mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Samia ni zero brain, ukisikiliza anayo ongea unagundua kichwani patupu pia ni muoga sana anafanya maamuzi kwa kelele za mitandaoni, CDM wameshajua udhaifu wake ndio maana wanamtolea matamko na ultimatums za kijinga kijinga.