Hofu ya Rais Samia ni wapi bajeti ya Katiba Mpya itoke. Je, Pesa ikichangwa na wananchi, CCM wataridhia mchakato kuanza?

Samia ni zero brain, ukisikiliza anayo ongea unagundua kichwani patupu pia ni muoga sana anafanya maamuzi kwa kelele za mitandaoni, CDM wameshajua udhaifu wake ndio maana wanamtolea matamko na ultimatums za kijinga kijinga.
 
Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba

Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
Hizo za kuweka mafuta ya safar znatoka wap wakat anapokuwa anaenda nje?
 
Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba

Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
We vipi, tozo tu watu wanapiga kelele itakuwa huu mchango kwa ajili ya kwenda kuwapa posho wana siasa WALAFI? Haiwezekani.
 
Samia ni zero brain, ukisikiliza anayo ongea unagundua kichwani patupu pia ni muoga sana anafanya maamuzi kwa kelele za mitandaoni, CDM wameshajua udhaifu wake ndio maana wanamtolea matamko na ultimatums za kijinga kijinga.
Sasa wewe unatarajia Rais makini na muadilifu kama huyu SSH ajibu au ahangaike na "matamko na ultimatums za kijinga kijinga" kama unavyo ziita? No way!
 
KAMA PESA TATIZO KATIBA MPYA TUSHIRIKISHE WADAU WAO WANASEMAJE???

Ruzuku za vyama kwa mwaka zichukuliwe zipelekwe kwenye KATIBA MPYA

PIA Wabunge wakatwe Tsh.500,000/ kila moja kila mwezi kwa mwaka mmoja

Mechi za mpira wa miguu kuwe na kombe LA KATIBA MPYA viingilio vyote viende kwenye KATIBA MPYA.

Kuwe na harambee kila mwezi ikiwa kama tamasha LA music wanamuziki 30 wakubwa na wadogo kila jukwaa kuanzia wilaya na mkoa kiingilio ndo ipelekwe KATIBA MPYA
Ongeza vyanzo vingine ili tupate KATIBA MPYA
Hiyo yote kukidhi matakwa ya Mbowe!
 
Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba

Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
Kuna hasara kubwa itakuepo kuishi bila katiba kuliko kuishi na katiba japokua itatugharimu kukusanya maoni.
 
Semeni fedha hiyo itachangiwa na mabeberu wenu wenye nongwa na amani na utulivu tulionao kama taifa huru. Acheni kutapeli hakuna mwanainainchi wakutupa hizo fedha jalalaniii. Labda wanaufipa tuuu. Watanzania tunataka amani na maendeleo tuuu basiiii
Ukinyamaza unaweza kuficha ujinga wako. Amani na maendeleo ni zao la katiba bora
 
Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba

Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
Burundi waliingia mfukoni,kuipata katiba mpya.
 
Back
Top Bottom