Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Kiki za siku hizi bwana
Mkuu G kwa uliyo yaandika ni wazi kama yatakuwa yana uhusiano na Q basi ni wazi alipokuwa ana mahusiano na genge la wauza madawa na alipo acha walihisi anatoa siri zao au anataka kuwauza tena kupitia T.I.D ambaye alijitanabahisha kabisa anapinga hiyo biashara mbele ya Makonda na kumuunga mkono na kama hivyo basi wao ndio wanae na wanakula nae sahani moja pengine....
Kwenye swala la uwezekano wa kuchukua mali za watu wenye nguvu ya pesa na inawezekana ikawa ni sababu kama kuna ukweli huo......
Asikuzingueni nimemuona dakika tano zilizopita amekalia tyre la gari unyamanimiaka ilee huyu jamaa alikuwa ustaz pale magomeni kabla ya ngoma yake ya NAMTAFUTA....Sasa leo anatafutwa yeye
Wasiojulikana.....wamempeleka kusikojulikana
Acha kuropoka,hivi hata mkitekana kuhusiana na unga walaumiwe polisi?Wasiojulikana kama ni kweli tunalijengea taifa picha mbaya sana ya kiulinzi na usalama.
Kama watu maarufu au wanaofahamika wanapotea kwa kiasi hiki je hao wasiokua na jina ama hawafahamiki ni wengi kiasi gani?
Jeshi la polisi na inteligence community tupeni majibu ya masahibu haya wanayopitia watanzania wenzetu
Unachekesha sana.Msiniambie na yeye katekwa Kama Roma
Maana hana historian ya kuikosoa serikali,
Bila shaka atakuwa yuko zake kafungiwa na jimama
Acha kuropoka,hivi hata mkitekana kuhusiana na unga walaumiwe polisi?