Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
Wasalaam wana jamvi....
Msanii Q-Chillah toka juzi hajulikani alipo na watu wakaribu yake wameshindwa kumpata hadi sasa si kwenye simu au uso kwa uso na hawana taarifa yeyote popote alipo.
Taarifa za kupotea Kwa Q-chief zimeripotiwa jana na msanii mwenzie T.I.D kupitia E-fm radio akitaka kuujuza Umma au yeyote mwenye taarifa ya alipo Q-chief awajuze maana wana hangaika kumtafuta hadi sasa wameshindwa kumpata.
T.I.D anasema yeye mara ya mwisho waliahidiana na Q-chief wakutane sehemu fulani lakini baadae alimpigia kumwambia atapita sehemu fulani mara moja hivyo watakutana baadae , Hivyo T.I.D alibidi amsubiri pale lakini muda ulipita bila Chillah kutokea hivyo kuanza kumtafuta hewani lakini hakupatikana na hivyo akamtafuta mchumba wake lakini mchumba wa q-chillah alisema na yeye hampati hewani hivyo wakaanza kumtafuta bila mafanikio jana ilikuwa ni siku ya pili wameshindwa kumpata na hawajui alipo.
Mchumba wa Q-chilllah alisikikia kupitia radio E-Fm kuwa alibidi apige simu pale aliposema atapita kabla ya kukutana na T.I.D alijibiwa kuwa Q-chillah alichukuliwa na gari fulani hivyo wao hawajui amekwenda wapi na hawana mawasiliano nae tena...
T.I.D anasema ameshatoa taarifa polisi toka jana lakini ameona awajuzi watanzania ili kama kuna mtu anajua Q-chief alipo asaidie kutoa taarifa hata kituo cha polisi ili awezeshe kupatikana kwakwe...
Bado najiuliza
Hivi Q-chief atakuwa amedhurumu?
Hivi Q-chief atakuwa amekula vya watu?
Hivi Q-chief atakuwa amejificha kutafuta kiki?
Hivi Q-chief anapenda ugomvi au ana ugomvi na mtu?
Hivi Q-Chief atakuwa na tabia ya ulevi wa kupindukia?
Hivi Q-chief aatakuwa anafanya biashara ambayo watu wake wa karibu hawafahamu?
Hayo ni maswali tuu nimejiuliza lakini binafsi namuona Q-chief kama mtu mpole na humble sana..
Tuombe Mungu ndugu yetu apatikane akiwa salama.
Wasalaam wana jamvi.
Source: E-fm (ubaoni)
Msanii Q-Chillah toka juzi hajulikani alipo na watu wakaribu yake wameshindwa kumpata hadi sasa si kwenye simu au uso kwa uso na hawana taarifa yeyote popote alipo.
Taarifa za kupotea Kwa Q-chief zimeripotiwa jana na msanii mwenzie T.I.D kupitia E-fm radio akitaka kuujuza Umma au yeyote mwenye taarifa ya alipo Q-chief awajuze maana wana hangaika kumtafuta hadi sasa wameshindwa kumpata.
T.I.D anasema yeye mara ya mwisho waliahidiana na Q-chief wakutane sehemu fulani lakini baadae alimpigia kumwambia atapita sehemu fulani mara moja hivyo watakutana baadae , Hivyo T.I.D alibidi amsubiri pale lakini muda ulipita bila Chillah kutokea hivyo kuanza kumtafuta hewani lakini hakupatikana na hivyo akamtafuta mchumba wake lakini mchumba wa q-chillah alisema na yeye hampati hewani hivyo wakaanza kumtafuta bila mafanikio jana ilikuwa ni siku ya pili wameshindwa kumpata na hawajui alipo.
Mchumba wa Q-chilllah alisikikia kupitia radio E-Fm kuwa alibidi apige simu pale aliposema atapita kabla ya kukutana na T.I.D alijibiwa kuwa Q-chillah alichukuliwa na gari fulani hivyo wao hawajui amekwenda wapi na hawana mawasiliano nae tena...
T.I.D anasema ameshatoa taarifa polisi toka jana lakini ameona awajuzi watanzania ili kama kuna mtu anajua Q-chief alipo asaidie kutoa taarifa hata kituo cha polisi ili awezeshe kupatikana kwakwe...
Bado najiuliza
Hivi Q-chief atakuwa amedhurumu?
Hivi Q-chief atakuwa amekula vya watu?
Hivi Q-chief atakuwa amejificha kutafuta kiki?
Hivi Q-chief anapenda ugomvi au ana ugomvi na mtu?
Hivi Q-Chief atakuwa na tabia ya ulevi wa kupindukia?
Hivi Q-chief aatakuwa anafanya biashara ambayo watu wake wa karibu hawafahamu?
Hayo ni maswali tuu nimejiuliza lakini binafsi namuona Q-chief kama mtu mpole na humble sana..
Tuombe Mungu ndugu yetu apatikane akiwa salama.
Wasalaam wana jamvi.
Source: E-fm (ubaoni)