or leadership, hafai, period
 
Sikonge ni wazi ni mtu makini lakini ama ni chuki zako dhidi ya Zitto ama mapungufu yako katika imani ta demokrasia inakupelekea kuwa tayari kupotosha mambo.

Moja, Maana ya demokrasia ni pamoja na kutokubaliana na maamuzi ambayo kwako yanaweza kuwa sawa lakini kwa mwengine yasiwe sawa hata kama yana uhalali wa wengi. Zitto alipinga hoja ya kumtusi rais wa nchi kisiasa kwa kuondoka wakati anatoa hotuba muhimu kama ile kwa bunge na kwa taifa kwa ujumla. Lakini pia uamuzi ulipofikiwa Zitto hakuupinga bali alikataa kutii kwa kutokuingia kabisa katika ukumbi wa bunge akiungwa mkono na wabunge zaidi ya 15 wakiwemo wasomi kama Professor Kahigi, Naibu Mwenyekiti wa Chama Mzee Said Arfi na wanasiasa wazoefu kama Shibuda. Ukae ukijua hata Mnyika, Halima Mdee, Mzee Ndesamburo, Suzzane Lyimo, Lucy Owenya, Anna Komu wote hawakuunga mkono hoja ya kina Dr Slaa na hawakuhudhuria bungeni siku ile.Hao wengi waliojenga halali hoja hiyo ukitoa Grace Kihwelu wote ni freshaman MPs na wengi wao hata chadema hawaijui vilivyo.

Pili, Zitto hakukataa kutii uamuzi wa Chama kwani uamuzi huo haukuwa wa Chama bali ulikuwa ni wa wabunge wa CHADEMA. Lakini pia alikataa kupinga huku akiamini kuwa makubaliano ati yao kama viongozi wa chama yalikuwa ni kusubiri uamuzi wa Kamati Kuu kuhusu kumtambua ama kutomtambua Rais Kikwete na ni wnzake wakiongozwa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake ndio waliongoza kuvunja makubaliana hayo. Hivyo basi huo haukuwa uamuzi wa Chama chake bali ulikuwa uamuzi wa viongozi wenzake uliokuwa na uungwaji mkono wa wabunge wenzake 21 ambao kwa mujibu wa idadi ya wabunge wa Chadema hawa hawajafikia hata nusu ya wabunge wote (absolute majority)

Tatu, Zitto hakuenda kulialia katika TV bali kueeleza hali halisi ya suala lile ambalo tayari wenzake walishaanza kulitumia kumnyooshea kidole huku wakijaribu kuficha ukweli wa kilichojiri. Naamini wewe ulikuwa muumimini mkubwa wa siasa za UWAZI na UKWELI na hivyo inanishangaza kuona una ni usaliti ama kulialia pale ambapo kiongozi kama Zitto nakuwa tayari kujiingiza katika msukosuko kisiasa ili kutekeleza spirit ya UWAZI na UKWELI ambayo ni muhimu katika kujenga demokrasia tunayo ltunayoitaka.

Nne, Ni Freeman Mbowe na sio Zitto mwenye siasa za hoja za kibabe na hata uadui pale anapozidiwa ama kutishiwa uthibiti wa nafasi yake. NI Freeman Mbowe ndiye mwenye histori ya kupiga watu, kuwatukana, kuwatukana, kuwachukia na hata kuwaangamiza kisiasa wale wote wanaothubutu kuhoji ama kupinga hoja zake lakini sio Zitto.



Hoja hii ninaiona ina mantiki hata kama nimekuwa natofautiana kiasi na style ya kisiasa ya Dr Slaa hivi karibuni....



Ni wapi ambako kuna ushahidi kuwa Zitto aliwafanyia kampeni hao unaowaita marafiki zake na ni kweli hao wabunge wote wa NCCR ni marafiki zake? Hivi ukiambiwa kuwa ukitoa Kafulila hao wengine Zitto hakuwa na uhusiano nao utaamini? Lakini vilivile huoni kuwa mtizamo wako unafanana na ule wa makada wa CCM ambao walitaminisha kuwa upinzani ni uadui na kushirikiana nao ni usaliti? Hivi kama wana CCM ama vyama vingine wakichukua huu mtizamo wabunge 47 wa Chadema wanaweza kufanya lolote la maana kwa watanzania? Hivi si MASLAHI YA TAIFA Kwanza ndio ilikuwa kauli mbiu iliyowezesha wabunge 11 wa CDM kuweza kushirikiana na wenzao wa CUF na CCM kuamsha na kushurutisha mabadilk kadhaa ambayo wote leo hii tunayasifia? Uma unaamini ni Ujasiri wa Dr Slaa tu ndio ulipelekea yote hayo?



