Ceftriaxon
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 446
- 682
Soma tena hapo juu,umeandika daktari anamnyanyasa nesi...au ulikua unamaanisha nn.Sijasema Nesi ananyanyaswa na DK, bali nimesema mgonjwa anaweza kumstaki nesi kwa daktari na dk akachukua hatua za haraka bila kufanya uchunguzi
Sent using Jamii Forums mobile app