ntinanigwamvuyekule
Senior Member
- Apr 24, 2019
- 130
- 123
Tunaogopa nini?
AmenCCM ni chama cha kigaidi na hii no serikali ya kishetani
Wewe inakuuma nini si ndio furaha yenu CCM ikifa
MAGAIDICcm kwa sasa sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
Inakata roho huku ikuwaumiza wengine wasiohusikaWewe inakuuma nini si ndio furaha yenu CCM ikifa
jamani hii hoja sio hoja ndogo hebu tubadilile tuwekeni hoja. Mezani.
Sema nini elimu yako ndogo unashindwa kutofautisha chama tawala na upinzani .unataka taasisis ziwaheshimu huku hampo madarakani
Ina maana hasie kuwa na madaraka hana haki ya kuheshimiwa?Sema nini elimu yako ndogo unashindwa kutofautisha chama tawala na upinzani .unataka taasisis ziwaheshimu huku hampo madarakani
🙏🙏amen