Naamini Zitto ni mtu anayejaribu kuwa kiongozi katika uwanja wa wanasiasa. Kiongozi wa kweli ni pamoja na kusimamia kile unachoamini kuwa ni sawa na hata kama utaonekana ni msaliti kwa wengi. Lakini pia itakuwa vizuri kuonyesha ni wapi Zitto aliwahi kutoheshimu maamuzi ya chama ama ya wanachama kwa mantiki ya kuwa yametolewa na vikao rasmi vya maamuzi vya chama chake na sio maamuzi ya viongozi wenzake wachache waliotayari kutumia mapungufu ya kiasasi ya muundo wa chama ili kufanikisha ajenda zao binafsi?



Ina maana ni viongozi wa Chadema ama wanaCHADEMA tu ndio wanahaki ya kuzungumzia ama kutoa hoja zao kuhusu CDM?



Kwa hiyo unaamini kuwa kuficha siri za mapungufu ya CDM ndio kutasaidia CDM kufanikiwa zaidi na huku ukijua kuwa mafanikio ya sasa ni zaidi kutokana na mapungufu ya CCM na haswa kiongozi wake na sio imani ya watanzania kwa CDM? HUdani kuwa kuwa na kiongozi aliye tayari kuanika siri za mapungufu ya chama chake ni hatua mojawapo kubwa ya kujenga chama chenye kuweza kuaminika zaidi kutokana na umakini wake zaidi ya kuendelea kutegemea mapungufu ya CCM kama mtaji wa kufanikiwa kisiasa?




Kwa fikira kama hizi ni wazi tunakoelekea ni kubaya. Hupaswi kufurahia Tanzania inapoelekea kule ilipokuwa Pemba mradi tu itasaidia mafaniko kwa chama chako ama unachokishabikia. Kumbuka kuwa kule Pemba hakukuwa na mgawanyiko wa kikabila na Kidini lakini hapa kwetu haya yanaweza kugeuka kabisa kuwa ukabila ambapo kabila moja (ambalo linahusishwa na nguvu na ajenda za CDM) laweza kugeuka adui wa makabila mengine mengi na dini moja kuwa adui wa dini nyingine.
Wewe ZITTO ni mjinga,Mpumbavu na si msikivu kama mama yako mzazi alivyosema kwenye vyombo vya habari ni mbishi kama mshipa,watu wamekutahadhalisha kwamba hasira,visasi,uzandiki,unafiki haukufai umekuja kwa jina la Bwanyenye TZ ili ujisafishe huitaji mitandao kujisafisha itachukua muda jinsi ulivyo haribu jina lako hayo unayosema hapo juu inaweza kuwa kweli manake wewe ndio unajua picha halisi lakini sisi hatukuamini kabisa tunajua wewe ni msaliti na mvurugaji uliye pandikizwa umeshauliwa mara nyingi kuwafuata rafiki zako NCCR kwani unangoja nini badala ya kila siku kuendekeza beef lako na Mbowe na DrSlaa hufai kuwa kiongozi huwezi teamwork wala maamuzi ya pamoja,kama chama walikutetea ulipotakiwa kupigwa na wabunge wenzio na kuondoka usijifanye sasa kwamba wewe ndio mshindi kutaka kuvuruga chama una roho ya aina gani unaalika majeshi kuja kuanika mambo ya ndani ya chama chalo unajishusha hadhi mara 100 zaidi
 
