Hoja binafsi: Zitto akabidhiwe jahazi??

NewDawnTz

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,667
362
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ameonesha ujasiri mkubwa. Anajua matatizo ndani ya chama chake yanayoweza kupelekea chama chake kikapoteza hata kiti kimoja ilichonacho Kigoma.

Amejitokeza wazi kwenye vyombo vya habari na umma kuzungumzia mapungufu ya chama chake, tofauti na viongozi wenzake ndnai ya chama. HUU ni MTAJI tosha wa kuleta reforms ambazo wengi (akiwamo Rev Kishoka na Mwanakijiji) wamekuwa wakipendekeza zifanyike ndani ya chama.


Naamini wakina Rev Kishoka (kama nilivo mimi) ni waamini wazuri wa mabadiliko ya kimfumo (wa uchumi, siasa, kiutawala/uongozi na kijamii) kwenye nchi yetu nje ya CCM. Hivyo mapendekezo haya ni katika kuhakikisha chama kilichojizolea nguvu ya kuleta mabadiliko kinajipanga vema kuweza kufanya hivyo na kuweka vema public image (kupuuzia ufa ni kujenga ukuta)


Kwa nini mtaji huu wa Zitto kufahamu mapungufu ndani ya CHADEMA na kuonesha ujasiri wa kuweza kuyashughulikia usiwe MTAJI wa muhimu kufanya reform ndani ya CHADEMA maana huwezi fanya reform kwa matatizo usiyoyajua wala kuyakiri kuwa unayajua


Kwa mantiki hii, Je ambao tunapenda kuona nchi hii ikiwa nje ya makucha ya CCM na tunaamini CHADEMA ni mbadala sahihi, hatuoni kuwa sasa ni wakati sahihi wa Mh. Zitto Zuberi Kabwe kupewa jahazi la CHADEMA (awe mwenyekiti wa chama)?


Naamini atafaa na nawaomba wadau wote tumuunge mkono na kuwaomba viongozi wa CHADEMA kumpa nafasi hii Zitto aweke chama vema kama ambavyo ametanabaisha kuwa kuna mambo ya kuwekwa sawa ndani ya CHADEMA. Narudia tena, ukipuuzia ufa utajenga ukuta. GHARAMA hiyo
 
mmmmh,nilidhani unaongea point za maana,ila signature yako imeharibu kila kitu!
tupa kule
 
mmmmh,nilidhani unaongea point za maana,ila signature yako imeharibu kila kitu!
tupa kule


Speaker, usipuuze, am serious unajua. We need Reform and Zitto amesema anamudu hizi reform zinapigiwa kelele. Huoni hili ni la muhimu?

Nipinge kwa hoja ili usiwe kama MS.

Viongozi wetu wanahitaji wajue tunavyowaza ili wasijipige kumbo na upepo
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA ameonesha ujasiri mkubwa. Anajua matatizo ndani ya chama chake yanayoweza kupelekea chama chake kikapoteza hata kiti kimoja ilichonacho Kigoma.

Amejitokeza wazi kwenye vyombo vya habari na umma kuzungumzia mapungufu ya chama chake, tofauti na viongozi wenzake ndnai ya chama. HUU ni MTAJI tosha wa kuleta reforms ambazo wengi (akiwamo Rev Kishoka na Mwanakijiji) wamekuwa wakipendekeza zifanyike ndani ya chama.


Naamini wakina Rev Kishoka (kama nilivo mimi) ni waamini wazuri wa mabadiliko ya kimfumo (wa uchumi, siasa, kiutawala/uongozi na kijamii) kwenye nchi yetu nje ya CCM. Hivyo mapendekezo haya ni katika kuhakikisha chama kilichojizolea nguvu ya kuleta mabadiliko kinajipanga vema kuweza kufanya hivyo na kuweka vema public image (kupuuzia ufa ni kujenga ukuta)


Kwa nini mtaji huu wa Zitto kufahamu mapungufu ndani ya CHADEMA na kuonesha ujasiri wa kuweza kuyashughulikia usiwe MTAJI wa muhimu kufanya reform ndani ya CHADEMA maana huwezi fanya reform kwa matatizo usiyoyajua wala kuyakiri kuwa unayajua


Kwa mantiki hii, Je ambao tunapenda kuona nchi hii ikiwa nje ya makucha ya CCM na tunaamini CHADEMA ni mbadala sahihi, hatuoni kuwa sasa ni wakati sahihi wa Mh. Zitto Zuberi Kabwe kupewa jahazi la CHADEMA (awe mwenyekiti wa chama)?


