Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm mh nape nnauye amesema hofu ya kutokuwa na MUNGU ndio chanzo halisi cha mafisadi...akiongea katika uzinduzi wa albamu ya mwanamuziki wa nyimbo za injili UPENDO NKONE alisema watu wengi wamekosa hofu ya MUNGU na kujikuta wakifanya mambo kama mnyama kabisa...baadae wanashtuka kumbe wamefanya dhambi kubwa sana....unafikiri hawa mafisadi awaji kanisani wapo wengi tu lakini ile hofu ya MUNGU ndio inayokuelekeza unatakiwa kuacha ubaya unaoufanya....Mungu yeye ndie anetuongoza kufika hapa tulipo na ushauri wangu tusimwache MUNGU tumtangulize katika kila jambo.....
Good Nnape lets pray kwa CCM wamrudie MUNGU Hope maombi yako yatasikiwa ipo siku...hizi maliza mafisadi trunaziitaji na tunaamini ipo siku kila mtanzania atanufaika na huu ufisadi uliofanywa..ukianzia na SAMAKI WA MAGUFULI
Mungu Akubariki
Good Nnape lets pray kwa CCM wamrudie MUNGU Hope maombi yako yatasikiwa ipo siku...hizi maliza mafisadi trunaziitaji na tunaamini ipo siku kila mtanzania atanufaika na huu ufisadi uliofanywa..ukianzia na SAMAKI WA MAGUFULI
Mungu Akubariki