Nakupa Like..kwenye mada kama hizi unatakiwa uwe makini na hoja zako ziwe na tija la sivyo inakula kwako maana lazima utapost kwa hasira na mwishowe unatukana.
maana huyu mkuu wa kaya kila mtu anamlalamikia kwa jinsi mambo yake anavyofanya sasa mi naona jambo la msingi ni kumtungi nyimbo mabango na hata kumuitia kanisa zima lijelimshauri atulie natujenge nchi yetu.
na kitu kingine kikubwa itabidi hao walioko nje ya nchi nao wapige kelele na kumwambia wamemchoka kama wanavyotaka kufanya watu wanaoishi washington DC ili iwe fundisho.
natupinge kile anachokitegemea eti anaitangaza nchi swali hapa je mh membe anakazi gani kama mkuu wa kaya anaact badala yake?
mwisho naomba mungu awabadilishe wawakilishi wetu wabadilike na wawapende watanzania wote.
Mtanzania Mweupe
<br />Wabunge wote nawaombeni Mpeleke hoja kwa spika Wa Bunge kunahitajika ipigwe kura ya kutomuamini Raisi na serikali yote kwani madudu yafwanyayo hayavumuliki.<br />
<br />
Wananchi wamesha choka yaani namaanisha.. pengine itawaamsha watawala wanaolala nimeona hata wabunge wanavyoisikitikia nchi yetu... Raisi yaonesha hana mpango nasi kwani hana shida ya kimaisha wala taabu na hakerwi na maisha yetu. me nitapiga kura na akitolewa ataifishwe mali zake alizotuchukulia iwe fundisho kwa kila raia anaenunua uongozi for faida yake
Siyo wabunge tu 75% wanaofikiri kwa kutumia Ma-Masaburi, bali na spika pia anatumia Ma-Masaburi yake kufikiri badala ya akili, hawezi kuruhusu huo mjadala ufanyike hata siku moja. Labda kama angekuwa mzee wa viwango Six.sizani kama itawezekana kwa bunge 75% lwanafikilia kwa kutumia makalio
<br /> <br / nakweli mana mnyika kalianzisha tu akapigwa "STOP" kalazimishwa akaeSiyo wabunge tu 75% wanaofikiri kwa kutumia Ma-Masaburi, bali na spika pia anatumia Ma-Masaburi yake kufikiri badala ya akili, hawezi kuruhusu huo mjadala ufanyike hata siku moja. Labda kama angekuwa mzee wa viwango Six.
Wabunge wote nawaombeni Mpeleke hoja kwa spika Wa Bunge kunahitajika ipigwe kura ya kutomuamini Raisi na serikali yote kwani madudu yafwanyayo hayavumuliki.
Wananchi wamesha choka yaani namaanisha.. pengine itawaamsha watawala wanaolala nimeona hata wabunge wanavyoisikitikia nchi yetu... Raisi yaonesha hana mpango nasi kwani hana shida ya kimaisha wala taabu na hakerwi na maisha yetu. me nitapiga kura na akitolewa ataifishwe mali zake alizotuchukulia iwe fundisho kwa kila raia anaenunua uongozi for faida yake
Sisi tunaongea mambo ya ukweli na wakati wake sio kama wewe unaovyoonekana mropokaji Serikali hii hata watoto wanaichukia ina kila aina ya Uozo.. Tujaribu kuweka ukweli na uongo tofauti ili mambo ya nchi yetu yaendelee mbele.Ww mbona familia yako wamekuchoka kwa ulevi , uasharati nk lakini hawakupigii kura ya kutokuwa na imani na ww?