Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
#PICHA:Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameanza ziara ya kikazi mkoani Tanga na kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu
aliyoyatoa kwa Watanzania ya kutosalimiana kwa kushikana mikono au kukumbatiana
ikiwa ni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
aliyoyatoa kwa Watanzania ya kutosalimiana kwa kushikana mikono au kukumbatiana
ikiwa ni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app