Hofu ya Magufuli ya Lissu kurudi aamua kumfuta ubunge, ili wapate sababu ya yeye kutoongea kwa kisingizio siasa mpaka 2020

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Na Dotto Bulendu

1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu Lissu akiingia Bungeni ataongea mambo ambayo yatakuwa mwiba hivyo ameamua kumuondolea mapema kinga hii ya kikatiba?

2.Serikali ilisema mtu ambaye siyo mbunge wa eneo husika haruhusiwi kuendesha siasa kwenye jimbo ambalo siyo lake,je Spika amehofia Lissu akirejea jimboni kwake atatumia nafasi ya ubunge wake kuandaa mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi wa jimbo lake na kusema mambo ambayo labda Spika anayahofia?

3.Ni kweli Spika hajui Lissu yupo wapi na anafanya nini?kwa nini Bunge limeendelea kumlipa Lissu mshahara wakati hawajui yupo wapi?Spika anataka kusema kitendo cha Lissu kutokuwa hospital na kuwa nyumbani akipata matibabu kutoka nyumbani ni kosa na Lissu alitakiwa aendelee kukaa hospitali?

4.Je mawasiliano ya ofisi ya Bunge na familia ya Lissu mara baada ya kupigwa Risasi ambayo familia ya Lissu kupitia kwa Kaka yake Wakili Mugway ilikuwa ikiwasiliana na ofisi ya Bunge kuomba Lissu atibiwe na Bunge si taarifa rasmi ya wapi Lissu yupo na anafanya nini?

5.Barua za Lissu kupitia Familia yake kuomba Ofisi ya Bunge isaidie matibabu ya Lissu na Familia ya Lissu ikajibiwa(kwa mujibu wa kaka wa Lissu),kuwa Bunge haliwezi gharamia matibabu ya Lissu kwani hakufuata utaratibu wakati akienda Nairobi kwa matibabu hazikuwa barua rasmi za kiofisi zinazoonesha kuwa Lissu ni mgonjwa?

Haya mambo hayaaaa,yanatafakarisha sana!binafsi naamini Uongozi ni kuwawafanya watu wako wawe wamoja na wenye kupendana bila kujali tofauti walizonazo!.
 
Na Dotto Bulendu

1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu Lissu akiingia Bungeni ataongea mambo ambayo yatakuwa mwiba hivyo ameamua kumuondolea mapema kinga hii ya kikatiba?

2.Serikali ilisema mtu ambaye siyo mbunge wa eneo husika haruhusiwi kuendesha siasa kwenye jimbo ambalo siyo lake,je Spika amehofia Lissu akirejea jimboni kwake atatumia nafasi ya ubunge wake kuandaa mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi wa jimbo lake na kusema mambo ambayo labda Spika anayahofia?

3.Ni kweli Spika hajui Lissu yupo wapi na anafanya nini?kwa nini Bunge limeendelea kumlipa Lissu mshahara wakati hawajui yupo wapi?Spika anataka kusema kitendo cha Lissu kutokuwa hospital na kuwa nyumbani akipata matibabu kutoka nyumbani ni kosa na Lissu alitakiwa aendelee kukaa hospitali?

4.Je mawasiliano ya ofisi ya Bunge na familia ya Lissu mara baada ya kupigwa Risasi ambayo familia ya Lissu kupitia kwa Kaka yake Wakili Mugway ilikuwa ikiwasiliana na ofisi ya Bunge kuomba Lissu atibiwe na Bunge si taarifa rasmi ya wapi Lissu yupo na anafanya nini?

5.Barua za Lissu kupitia Familia yake kuomba Ofisi ya Bunge isaidie matibabu ya Lissu na Familia ya Lissu ikajibiwa(kwa mujibu wa kaka wa Lissu),kuwa Bunge haliwezi gharamia matibabu ya Lissu kwani hakufuata utaratibu wakati akienda Nairobi kwa matibabu hazikuwa barua rasmi za kiofisi zinazoonesha kuwa Lissu ni mgonjwa?

Haya mambo hayaaaa,yanatafakarisha sana!binafsi naamini Uongozi ni kuwawafanya watu wako wawe wamoja na wenye kupendana bila kujali tofauti walizonazo!.
Kama kaonewa aende mahakamani, mpuuzi tu huyo
 
Na Dotto Bulendu

1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu Lissu akiingia Bungeni ataongea mambo ambayo yatakuwa mwiba hivyo ameamua kumuondolea mapema kinga hii ya kikatiba?

2.Serikali ilisema mtu ambaye siyo mbunge wa eneo husika haruhusiwi kuendesha siasa kwenye jimbo ambalo siyo lake,je Spika amehofia Lissu akirejea jimboni kwake atatumia nafasi ya ubunge wake kuandaa mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi wa jimbo lake na kusema mambo ambayo labda Spika anayahofia?

3.Ni kweli Spika hajui Lissu yupo wapi na anafanya nini?kwa nini Bunge limeendelea kumlipa Lissu mshahara wakati hawajui yupo wapi?Spika anataka kusema kitendo cha Lissu kutokuwa hospital na kuwa nyumbani akipata matibabu kutoka nyumbani ni kosa na Lissu alitakiwa aendelee kukaa hospitali?

