Hofumoyoni
Member
- Nov 28, 2019
- 71
- 99
- Thread starter
- #21
AsanteAllah Akufanyie Wepesi mkuu... Usikate Tamaa kamwee
AsanteAllah Akufanyie Wepesi mkuu... Usikate Tamaa kamwee
AminaPole sana mkuu.Yehova atakufanyia wepesi
AminaWee in mzima wa afya.uhalisia wako ni hiyo Amani uliyonayo pale unapoyasahau kauli za madaktari .
Chagua kumwamuni Mungu aliye hair au mawazo yako na madaktari.
Aminakuna sauti inaniambia nikwambie u won't die but you will live bro.... Mungu wetu ni mwema funua ufunuo 1 mstari wa 4 neno linasema yeye ni Alfa na omega yani mwanzo na mwisho naamini Mungu anakusudio zuri zaidi....... Pia usikate tamaa mkuu watu tumeisha humu ndani mwilini ni Mungu ndo anajua ukienda hospital utaona watu wanavyohangaika mkuu.....
AminaHakuna linaloshindikana kwa Mungu,nakuombea uponyaji.Pole sana.
AminaPole sana mkuu.Mungu akuongoze na awe tumaini lako.
AsantePole sana mkuu.Mungu akuongoze na awe tumaini lako.
Asante nduguMkuu hii dunia hakuna mtu anaishi kwa amani, hayupo nakwambia. Kila mtu ana jambo linalomtatiza mshukuru Mungu huna maumivu ya mwili au dalili za kuumwa. Hayo maumivu ya moyo ndo binadamu tumeumbiwa, kuwa na furaha na amani
ThanksLaiti binadamu tungeyaona yanayoendelea ndani ya miili yetu tungekua wapole sana. Tunaishia kujipaka mafuta mazuri na kupendeza kimavazi lakino most of us are walking dead. Kiongozi saa yako bado, bwana ndo anajua. Cleanse your soul.
Ni kweli inaogofya, lakini ndivyo ilivyo.mmmh nimesoma hapa nimeogopa lakini mungu mkubwa
Asante ndugu.Daaah pole Sana mkuu
Kuna wakati natamani kutojua.Afadhari yako wewe umepima na umegundua una tatizo kuliko wale wanaosubiria mpaka waanguke ghafla kwa heart attack
AminaViatu vyako kila nikijaribu kuvivaa naona havinitoshi kabisa.Ngoja nikuombee kwa mola wetu muumbaView attachment 1278245
Hivi viatu hamna kabisa bola kutembea pekuViatu vyako kila nikijaribu kuvivaa naona havinitoshi kabisa.Ngoja nikuombee kwa mola wetu muumbaView attachment 1278245