Hofumoyoni
Member
- Nov 28, 2019
- 71
- 99
- Thread starter
- #61
Nakushukru mkuuPole sana bro. Ila haina haja ya kupanic sana haswa ukizingatia kwa sasa unajihisi upo normal ingawa madaktari wanasema unaumwa,Kila siku moja unayoamka ukiwa salama ni muhimu sana kwako na kwa jamii yako Jaribu kuishi maisha uliyonayo sasa,USIKUBALI KESHO YAKO IKUHARIBIE LEO YAKO!