Naamini atafaa na nawaomba wadau wote tumuunge mkono na kuwaomba viongozi wa CHADEMA kumpa nafasi hii Zitto aweke chama vema kama ambavyo ametanabaisha kuwa kuna mambo ya kuwekwa sawa ndani ya CHADEMA. Narudia tena, ukipuuzia ufa utajenga ukuta. GHARAMA hiyo



Kama wewe ni mpenda mabadiliko mbona vyama viko karibu 20 kwani haujaviona hivyo vyama? kawaulize ccm wenzako ni lini zilitolewa fomu za kugombea uenyekiti wa ccm taifa? au waulize ccm wenzako safu nzima ya uongozi wa kitaifa ilishawahi kuchaguliwa kidemokrasia? kweli sasa sasa nimeamini msemo wa Rev Masaniro ni sahihi, kwamba ukiona mwanamume ana makalio makubwa basi ujue kichwani ni empty.
ndio maana tunaihitaji katiba mpya ili katika hiyo katiba mpya tuingize na haki za mashoga kupigwa pipe, maana humu kuna watu bila kutaja neno zitto basi sehemu zao za siri za nyuma huwa zinanyevuanyevua.
User banned due to this post
 
Kama wewe ni mpenda mabadiliko mbona vyama viko karibu 20 kwani haujaviona hivyo vyama? kawaulize ccm wenzako ni lini zilitolewa fomu za kugombea uenyekiti wa ccm taifa? au waulize ccm wenzako safu nzima ya uongozi wa kitaifa ilishawahi kuchaguliwa kidemokrasia? kweli sasa sasa nimeamini msemo wa Rev Masaniro ni sahihi, kwamba ukiona mwanamume ana makalio makubwa basi ujue kichwani ni empty.
ndio maana tunaihitaji katiba mpya ili katika hiyo katiba mpya tuingize na haki za mashoga kupigwa pipe, maana humu kuna watu bila kutaja neno zitto basi sehemu zao za siri za nyuma huwa zinanyevuanyevua.


Matola, kwani ukizungumza kistaarabu kuna mtu atashindwa kuelewa hoja yako?

Huu ni mtazamo tu na naamini nina akili timamu kuliko wewe.

mimi nimetoa mtazamo wangu, nawe ulipaswa kutoa mtazamo wako. Ndivyo watu wenye akili timamu tunavyofanya
 
Matola, kwani ukizungumza kistaarabu kuna mtu atashindwa kuelewa hoja yako?

Huu ni mtazamo tu na naamini nina akili timamu kuliko wewe.

mimi nimetoa mtazamo wangu, nawe ulipaswa kutoa mtazamo wako. Ndivyo watu wenye akili timamu tunavyofanya

Upo sahihi kwa angalizo lako hili, hakuna haja ya JAZBA/MALUMBANO.
 
Unatumika?

Mkuu Sulpha, sijatumwa wala situmikii mtu. Mimi ni msomi huru na mtu mwenye mawazo huru. Kuibua hoja ni kuchokonoa hoja.

Nimetoa mawazo na imani yangu kutokana na mwenendo wa Zitto ndani ya CHADEMA. Nadhani mitazamo sahihi ni jambo la msingi kuliko kushuku.

HAYA NI MAWAZO HURU NA UNARUHUSIWA KUWAZA HURU PIA HATA KAMA NI KINYUME NA MAWAZO HURU YA ALIETOA WAZO HURU
 
sulphadoxine ana jazba sana na siasa haziwezi. HOJA nzito zimetolewa. CHADEMA haiwezi kuendelea bila ya ZITO.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA ameonesha ujasiri mkubwa. Anajua matatizo ndani ya chama chake yanayoweza kupelekea chama chake kikapoteza hata kiti kimoja ilichonacho Kigoma.

Amejitokeza wazi kwenye vyombo vya habari na umma kuzungumzia mapungufu ya chama chake, tofauti na viongozi wenzake ndnai ya chama. HUU ni MTAJI tosha wa kuleta reforms ambazo wengi (akiwamo Rev Kishoka na Mwanakijiji) wamekuwa wakipendekeza zifanyike ndani ya chama.


Naamini wakina Rev Kishoka (kama nilivo mimi) ni waamini wazuri wa mabadiliko ya kimfumo (wa uchumi, siasa, kiutawala/uongozi na kijamii) kwenye nchi yetu nje ya CCM. Hivyo mapendekezo haya ni katika kuhakikisha chama kilichojizolea nguvu ya kuleta mabadiliko kinajipanga vema kuweza kufanya hivyo na kuweka vema public image (kupuuzia ufa ni kujenga ukuta)


Kwa nini mtaji huu wa Zitto kufahamu mapungufu ndani ya CHADEMA na kuonesha ujasiri wa kuweza kuyashughulikia usiwe MTAJI wa muhimu kufanya reform ndani ya CHADEMA maana huwezi fanya reform kwa matatizo usiyoyajua wala kuyakiri kuwa unayajua


Kwa mantiki hii, Je ambao tunapenda kuona nchi hii ikiwa nje ya makucha ya CCM na tunaamini CHADEMA ni mbadala sahihi, hatuoni kuwa sasa ni wakati sahihi wa Mh. Zitto Zuberi Kabwe kupewa jahazi la CHADEMA (awe mwenyekiti wa chama)?