Huyu Zitto mtamuua kwa mawazo kwa hizi conspracy theories zenu. Hebu mwacheni ajenge nchi, inatosha majungu na youte mli/nayomzulia.
Ni yeye mwenyewe ana conspire na watu wake wakati mwingine yeye wmenyewe Zitto anaingia kwa IF fake yeye nadgani anaenjoy lakini hii itakuja kumuaffext psychologivally hapo mbeleni bado mdogo sana anahitaji kujipanga badala ya hii cheap popularity
 
Kamarade,
Kwa kujibu swali langu umezua maswali mengi zaidi. Kwanza kuna Wachaga wangapi katika uongozi wa CHADEMA? Unasema kuwa kama uongozi wa Chadema utabadilishwa, mathalan, Zitto awe mwenyekiti badala ya Freeman "hata kina sisi wenye kuvutiwa na Chadema lakini wanaogopa kujihusisha ...watakuwa tayari kujiunga na kuwa mstari wa mbele katika kujenga chama.." Kama Chadema ina ukabila, kumwondoa Freeman na nafasi yake kuchukuliwa na Zitto haitaondoa ukabila huo, isipokuwa kama Zitto atawale kama dikteta. Kinachokuzuia kujiunga na Chadema si uongozi wa Freeman bali ukabila wako (sijui wewe ni kabila gani) kwa kuona kuwa kuna ukabila ndani ya Chadema.
Pili, umesema kuna Waislamu ndani ya CCM ambao wangependa kujiunga na Chadema lakini kwa kuwa kinaongozwa na Mkristo (Freeman) wanakwazwa na fikra kuwa CHADEMA ni chama chenye kulinda maslahi ya wakristo na ukristo nchini," maneno yako mwenyewe. Kwa hiyo, hawa ndugu zetu waislamu, watahakikishiwa maslahi yao yanalindwa ikiwa tu Zitto, au Muislamu mwengine ataongoza Chadema. Hebu niambie ndugu yangu kama huo si udini, ni nini? Kama hao Waislamu wanasukumizwa kubaki CCM kwa sababu ya udini wao wabaki huko huko.

Mkuu Jasusi, hebu muulize huyo Kamarade kama anayo habari kuwa kabla ya Mbowe Mwenyekiti wa Chadema alikuwa Mwislamu tena Msukuma kutoka Mkoa wa Shinyanga, Bob Makani.
 
Mimi ni mkristo na tangu awali nilijua kuwa ZK ni mwislam, nilimpenda sana kijana ZK hapo alipojitokeza kama kijana shujaa hadi hapo alipoanza kuyumba na kuonyesha tabia za kihuni katika CDM. Hata mleta hoja unajua kuwa zito kama ameonyesha udhaifu mkubwa huu akiwa ktk cheo cha unaibu katibu mkuu wa CDM na mbunge, hivi akiwa sasa ndo m/kiti wa chama mambo yatakuwaje!!!!! Na hapa tuondoe ushabiki wa kumchukia au kumpenda kijana ZK kwa namna yoyote ile.

Kijana wangu ZK ni nani aliye kuloga au umepatwa na nini? ulianza aktika kuaminika sana na unamalizia katika kutiliwa mashaka na umma mkubwa wa wapenda mageuzi. yanayojitokeza na yanayowekwa wazi juu yako yanatuhuzunisha sana kuwa sasa ZK umebadilika na umekuwa siye shujaa yule... angalia wapi umeanguka ukauacha upendo wa kwanza ukatubu na Mungu atakupa nguvu tena kama mwanzo na watanzania nikiwa mmoja wao huenda tutakuamini tena.

Safari ya mabadiliko mtoa hoja siyo ya nani awe m/kiti wa CDM ni zaidi ya hapo. Hata mimi naweza kuwa m/kti muhimu ni Watanzania kuelewa Haki zao na kuziendea kwa namna yoyote ile.

Kama wewe ni msomi kama unavyodai ebu mfanyie ZK na wewe menyewe SWOT analysis halafu uache kutaka nani ( au ZK) awe m/kti wa CDM maana siyo hoja kuu

Nimesikitishwa sana na mawazo finyu eti ndo ya great thinkers....!!!! ZK awe m/kti wa CDM!!!!

Suala siyo udini wala ukabila ni tamaa ya kutotaka kutulia na kujifunza na kujua kuwa kila jambo lina wakati wake chini ya jua.
 
Back
Top Bottom