Hofu ya Corona: Majaliwa atekeleza maelekezo ya Waziri Ummy Mwalimu ziarani Tanga

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,397
#PICHA:Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameanza ziara ya kikazi mkoani Tanga na kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu

aliyoyatoa kwa Watanzania ya kutosalimiana kwa kushikana mikono au kukumbatiana

ikiwa ni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.
FB_IMG_1583055717282.jpeg
FB_IMG_1583055714357.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom