Hofu ya Upinzani ni CCM kuwa imara tena chini ya Mzalendo Mwenyekiti Magufuli

Mkuu DAUDI Mtambuzi Tuwe wakweli tu Upinzani unapwaya sana
Upinzani unaotegeshea Rais akosee kidogo ndio watu wapate sera za chama hiyo haikubaliki

Chama makini husoma falsafa za kiongozi aliyeko madarakani na kuamua kuja na kitu ambacho kita m pre empty standing President kwa sera nzuri

Sasa wapinzani wa Tanzania wanasubiria Rais akibadilisha waziri inakuwa ndio ajenda ya chama kulalamika ati Kwanini Rais amebadilisha Waziri

Wanasubiria Rais asipoenda kuhutubia U.N. inakuwa ndio ajenda yenu,acheni Hivyo Mkuu you have to wake up from darkness

Hii Nchi inahitaji viongozi kama Magufuli kwa miaka 30 mfululizo then ndio mind set za wabongo zitabadilika
Unakumbuka kilichotokea katika uandikishaji juzi? Na tarehe zikaongezwa? Naomba nirudie kusema hili.... ITAFIKA WAKATI UKIMYA ULIOPO MIOYONI MWA WATU UTABAINIKA HADHARANI SIKU NA SAA ISIYOJULIKANA.....
 
Mvua ilikwamisha watu wengi kujiandikisha kwa wakati Mkuu

Ndio siku zikaongezwa
Unakumbuka kilichotokea katika uandikishaji juzi? Na tarehe zikaongezwa? Naomba nirudie kusema hili.... ITAFIKA WAKATI UKIMYA ULIOPO MIOYONI MWA WATU UTABAINIKA HADHARANI SIKU NA SAA ISIYOJULIKANA.....
 
Hizi hasira za upinzani za kuhisi wanaonewa ni hofu inayowaumiza kisaikolojia juu ya kupuuzwa na Watanzania

Kabla ya Rais Magufuli,Wanaccm walikuwa wanaona aibu kuvaa nguo za chama,na kuna Sehemu walikuwa wakitupiwa makopo wakikatiza mtaani

Wanaccm walificha sare zao ndani kutokana na masuala ya ufisadi kukithiri, kutokana na huduma za kijamii kudhorota

Lakini Upepo ulibadilika ghafla baada ya 2015
Mwenyekiti wa ccm akairudisha Ccm kwenye makali yak,Wananchi wakaanza kurudisha amani na CCM,wakaanza kuwapuuza wale wanaopinga serkali

Wananchi Wengi wamekimbia upinzani kimya kimya wamerudi CCM kutokana na kishindo cha awamu ya tano

Saaa nguo za chama zimetamalaki mtaani,kila mwananchi anajivunia kuwa CCM

Ukweli mchungu ni kwamba wapinzani wanaogopa sana CCM iliyotulia ,wanajua Ccm iliyotulia ni hawana chao

Ukiangalia hata wapinzani kushinda ubunge ilitokana na kukorogeka kwa ccm kulikopelekea kugawanya kura

Ccm iliyotulia,upinzani utaambulia viti vitatu tu vya Ubungo

Hata hii janja janja inayoendelea ya kususia Uchaguzi hisia zangu zinanituma tu hawa jamaa wamepima kina cha maji wakaona hapana hapa tutaaibika
Ndio mambo ya kubeba mpira kwapani yakaja



Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za kuleta Maendeleo

WEWE NI NJAA INAKUSUMBUA WW.UNASIFIA VITU VILIVYOOZA
 
Hoja gani zilizuiwa kuonyeshwa live?

Mbona asubuhi tunaangalia Bunge mubashara?
Mkuu

Siku jamii forums ilipozimwa aliyekuwa Waziri mh nape alisema tumlaumu kuhusu bunge live ila hili la jamii forums tusilaum


Nadhani kipindi hicho ulikuwa bado hujaanza kulipwa buk 7
 
Mkuu mtoro son punguza munkari twende taratibu
Umejibu hoja kwa kupanik bila kuwa na uhalisia hiyo kisomi haitakiwi hata kidogo usije ukarudia tena

Umesma wanavaa nguo za chama ni maharamia wanaojificha kwenye chama! Hapa umeonyesha kwamba Wewe sio critical kabisa Mkuu
Kwahiyo hata Mzee mangula anavaa ili kujuficha? Ajifiche na nini? Nyie wapinzani mnakosea sana,mnakosea Kwasababu hamtaki kukubali ukweli, mnaishi kwenye koti la uwongo
Mnaishi kwenye fake zone, how long Will stay in darkness
Siku zote nimekuwa nikiwaambia toka 2015 kwamba Upinzani msipobadilisha siasa zenu mtakuwa mnapiga marktime kila mwaka
Kwasababu Hakuna malengo mnayojiwekea Zaidi ya kupinga kila kinachofanywa na Serkali

Angalia kabla ya Rais Magufuli kuingia madarakani Wapinzani walikuwa wanasema Nchi isiyomiliki usafiri wa anga ni sawa na Nchi iliyokufa kiuchumi leo wanasema Ndege za kazi Gani!

Unaweza kuona wapinzani wa Tanzania walivyo, hawana wanachosimamia wanasubiria Rais akosee neno moja wajazane Twitter kupeana ndoto fake

Hawa utawaita wapinzani au wachumia tumbo?
Think twice bro
Ulitaka kuongea nini?!! haueleweki
 
Mkuu be honest siasa zina mipaka yake

Tunataka tufanye siasa 24/7 nyie wanasiasa mna mishahara sisi tunategemea shamba kutafuta riziki lini tutapata Maendeleo

Hebu fikiria Tanzania Kuna vyama vya siasa zaidi ya 10 hivyo vyote vikiamua kila siku kuwa jukwaani kupiga mdomo sisi Wananchi tutafanya saa ngapi Shughuli za maendeleo?

Kwanini tusmpe muda Rais tuliyemchagua atekeleze ilani yake ili Baada ya miaka mitano turudi tena kupiga kampeni?
Kwani maspika yanazuia nvua au kuleta ukame? wakienda kwenye mikutano weww kalime mazao yako hakuna aliyekuzuia kulima.
 
Hizi hasira za upinzani za kuhisi wanaonewa ni hofu inayowaumiza kisaikolojia juu ya kupuuzwa na Watanzania

Kabla ya Rais Magufuli,Wanaccm walikuwa wanaona aibu kuvaa nguo za chama,na kuna Sehemu walikuwa wakitupiwa makopo wakikatiza mtaani

Wanaccm walificha sare zao ndani kutokana na masuala ya ufisadi kukithiri, kutokana na huduma za kijamii kudhorota

Lakini Upepo ulibadilika ghafla baada ya 2015
Mwenyekiti wa ccm akairudisha Ccm kwenye makali yak,Wananchi wakaanza kurudisha amani na CCM,wakaanza kuwapuuza wale wanaopinga serkali

Wananchi Wengi wamekimbia upinzani kimya kimya wamerudi CCM kutokana na kishindo cha awamu ya tano

Saaa nguo za chama zimetamalaki mtaani,kila mwananchi anajivunia kuwa CCM

Ukweli mchungu ni kwamba wapinzani wanaogopa sana CCM iliyotulia ,wanajua Ccm iliyotulia ni hawana chao

Ukiangalia hata wapinzani kushinda ubunge ilitokana na kukorogeka kwa ccm kulikopelekea kugawanya kura

Ccm iliyotulia,upinzani utaambulia viti vitatu tu vya Ubungo

Hata hii janja janja inayoendelea ya kususia Uchaguzi hisia zangu zinanituma tu hawa jamaa wamepima kina cha maji wakaona hapana hapa tutaaibika
Ndio mambo ya kubeba mpira kwapani yakaja



Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za kuleta Maendeleo
Nyie watoto mnamdanganya huyo mwenyekiti wenu, wananchi watamfurusha 2020 pamoja na hayo madege yake,
 
Mwenyeki wenu hapendi uchaguzi,

nakumbuka hata mie wakati nasoma sikupenda sana presantation lakini nilizimudu sawasawa
 
Hizi hasira za upinzani za kuhisi wanaonewa ni hofu inayowaumiza kisaikolojia juu ya kupuuzwa na Watanzania

Kabla ya Rais Magufuli,Wanaccm walikuwa wanaona aibu kuvaa nguo za chama,na kuna Sehemu walikuwa wakitupiwa makopo wakikatiza mtaani

Wanaccm walificha sare zao ndani kutokana na masuala ya ufisadi kukithiri, kutokana na huduma za kijamii kudhorota

Lakini Upepo ulibadilika ghafla baada ya 2015
Mwenyekiti wa ccm akairudisha Ccm kwenye makali yak,Wananchi wakaanza kurudisha amani na CCM,wakaanza kuwapuuza wale wanaopinga serkali

Wananchi Wengi wamekimbia upinzani kimya kimya wamerudi CCM kutokana na kishindo cha awamu ya tano

Saaa nguo za chama zimetamalaki mtaani,kila mwananchi anajivunia kuwa CCM

Ukweli mchungu ni kwamba wapinzani wanaogopa sana CCM iliyotulia ,wanajua Ccm iliyotulia ni hawana chao

