SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,001
- 6,587
Heshima zenu nyote Wananchi.
Kwanza kabisa niwape pole wote waliokumbwa na vurugu zote zaku pambana na korona kumi na tisa. Poleni wanafamilia wote.
Pili, niwapongeze wale wote walio mstari wa mbele katika vita hii.
Tatu....Mheshima Raisi hawezi kufanya vyote kama wengi wetu tunavyotaka kuamini, kwa hilo basi....
Na katika pita pita zangu kwenye vyombo vya habari, sijaona wala kusikia Serikali za Mitaa zinavyojihusisha na mapambano ya Korona kumi na tisa, pamoja na kuwa serikali kuu ndio wahusika wakuu,
Serikali za mitaa ziwe na mikakati ya kuokoa Wananchi wa maeneo yao kwa kufuata "protokali" za kimataifa pamoja na mwongozo wa Mh. Rais
Sio lazima kuwe na "lockdown" nchi nzima, walakini maeneo yenye maambukizo mengi wawe na mikakati. Serikali za Mitaa must act!
Kwanza kabisa niwape pole wote waliokumbwa na vurugu zote zaku pambana na korona kumi na tisa. Poleni wanafamilia wote.
Pili, niwapongeze wale wote walio mstari wa mbele katika vita hii.
Tatu....Mheshima Raisi hawezi kufanya vyote kama wengi wetu tunavyotaka kuamini, kwa hilo basi....
Na katika pita pita zangu kwenye vyombo vya habari, sijaona wala kusikia Serikali za Mitaa zinavyojihusisha na mapambano ya Korona kumi na tisa, pamoja na kuwa serikali kuu ndio wahusika wakuu,
Serikali za mitaa ziwe na mikakati ya kuokoa Wananchi wa maeneo yao kwa kufuata "protokali" za kimataifa pamoja na mwongozo wa Mh. Rais
Sio lazima kuwe na "lockdown" nchi nzima, walakini maeneo yenye maambukizo mengi wawe na mikakati. Serikali za Mitaa must act!