Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,482
- 8,527
Mbona mashindano makubwa kama World Cup na mengineyo yanatazamwa maeneo karibia yote na watu wenye hamasa ya kufanya hivyo??Wazo ni nzuri kimtizamo ila unaufahamu kuwa kuna wanafunzi watoka huko ndani vijijini hata nishati ya umeme hakuna? Kufanya applications tu za vyuo ilikuwa hadi mtu asafiri wengine hadi makao makuu ya wilaya? Hii mbinu ingewezekana kama nchi nzima kuanzia vitongoji na vijiji vingekuwa na huo mtandao wa umeme na internet ikiwepo. Nje ya hapo ni tatizo kubwa sana kwa wengine.
This is just a matter of mind set...
Tukiamua kujaribu hatuwezi kushindwa!!!