Ukiangalia hata wapinzani kushinda ubunge ilitokana na kukorogeka kwa ccm kulikopelekea kugawanya kura

Ccm iliyotulia,upinzani utaambulia viti vitatu tu vya Ubungo

Hata hii janja janja inayoendelea ya kususia Uchaguzi hisia zangu zinanituma tu hawa jamaa wamepima kina cha maji wakaona hapana hapa tutaaibika
Ndio mambo ya kubeba mpira kwapani yakaja



Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za kuleta Maendeleo
Mhhhh jamaa,hata kama ni njaa,nenda taratibu,
Mmegoma kuwaandikisha wagombea wa upinzani,waliofanikiwa kujiandisha,mmewafuta,wengine mmewaweka ndani,
Mikutano ya kampeni,mmezuia,wakati nyie mnazunguka nchi nzima,nyie bila polisi ni wepesi tu,nyie ndio mmechokwa,
Umeona idadi ya watu kwenye vituo lakini!?ni aibu tupu!?
Wanaopenda ccm,ama ni wananchi wasio na elimu kubwa,wanaoishi vijijini,au wale wanaofaidika na mfumo wa kiwizi wa ccm
 
Siasa ni majukumu ya kila siku ya mwanasiasa. Sasa unaposema siasa zisifanyike kwamba utawala uachwe ufanye kazi ni upuuzi tu wa kufunika sababu haswa.

Sababu ya kuzuia siasa za upinzani zisifanyike.

1. Ili kuzuia ukosoaji
2. Kuzuia vyama kukua.
3. Kuwasema wapinzani ila wao wasiweze kujibu.

Awamu zote siasa haijawahi kuzuiwa na bado utawala uliweza kutekeleza majukumu yake.

Kama wakati wa uwaziri aliweza kufanya kazi kwa viwango bila kukwamishwa na siasa zilizokuwa huru kwa kiwango kikubwa inakuwaje leo uko kwenye mamlaka useme siasa zitakukwamisha!

Kiongozi mahiri hawazuii wapinzani wake wasifanye majukumu yako bali yeye hufanya yake kwa umahiri mkubwa ili wapinzani wake wakose hoja.
Mkuu be honest siasa zina mipaka yake

Tunataka tufanye siasa 24/7 nyie wanasiasa mna mishahara sisi tunategemea shamba kutafuta riziki lini tutapata Maendeleo

Hebu fikiria Tanzania Kuna vyama vya siasa zaidi ya 10 hivyo vyote vikiamua kila siku kuwa jukwaani kupiga mdomo sisi Wananchi tutafanya saa ngapi Shughuli za maendeleo?

Kwanini tusmpe muda Rais tuliyemchagua atekeleze ilani yake ili Baada ya miaka mitano turudi tena kupiga kampeni?
 
Nasema hivi kwa sababu najua wapo wenye uelewa wataelewa.Kwa wake waliozoea kula vya kunyonga hawataelewa. Huu ndio ukweli wenyewe tusubiri muda useme

Sasa CCM siyo tena chama cha siasa kinachoweza kushindanisha hoja zake, kimebadilika kua chama cha kulazimisha kushinda bila kueleza hoja zake, siyo chama kilicho tayari kushindanisha hoja zake ili kitwee dola. Kwakua ni chama kilicho na dola kwa sasa kinatumia mwanya huu kutawala kwa nguvu, wanatengeneza sababu feki kuwaondoa wapinzani wao kwa nguvu badala ya hoja. Wanataka waingie ikulu kwa mazoea bila kuieleza jamii wana sera gani?
Haiwezekani CCM wagombea wake wasienguliwe sehemu hata moja, haya hata mtoto mdogo hawezi kuamini.

CCM chini ya mwenyekiti wake Dkt. Maguli ni tofauti na ile ya JK ambayo waliwaacha wagombea washindane kihoja na siyo nguvu, haikua na tabia ya ajabu kupitisha watu bila kupingwa hivyo hovyo. CCM ya sasa siyo tena chama cha siasa, imebadilika ghafla kua taasisi yenye mfumo nje na chama cha siasa.

MWISHO WA CCM HUU HAPA
Saa na siku vikifika wananchi wakisema sasa hawako tayari tena kuporwa haki yao ndio tutaushuhudia mwisho wa ccm. Najua watahitaji maridhiano lakini kwa sababu wamejiweka kando na wananchi hawatakubali wa, hata maridhiano ya haki yakifanyika CCM haitakua tena na nafasi ya kushinda na ndio itakua mwisho wake.
Hili litatokea muda siyo mrefu.
 
Back
Top Bottom