Hofu yatawala Siyoi Sumari kukatwa na CC-CCM

People!

Ni jambo la kushangaza sana.Tumefikia hautu kwamba tunataka kuwanyima watu fursa na haki za kikataiba kwa sababu mzazi wake alikuwa kiongozi eneo husika? Hoja ninayotumia kupinga vyeo vya kuteuana kishikaji ndizo hizo ninazotumia kulinda uhuru binafsi wa mtu kufuata mchakato wa kidemokrasia (as consitutional right) ya kugombe au kutafuta nafasi ya uwakilishi/uongozi. Kwa hiyo kwa kuwa Siyoi sumary kachaguliwa na watu let him be....tukutane nae kwenye majukwaa ya kwamba yeye au sisi tunaweza kuwafanyia nini watu wa Arumeru mashariki.So far,katika debate zinazoendelea hakuna anayejadili uwezo wa wagombe au vyama vyao katika kuwawawakilisha wananchi wa arumeru kwa hoja.

Labda tuujadili mchakato na njia iliyompatia ushindi.Kama ikithibitika katoa Rushwa basi hapo haki yake ya kikatiba ya ushindi alioupata itabidi iwe compromised.But again sitegemei CCM waweze kuchukua hatua madhubuti kwa maana ya kuwa na dhamira ya kupambana na Rushwa labda itumike kama kigezo cha kukomoana kimakundi tu

Any political success that was founded upon a corrupt value system that supported, spawned and was itself, in turn, sustained by corruption.In the process, the CCM is turning Tanzania into a criminal state.

Meanwhile,We also call on CCM supporters to call on the party and its leaders to a run a clean and credible election campaign as we seek mandate from Voters !
 
Yaani kweli, mtoto wa nyoka ni nyoka. Hivi huyo mtoto mzee wake amefariki juzi juzi tu, badala ya kukaa atulie kwanza hapo hapo anang'ang'ania uongozi. Kama alikuwa na vision ya kuwa mwanasiasa ameshindwa nini kusubili agombee mwaka 2015 wakati hali ishatulia. Hivi hata hao makada wa ccm watamnadi vipi wakati washamkataa, mbona hata hastaili kushika uongozi. Ukiangalia upatikanaji wake umegubikwa na mizengwe kibao mpaka fisadi Lowasa ametia mkono. Jamani kwa karne hii, elimu watanzania waliyonayo, uelewa wa mambo ya kisiasa pamoja na changamoto zinazotukabili ni jambo la kushangaza kama wanameru watamchagua huyo mtoto wa Sumari, hivi nani atakubali uongozi wa kurithishana karne hii. Nawasihi wanameru wawe makini na mchezo mchafu unaofanywa na Lowasa, haiwezekani watu wawili watatu wakae waamue kuwa huyu ndo mbuge wa arumeru mashariki waanze kutumia pesa kuhakikisha anashinda huku ndio kubaka demokrasia.

hapo kwenye RED. Yeye ndo aliyeshinda kura za maoni, amekataliwa vipi??
 
Yee Mura, sisi Wakurya tumesoma na tumeendelea sana, hebu angalia:

1. Tanzania Raisi wake ni Julius Kambarage Nyerere.
2. Uingereza Waziri Mkuu ni Margreth Chacha.
3. India Waziri wake Mkuu ni Indira Gathi.
4. Zimbabwe, Raisi wake ni Robert Magathi.

Mchaga akaja, Yesuu, sisi kwa muziki wa Reggae hamuoni? Hamuoni ndani kweli. Tuna Bob Malya, Peter Tesha, Rita Malya na sasa watoto wao wanapiga mziki pia, Steve Malya, Ziggy Malya, Endrew Tesha ..........

Naona umeamua kuchekesha walionuna mkuu!
 
Mwana Mpotevu, nakuomba weka kumbukumbu!. Hata Igunga nilisema kabla na kikatokea!.
Pasco hii siyo Igunga nafikiri hata wewe unajua kanda ya kaskazini ina watu wa aina gani, hata huko Igunga uliona mwenyewe kashikashi lake itakuwa Arumeru Mashariki. Mzee mtei mwanzilishi wa Chadema yupo hapo Tengeru kwa muda mrefu in short Arusha ni nyumbani kwa Chadema kama ilivyo CUF Pemba, hujiulizi kwanini CCM imeshindwa kuvunja ngoma ya CUF kule.

Mbali ya hayo kuwa CDM iko nyumbani CCM hao masalia wataweza kweli? hawawezi kuwa kitu kimoja kwa hatua waliyofikia.
 
Yee Mura, sisi Wakurya tumesoma na tumeendelea sana, hebu angalia:

1. Tanzania Raisi wake ni Julius Kambarage Nyerere.
2. Uingereza Waziri Mkuu ni Margreth Chacha.
3. India Waziri wake Mkuu ni Indira Gathi.
4. Zimbabwe, Raisi wake ni Robert Magathi.

Mchaga akaja, Yesuu, sisi kwa muziki wa Reggae hamuoni? Hamuoni ndani kweli. Tuna Bob Malya, Peter Tesha, Rita Malya na sasa watoto wao wanapiga mziki pia, Steve Malya, Ziggy Malya, Endrew Tesha ..........

aisee umemsahau mkurya mwingine maarufu sana. Anaitwa peter bokhe. Alikuwa rais wa afrika kusini na ndiye aliyefuta ubaguzi wa rangi
 
Hata shetani na maovu yake ana kundi linalomuunga mkono na ana dini yake inayoitwa dini ya mashetani
then we don't have any disagreement, because that was exactly my point, kwamba kama kila mtu, hata Lowassa, ana wafuasi basi huwezi sema "Sumary hakubaliki na wajumbe wengi wa CC kutokana na kuwa kambi ya EL." Ndo nikakuuliza, kambi ya Lowassa ambayo... ??? Finish that conundrum. Kambi ya Lowassa ambayo wana ukoma? Hawana hela za kampeni?? Ni wazinzi ?? Kwa nini ukiwa kambi ya Lowassa huwezi kupita Central Committe, Lowassa hana wajumbe humo CC?? Unanielewa?

Na kama Lowassa hana wajumbe CCM Central Committe, na hapendwi, na ukiwa wake hupiti, na ukipokea simu ya Lowassa wewe ni pariah within the party, and Takukuru will be on your tail, basi kwa nini sasa hivi Edward Lowassa is by far the most feared and most talked about politician in the country?

Lakini la msingi zaidi to wrestle with, zaidi ya hizi beauty contests za personality and popularity, je, haya makundi yanayopigana vita, yana tofauti ya ideology zipi? Tuzipime wapiga kura tujue, je, hawa wanaopingana kwa makundi, wanagombanisha mawazo gani?

 
Back
Top Bottom