Nsaji Mpoki
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 396
- 65
kutokana na umahiri wa mwigulu nchemba wa kunukulu matheories na theorists kibao, kukandia bajeti ya upinzani, kuiita rubbish na kuitupa; nakusudia kupeleka hoja binafsi kwa mkuu wa kaya ili amteue awe waziri wa fedha. Kwa wananiunga mkono tafadhali changieni hoja zenu zenye mshiko hapa . Nafikiri atatufaa huyu kijana kuliko yule mzee wa kihehe.
from what i saw it was purely ejaculating words. Mchumi anayejiita mahiri anasema serikali haiwezi kulipa mishahara ya watumishi wake kwa kiwango cha chini cha laki 3 lakini hafafanui ni kiasi gani cha mapato kinapotea au uhusiano wa uwekezaji na fedha zinazoliwa bila maelezo si mchumi. Sincerely aliamua kwa makusudi kutukana watumishi wa umma na watanzania kwa ujumla achia mbali ugomvi wake na chadema. Kila mara tunaingia hapa na kusema the ccm boat is lost unless something very crucial is done to rescue. Hawa vijana sio visionary ukilinganisha na umri wa chama chao.