4.Je mawasiliano ya ofisi ya Bunge na familia ya Lissu mara baada ya kupigwa Risasi ambayo familia ya Lissu kupitia kwa Kaka yake Wakili Mugway ilikuwa ikiwasiliana na ofisi ya Bunge kuomba Lissu atibiwe na Bunge si taarifa rasmi ya wapi Lissu yupo na anafanya nini?

5.Barua za Lissu kupitia Familia yake kuomba Ofisi ya Bunge isaidie matibabu ya Lissu na Familia ya Lissu ikajibiwa(kwa mujibu wa kaka wa Lissu),kuwa Bunge haliwezi gharamia matibabu ya Lissu kwani hakufuata utaratibu wakati akienda Nairobi kwa matibabu hazikuwa barua rasmi za kiofisi zinazoonesha kuwa Lissu ni mgonjwa?

Haya mambo hayaaaa,yanatafakarisha sana!binafsi naamini Uongozi ni kuwawafanya watu wako wawe wamoja na wenye kupendana bila kujali tofauti walizonazo!.
The hallmarks of bad governance:
1. Arbitrariness
2. Ambiguity
3. Capriciousness
Kwahiyo jibu la mlolongo wa mambo ndiyo hilo.
 
Na Dotto Bulendu

1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu Lissu akiingia Bungeni ataongea mambo ambayo yatakuwa mwiba hivyo ameamua kumuondolea mapema kinga hii ya kikatiba?

2.Serikali ilisema mtu ambaye siyo mbunge wa eneo husika haruhusiwi kuendesha siasa kwenye jimbo ambalo siyo lake,je Spika amehofia Lissu akirejea jimboni kwake atatumia nafasi ya ubunge wake kuandaa mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi wa jimbo lake na kusema mambo ambayo labda Spika anayahofia?

3.Ni kweli Spika hajui Lissu yupo wapi na anafanya nini?kwa nini Bunge limeendelea kumlipa Lissu mshahara wakati hawajui yupo wapi?Spika anataka kusema kitendo cha Lissu kutokuwa hospital na kuwa nyumbani akipata matibabu kutoka nyumbani ni kosa na Lissu alitakiwa aendelee kukaa hospitali?

4.Je mawasiliano ya ofisi ya Bunge na familia ya Lissu mara baada ya kupigwa Risasi ambayo familia ya Lissu kupitia kwa Kaka yake Wakili Mugway ilikuwa ikiwasiliana na ofisi ya Bunge kuomba Lissu atibiwe na Bunge si taarifa rasmi ya wapi Lissu yupo na anafanya nini?

5.Barua za Lissu kupitia Familia yake kuomba Ofisi ya Bunge isaidie matibabu ya Lissu na Familia ya Lissu ikajibiwa(kwa mujibu wa kaka wa Lissu),kuwa Bunge haliwezi gharamia matibabu ya Lissu kwani hakufuata utaratibu wakati akienda Nairobi kwa matibabu hazikuwa barua rasmi za kiofisi zinazoonesha kuwa Lissu ni mgonjwa?

Haya mambo hayaaaa,yanatafakarisha sana!binafsi naamini Uongozi ni kuwawafanya watu wako wawe wamoja na wenye kupendana bila kujali tofauti walizonazo!.
CCM ni wepesi kuliko pamba
 
Ndugu yetu Dotto umeongea ukweli bila kuhofia kesho ya kibarua chako hapo stars tv
Na Dotto Bulendu

1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu Lissu akiingia Bungeni ataongea mambo ambayo yatakuwa mwiba hivyo ameamua kumuondolea mapema kinga hii ya kikatiba?

2.Serikali ilisema mtu ambaye siyo mbunge wa eneo husika haruhusiwi kuendesha siasa kwenye jimbo ambalo siyo lake,je Spika amehofia Lissu akirejea jimboni kwake atatumia nafasi ya ubunge wake kuandaa mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi wa jimbo lake na kusema mambo ambayo labda Spika anayahofia?

3.Ni kweli Spika hajui Lissu yupo wapi na anafanya nini?kwa nini Bunge limeendelea kumlipa Lissu mshahara wakati hawajui yupo wapi?Spika anataka kusema kitendo cha Lissu kutokuwa hospital na kuwa nyumbani akipata matibabu kutoka nyumbani ni kosa na Lissu alitakiwa aendelee kukaa hospitali?

4.Je mawasiliano ya ofisi ya Bunge na familia ya Lissu mara baada ya kupigwa Risasi ambayo familia ya Lissu kupitia kwa Kaka yake Wakili Mugway ilikuwa ikiwasiliana na ofisi ya Bunge kuomba Lissu atibiwe na Bunge si taarifa rasmi ya wapi Lissu yupo na anafanya nini?

5.Barua za Lissu kupitia Familia yake kuomba Ofisi ya Bunge isaidie matibabu ya Lissu na Familia ya Lissu ikajibiwa(kwa mujibu wa kaka wa Lissu),kuwa Bunge haliwezi gharamia matibabu ya Lissu kwani hakufuata utaratibu wakati akienda Nairobi kwa matibabu hazikuwa barua rasmi za kiofisi zinazoonesha kuwa Lissu ni mgonjwa?

Haya mambo hayaaaa,yanatafakarisha sana!binafsi naamini Uongozi ni kuwawafanya watu wako wawe wamoja na wenye kupendana bila kujali tofauti walizonazo!.
 
Hivi Ndugai si Alikaa nje ya nchi kwa matibabu tena akiwa kwenye apartment na Wafanyakazi? Nyokoo
 
Back
Top Bottom