Hoja binafsi: Vyama vya siasa viwe makini sana kwenye uteuzi wa wagombea wenza katika chaguzi zijazo ama sivyo Katiba imulikwe

Je committee ikishindwa kufikia consensus inakuwaje ?

Je hiyo kamati itakuwa inapatikanaje ?
Hayo ndiyo mambo ya kuangalia wakati wa uandaaji wa katiba. Mfano mmoja ni kuwa Supreme Court of the US ina majaji tisa (ODD number) kwa hiyo ni lazima kutakuwa na consesus fulani kwa njia ya simple majority katika kila uamuzi wake. Kamati itapatikana kulingana na Katiba itakavyosema, kuna njia nyingi za kuipata; waandaa katiba wataamua ipatikaneje. Nia ni ku-limit powers za yule anayerithi kiti cha urais, isijepelekea kama Compaore alivyojirithisha kita cha urais wa Burkina Faso kwa kumwua Sankara.
 
Hayo ndiyo mambo ya kuangalia wakati wa uandaaji wa katiba. Mfano mmoja ni kuwa Supreme Court of the US ina majaji tisa (ODD number) kwa hiyo ni lazima kutakuwa na consesus fulani kwa njia ya simple majority katika kila uamuzi wake. Kamati itapatikana kulingana na Katiba itakavyosema, kuna njia nyingi za kuipata; waandaa katiba wataamua ipatikaneje. Nia ni ku-limit powers za yule anayerithi kiti cha urais, isijepelekea kama Compaore alivyojirithisha kita cha urais wa Burkina Faso kwa kumwua Sankara.
Hiyo kamati itachaguliwaje ?
 
Nataka maoni yako binafsi juu ya hili
Nimesema zipo njia nyingi. Binafsi ninaweza kusema kuwa awepo mwakilishi wa jaji mkuu atakayechaguliwa na jaji mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi atakayechaguliwa na mkuu wa majeshi mwenyewe, mwakilishi wa Waziri Mkuu atakayechaguliwa na waziri mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Rais wa Zanzibar atakayechaguliwa na rais wa zanzibar mwenyewe, na mwakilishi wa vyama vyote vya upinzani atakayechaguliwa kwa pamoja na vyama vyote vya upinzani. Hiyo ni odd number ambayo kila mara itafikia consesus katika jambo lolote kwa simple majority. Ni swala la kuandika katiba vizuri tu; miundo mbalimbali inawezekana.
 
Nimesema zipo njia nyingi. Binafsi ninaweza kusema kuwa awepo mwakilishi wa jaji mkuu atakayechaguliwa na jaji mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi atakayechaguliwa na mkuu wa majeshi mwenyewe, mwakilishi wa Waziri Mkuu atakayechaguliwa na waziri mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Rais wa Zanzibar atakayechaguliwa na rais wa zanzibar mwenyewe, na mwakilishi wa vyama vyote vya upinzani atakayechaguliwa kwa pamoja na vyama vyote vya upinzani. Hiyo ni odd number ambayo kila mara itafikia consesus katika jambo lolote kwa simple majority. Ni swala la kuandika katiba vizuri tu; miundo mbalimbali inawezekana.
Hao wanaoteua wawakilishi wenyewe watapatikanaje ?

Lets say waziri mkuu atapatikanaje ?
 
Nimesema zipo njia nyingi. Binafsi ninaweza kusema kuwa awepo mwakilishi wa jaji mkuu atakayechaguliwa na jaji mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi atakayechaguliwa na mkuu wa majeshi mwenyewe, mwakilishi wa Waziri Mkuu atakayechaguliwa na waziri mkuu mwenyewe, mwakilishi wa Rais wa Zanzibar atakayechaguliwa na rais wa zanzibar mwenyewe, na mwakilishi wa vyama vyote vya upinzani atakayechaguliwa kwa pamoja na vyama vyote vya upinzani. Hiyo ni odd number ambayo kila mara itafikia consesus katika jambo lolote kwa simple majority. Ni swala la kuandika katiba vizuri tu; miundo mbalimbali inawezekana.
Do you think mfumo huu utakuwa democratic ?
 
Tutafika ila tukiwa kwenye hali mbaya kaka.

Ila sijajua takwa la kikatiba linasema kuchagua MIPOZA au?!

Kazi iendelee
Kazi inaendelea na sasa tumehamia kwenye line za simu tunakusanya kodi
 
Kweli. Na sio mgombea mwenza tu hata na rais pia.

Kwa mfano Chadema walituwekea Lowasa na yule makamu wake sijui walikuwa wanatuchukuliaje.
Tena umkome huyu mzee wa wenyewe toka mmeanza kumnanga mmepata nini zaidi ya kumpa nguvu na afya?
 
Ndg Yangu Kubaliana na Khali tu Rais wa JMT ni Mama SSH, Hauna Namna. Mama SSH anatosha na ametuonyesha ni Jinsi gani anatosha. Je ulishawahi Kujua tangu Ndege ya Kwanza hadi ya Nane ni Hasara kila Mwaka kwa Kwenda Mbele. Je angekuwepo Mwendazake ungejua hizi hasara BIl.150 only kwa Midege tena Mibovu.

Serikali halali ni seriali ya watu na kuna transparency, sasa ya Mwendazake iligubikwa na usiri mkubwa kwani ni serikali iliyokwishakujua ina Makandokando Mengi na ya Kutisha. Wenye Hakili Tuliliona hili Mapema ya Mwaka wake wa Mwanzo wa Utawala wake.. Karagabaoo.
Naendelea kusisitiza vyama viwe makini na uteuzi wa wagombea wenza kwenye chaguzi Ili kujikinga na majanga yanayo epukika.
 
😂😂😂

Kweli kazi iendelee mkuu.
Mkuu Bado kazi inaendelea na siku hizi tunakula Kwa urefu wa Kamba.
Na ni marufuku kabisa kukosoa kiti kikuu la sivyo utakutana na kichambo toka Kwa hadija kopa hadi utajiuzulu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom