Hoja: Bei Ya Kutuma SMS Ipandishwe Sana!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,723
Wanabodi,

Nasikiliza Redio One stereo, kipindi kinachoitwa Yaliyomo Yamo.

Kuna hoja inaendeshwa ikitaka ifanyike petition kwenye makampuni ya simu kupitia TCRA ili bei ya SMS ipandishwe sana ili kuwakomesha watu waliozua mitindo inayokera ya kutunga meseji za kila tukio linalotokea nchini ikiwa ni pamoja na kuzua vifo vya watu. Walitoa mfano kuwa kuna meseji zilizosambazwa jana kuwa MwanaBongo Flavor aliyezikwa jana amekutana na Kanumba na Mafisango...!

Aidha walisema kuna sms nyingi za matusi na mambo yasiyo ya kistaarabu zinazotungwa na kusambazwa kila kukicha, bila kujali umri wa mtumiwa, kisa ni bei poa ya utumaji.

Wamesema makampuni ya Mawasiliano yafute meseji za offer na kupansdisha sana bei ya sms, wakidai itawakomesha waharibifu hao wanaozua au kuamsha simanzi kwa waliofiwa.

Mdau,
Unaionaje hoja hiyo?...je ndiyo mwarobaini wa hizi meseji?
 
Na mimi nadhani, hoja hiyo ni sawa na kusema kua kilimo cha ngano, miwa, na nafaka zote kipigwe marufuku kwa sababu watu hutengeneza pombe kwa kutumia mazao hayo. Unajua tatizo Watangazaji wengi wa Hivi viredio hua sio Wenye weledi ya kutosha kuhusu mambo ya maana na mambo yasio na maana. Hua inatokea kama bahati mbaya kufanikiwa kusikiliza vipindi vyao.
 
nimesikiliza ila watangazaji wenyewe akili zao zinawatosha wenyewe hawakuwa na hoja
kisa kikubwa kuna sms zilisambazwa jana kuwa RAY C kafa badala ya kuhoji kwa nn mwanzishaji asitafutwe
kwa kuwa simu zimesajiliwa wanataka bei za sms zipandishwe............loh!
 
Mawazo mafu haya, hawa wakina mama wanadhani umbea na ufanyaji maamuzi vinaenda sambamba. SMS ziongezwe gharama eti kwa sababu Ray C kazushiwa kifo. Kwa maoni yao ya saluni, SMS zinatumika vibaya kwa hiyo gharama zipande.

Sasa swali langu kwa hawa kinamama: Ikiwa watu wanapofika Posta wanachafua mji kwa kutupa takataka, nauli za usafiri wa kwenda huko zipandishwe ili watu wasiende holela?
 
Wanabodi,

Nasikiliza Redio One stereo, kipindi kinachoitwa Yaliyomo Yamo.

Kuna hoja inaendeshwa ikitaka ifanyike petition kwenye makampuni ya simu kupitia TCRA ili bei ya SMS ipandishwe sana ili kuwakomesha watu waliozua mitindo inayokera ya kutunga meseji za kila tukio linalotokea nchini ikiwa ni pamoja na kuzua vifo vya watu. Walitoa mfano kuwa kuna meseji zilizosambazwa jana kuwa MwanaBongo Flavor aliyezikwa jana amekutana na Kanumba na Mafisango...!

Aidha walisema kuna sms nyingi za matusi na mambo yasiyo ya kistaarabu zinazotungwa na kusambazwa kila kukicha, bila kujali umri wa mtumiwa, kisa ni bei poa ya utumaji.

Wamesema makampuni ya Mawasiliano yafute meseji za offer na kupansdisha sana bei ya sms, wakidai itawakomesha waharibifu hao wanaozua au kuamsha simanzi kwa waliofiwa.

Mdau,
Unaionaje hoja hiyo?...je ndiyo mwarobaini wa hizi meseji?
Hivi laini za simu zilisajiliwa ili iweje?
 
This people they can't be serious, wakati watu tunapambana Gharama za simu zishushwe na sms ziwe bure kumbe kuna mabundi ambayo source of income zao ni kupewa pesa na mabwana wanatuletea mawazo ya Salon!! Pumbavu kabisa.

Redio one nayo imeshakuwa cheap this much kuendesha mijadala ya kijinga na ya hovyo kama huu!!?
 
siku hizi kwa internet unaweza kutuma sms, pia kuna application kama whatsapp watu watahamia huko
Wanabodi,

Nasikiliza Redio One stereo, kipindi kinachoitwa Yaliyomo Yamo.

Kuna hoja inaendeshwa ikitaka ifanyike petition kwenye makampuni ya simu kupitia TCRA ili bei ya SMS ipandishwe sana ili kuwakomesha watu waliozua mitindo inayokera ya kutunga meseji za kila tukio linalotokea nchini ikiwa ni pamoja na kuzua vifo vya watu. Walitoa mfano kuwa kuna meseji zilizosambazwa jana kuwa MwanaBongo Flavor aliyezikwa jana amekutana na Kanumba na Mafisango...!

Aidha walisema kuna sms nyingi za matusi na mambo yasiyo ya kistaarabu zinazotungwa na kusambazwa kila kukicha, bila kujali umri wa mtumiwa, kisa ni bei poa ya utumaji.

Wamesema makampuni ya Mawasiliano yafute meseji za offer na kupansdisha sana bei ya sms, wakidai itawakomesha waharibifu hao wanaozua au kuamsha simanzi kwa waliofiwa.

Mdau,
Unaionaje hoja hiyo?...je ndiyo mwarobaini wa hizi meseji?
 
siku hizi kwa internet unaweza kutuma sms, pia kuna application kama whatsapp watu watahamia huko
Ingekuwa ni zamani ningesema Watanzania wenye access na Internet ni 4% tu.
Lakini sasa hivi mchina katusaidia, hata Tecno zinatembeza internet mbaya!
 
This people they can't be serious, wakati watu tunapambana Gharama za simu zishushwe na sms ziwe bure kumbe kuna mabundi ambayo source of income zao ni kupewa pesa na mabwana wanatuletea mawazo ya Salon!! Pumbavu kabisa.

Redio one nayo imeshakuwa cheap this much kuendesha mijadala ya kijinga na ya hovyo kama huu!!?

good say, like it
 
Nafikiri hatua zichukuliwe kwa wale tu wanaojihusisha na hizo sms hasa muanzishaji kama vile kumpa onyo na akiendelea line ifungwe.ndio sababu ya kusajili namba
 
'''jana nilipita plae geto kwako kumbe majambazi yalikuwa yamekuvamia,nikasikia yakikuamuru tukubake au tukuue,chagua moja fasta ,niliposikia hivo nikakimbia,kama unaisoma meseji hiikweli ulifanya maamuzi magumu''''

hii messeji nim,etumia na rafiki yangu this morning nilikasirika sana sana ,ni siku chache tu jirani yangu alivamiwa na house gal wake kubakwa nakuambukizwa ukimwi alafu mtu anakutumia sms kama hiyo kweli nimekasirika sana
 
Sioni hoja hapo alietuma hiyo sms atafutwe apewe onyo kali na faini, ndio maana ya kusajili line.
 
Back
Top Bottom