Naamini atafaa na nawaomba wadau wote tumuunge mkono na kuwaomba viongozi wa CHADEMA kumpa nafasi hii Zitto aweke chama vema kama ambavyo ametanabaisha kuwa kuna mambo ya kuwekwa sawa ndani ya CHADEMA. Narudia tena, ukipuuzia ufa utajenga ukuta. GHARAMA hiyo

Ninachoona hapa mimi ni UTUPU wa hoja. Nilitarajia useme kivipi Zito ni bora, au mwenyekiti wa sasa anamatatizo gani na vitu kama hivyo. Wewe CCM NINI?
 
sulphadoxine ana jazba sana na siasa haziwezi. HOJA nzito zimetolewa. CHADEMA haiwezi kuendelea bila ya ZITO.

Sio kweli kwamba siasa haziwezi, nadhani alikuwa hajaelewa vema hoja yangu. Naamini sasa amenielewa vema na nadhani atakuwa na mchango mzuri.

Usimhukumu maana the way post yangu imekaa ina mpa uhalali wa kudhani nimetumwa kutumikia mawazo ya mtu fulani, NO THANK, am standing alone here
 
Ninachoona hapa mimi ni UTUPU wa hoja. Nilitarajia useme kivipi Zito ni bora, au mwenyekiti wa sasa anamatatizo gani na vitu kama hivyo. Wewe CCM NINI?

Kaka mimi sio CCM na haitakaa niwe CCM., Familia yangu yote kuanzia mke hadi watoto ni wana-CHADEMA waaminifu kabisa na juzi tu mke wangu kadai kadi ya chama.

Ila ninachozungumza hapa ni kwamba, Zitto anaonekana kujua zaidi matatizo ya CHADEMA kuliko viongozi wenzake. And what am holding here ni principle ya kuwa, ili UAMUE KUOGA NI LAZIMA UJUE KUWA NI MCHAFU. Na ZITTO ndie kinara wa kujitokeza kudai CHADEMA chafu.


Sasa kwa kuwa anajua ni chafu na anajua dawa ni kuoga, huoni inafaa akabidhiwe sabuni, maji na bafu ili asafishe?
 
Kaka mimi sio CCM na haitakaa niwe CCM., Familia yangu yote kuanzia mke hadi watoto ni wana-CHADEMA waaminifu kabisa na juzi tu mke wangu kadai kadi ya chama.

Ila ninachozungumza hapa ni kwamba, Zitto anaonekana kujua zaidi matatizo ya CHADEMA kuliko viongozi wenzake. And what am holding here ni principle ya kuwa, ili UAMUE KUOGA NI LAZIMA UJUE KUWA NI MCHAFU. Na ZITTO ndie kinara wa kujitokeza kudai CHADEMA chafu.


Sasa kwa kuwa anajua ni chafu na anajua dawa ni kuoga, huoni inafaa akabidhiwe sabuni, maji na bafu ili asafishe?

Hivi huo uchafu uliokusukuma ni upi?
 
Hivi huo uchafu uliokusukuma ni upi?


Selous, kama umemsikiliza vema Zitto, anaweka wazi kuwa CHADEMA kuna udini na ukabila....nadhani utakuwa umemsoma vema anapozungumza hivi.

Mkuu Selous, mtu anapofikiri watu wote wanafikiri kama yeye anapaswa kusaidiwa kujua kuna fikra mbadala
 
Kaka NewDawnTz katika hoja yako umeuliza kama ni wakati sasa wa kumpa ZK jahazi la CDM ukiamini kuwa ndicho chama mbadala wa CCM.

Hata kama tukisema ZK awe mwenyeketi kwa sasa atakuwaje na uchaguzi wa ndani CDM bado, je unapendekeza mapinduzi yafanyike au lengo ni kuaandaa mtandao wa kumweka ZK madarakani??
Ni mafanikio gani ambayo tunaweza kuyahusisha na cheo chake cha sasa kiasi kwamba tudhani anaweza kutenda makubwa akiwa M/Kiti?
Ni yapi mapungufu ya kiuongozi kwa mwenyekiti wa sasa ambayo tuna uhakika ZK hatayarudia??

Nisadie kujua hayo ndipo nione kama niunge mkono hoja yako. Asante mkuu
 
Back
Top Bottom